Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
structure ya ufisadi ni huyo Rais wako nyerere kutuwekea katiba mbovu na misingi ya woga ,,,pale hakuna Rais tulipigwa kwa kutengenezewa sifa nzuri.Nibora kuwa na uchumi mbovu kuliko kuligeuza taifa kuwa genge la wahuni wa wafisadi nyerere kaacha nchi safi sana ...kama nyerere alishindwa kiuchumi siyo kosa kosa ni kuigeuza nchi kuwa pango la mafisadi na wahuni