Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

Tutakufa tu ila Mungu hapendi uonezi na hapendi mwanadamu kutengeneza maisha ya nani aishi na nani afe ili niweze kutawala vema.
Omba MUNGU akujalie kifo kizuri

Atleast Magufuli alifariki mbele ya Watumishi wa Mungu wakiwa wanamuombea
Omba na wewe Mungu akujalie hilo
 
Hiyo ni sehemu ya kazi pia.
Wakati mwingine ukombozi damu inamwagika!

Wengine kusikia lazima damu ziwatoke masikioni.

Leo huo upinzani umelifanyia nini taifa mbona ni wachumia matumbo tu! Ulitegemea watu wa namna hiyo wafanyweje?

Huwezi kutaka maendeleo ubaki unawachekea watu wajinga kama hao unaowatetea! Lazima uonyeshe udume kwelikweli.

Shukuruni sana Mungu alimchukua mapema! Hakika mngenyooka tu.
Pamoja na manguvu yake lakini akafa na kuuacha upinzani ukiendelea. Tuishi duniani kwa kuheshimiana. Unajifanya una nguvu na kuongea kundi jingine unasahau na wewe ni binadamu. Very stupid.
 
🤣🤣🤣 kwamba MAGUFULI alimuua mkapa??? Ili afute historia yake
Wewe ndio nasikia leo unajua ni nani aliekuwa anampigqnia MAGUFULI kama sio Mkapa??
Amini unachoamini wewe na Mimi niache niamini ninachoamini
Usitake nikae upande wa uwongo wakati
Nimeshuhudia viongozi wote
Kwanza Jf yenyewe umejiunga 2020
Labda naongea na kitoto cha

🤣🤣🤣 kwamba MAGUFULI alimuua mkapa??? Ili afute historia yake
Wewe ndio nasikia leo unajua ni nani aliekuwa anampigqnia MAGUFULI kama sio Mkapa??
Amini unachoamini wewe na Mimi niache niamini ninachoamini
Usitake nikae upande wa uwongo wakati
Nimeshuhudia viongozi wote
Kwanza Jf yenyewe umejiunga 2020
Labda naongea na kitoto cha 2004
Asante kwa kuongea na mtoto wa 2004 nashukuru sana bwana mkubwa.Nikwambie kipindi Magufuri anajigamba kuwa Tanzania ya Magufuri mtu pekee wa kumkanya alikuwa hayati Benjamin Mkapa wengine Magufuri aliwaweka mifukoni.Kwa vile Magufuri hakupenda haki aliona kuwa uchaguzi wa 2020 kizuizi kikuu ni Mkapa hivyo akafanya kila namna ya kumpoteza na akafanikiwa.Alipomaliza tu kumzika Mkapa aliyemweka mjini akanza kujitapa na kula mahindi njiani ya kuchoma kwa sababu alijua nini amefanya.Na uchaguzi huo wa 2020 haijawahi tokea tangu enzi za mkoloni hadi ezi za Kikwete.
 
Omba MUNGU akujalie kifo kizuri

Atleast Magufuli alifariki mbele ya Watumishi wa Mungu wakiwa wanamuombea
Omba na wewe Mungu akujalie hilo
Punguza unafiki. Tangu lini muuaji akaenda mbinguni. Eti kwa kuita watumishi wa Mungu, be serious. Yani utese watu halafu ukikaribia kufa ndio ujifanye kuita paroko. Mungu hayupo hivyo, hafanyi kazi kwa mihemuko.
 
Nimeuliza specifically... kamati ya Bashiru ilitaja mali zote zilizokwapuliwa pamoja na majina ya wahusika waliokua zaidi ya 500. Kwanini kesi ya jinai haipelekwi mahakamani?

Niambie kwanini alishindwa? Ilihali mnamsifia alinyoosha mafisadi
Mambo ya chama yanaisha kichama kwa kuzungumza na wahusika walirudisha mali.ndo maana Mali za chama zinathamani ya sh trillion 1.50
 
Omba MUNGU akujalie kifo kizuri

Atleast Magufuli alifariki mbele ya Watumishi wa Mungu wakiwa wanamuombea
Omba na wewe Mungu akujalie hilo
Mungu ni mwema na ni Mungu wa wote.Hao watumishi machawa kama babu yangu Pengo hawatufai kwa sababu wanachangia 100% kuifilisi nchi.
 
Toka nazaliwa hafi sasa na wajuu
Badilisha jina toa demokrasia weka Familia itapendeza
Nimekuiliza swali jepesi ila umeshindwa kujibu. Miaka mingapi? Unaanza hadithi za kuzaliwa na kuwa na wajukuu. Yani wewe ni mnafiki Sana. Hapo juu umedai wakati Nyerere akiwa Rais ulikuwa mdogo, Sasa nashangaa unaniambia wakati unazaliwa Mbowe alikuwa mwenyekiti wa CHADEMA. Umesahau kipindi Cha Urais wa Nyerere tulikuwa kwenye mfumo wa chama kimoja?
 
Mambo ya chama yanaisha kichama kwa kuzungumza na wahusika walirudisha mali.ndo maana Mali za chama zinathamani ya sh trillion 1.50
Ooh kumbe ufisadi na jinai zinamalizwa ndani ya chama sio mahakamani.... basi ni halali hata mafisadi waliopo TRA kuendelea kuiba maana mambo ya TRA "yanazungumzika" ndani ya TRA!!
 
Nimekuiliza swali jepesi ila umeshindwa kujibu. Miaka mingapi? Unaanza hadithi za kuzaliwa na kuwa na wajukuu. Yani wewe ni mnafiki Sana. Hapo juu umedai wakati Nyerere akiwa Rais ulikuwa mdogo, Sasa nashangaa unaniambia wakati unazaliwa Mbowe alikuwa mwenyekiti wa CHADEMA. Umesahau kipindi Cha Urais wa Nyerere tulikuwa kwenye mfumo wa chama kimoja?
Ha ha ha ha huyo jamaa ni bwege ina maana amezaliwa mwaka 2000 au?
 
Ule unaitwa uwekezaji
Iko wazi hakuna taifa linaajiri watu wote so ukiwa unataja miradi Magu alitaka serikali iwe na miradi mikubwa yenye kuweza kusaidia wengi kwa njia mbalimbali
Ndio mana anakuwa anawekwa sehemu ya juu na raia wengi
mAzuri yake yalikuwa wazi kuliko mabaya mnayoyasema
Miradi mingapi ameacha lakini haijamalizwa na ilhali aliyepokea alikuwa makamu wake
So jiulize kwanini aliyepokea inatumika nguvu kumfanya aonekane anatenda mazuri
izi ni phase katika kila taifa zinakuwepo marekan wanataka Trump arudi bongo mnalia na Magu
Libya wanalia na kifo ya QADDAFI mpk leo ko phase ya Tanzania iliyokuwa inasema tumpate mtu flani ivi na Jk alsema haya mmempata
WACHENI WATU WAMUONGELEE KILA UCHWAO MANA WALIONA MENGI YAKIFANYIKA
 
Akili zako ni ndogo sana .... HAKUNA KAMA JPM ALIKUTA NCHI IMECHAFUKA KIFISADI ...MFUMO MZIMA WA SERIKALI ULIKUWA CHINI YA RAIA FEKI NA MAFISADI..TOFAUTI NA NYERERE ...NYERERE KAPEWA NCHI IKIWA SAFI SANA KWENYE NYOYO ZA WATU.
Narudia Tena, acheni kumlinganisha Nyerere na vitu vya kipumbavu.
 
Basi Nyerere tumlinganishe na Mbowe maana mbowe yupo tokea vyama vingi vianze yeye ni mwenyekiti
Anaongoza chama cha Demokrasia🤣🤣🤣
Unaropoka tu. Eti tangu vyama vingi vianze. Ukiulizwa Mbowe amekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA tangu lini sidhani Kama utajibu. Endelea kujifurahisha.
 
Kwa hiyo mnamchukia Magufuli kea sababu ni mkristo??
Ndio Watanzania tumefika huku
Huyu kule Scandinavia angefungwa lile teso la eagle wings afu asubri mungu aje kumtoa ndo ungeelewa kwanini wenzetu walikubali Dini baada ya kuendelea cio wakati wanaendelea
 
Back
Top Bottom