KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Omba MUNGU akujalie kifo kizuriTutakufa tu ila Mungu hapendi uonezi na hapendi mwanadamu kutengeneza maisha ya nani aishi na nani afe ili niweze kutawala vema.
Atleast Magufuli alifariki mbele ya Watumishi wa Mungu wakiwa wanamuombea
Omba na wewe Mungu akujalie hilo