Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

Akili zako ni ndogo sana .... HAKUNA KAMA JPM ALIKUTA NCHI IMECHAFUKA KIFISADI ...MFUMO MZIMA WA SERIKALI ULIKUWA CHINI YA RAIA FEKI NA MAFISADI..TOFAUTI NA NYERERE ...NYERERE KAPEWA NCHI IKIWA SAFI SANA KWENYE NYOYO ZA WATU.
Vipi kuhusu Mwinyi aliyekuta nchi imekufa kabisa???
Mkuu Vipi kuhusu Sasa hivi na kipindi Magufuli anapokea nchi..?
Kupi kuna ufisadi mwingi
 
Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.

Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema bwana ya Nyerere lingekuwa limeshaisha na hivyo mgawo wa umeme tungekuwa tunausikia tu.

Treni Dar Dodoma ingekuwa tayari. Upigaji wa hela za umma ungekuwa mdogo sana.

Hadi 2030 tutasikia mengi.

Jana watu walilia, mkuu wa majeshi mstaafu alilia.
Itoshe tu kusema, RIP our beloved Dad, JPM.
Baba, hali huku ni mbaya kuliko kawaida.
 
Punguzeni sifa za kijinga. Mbona Jana wamefanya kuadhimisha siku yake ya kufa chato?.
Na wewe mbowe ukifa tutakukumbuka kwa lipi au kwa kumiliiki chama na kuongoza wapumbavu??
 
Mpeni Nyerere heshima yake basi. Kumlinganisha Nyerere na huyo kichaa sio haki
Basi Nyerere tumlinganishe na Mbowe maana mbowe yupo tokea vyama vingi vianze yeye ni mwenyekiti
Anaongoza chama cha Demokrasia🤣🤣🤣
 
Ndiyo maana Chadema ni mazwazwa mnapinga hadi ujenzi wa bwawa la umeme ambao ni kwa ajili yenu wenyewe.

Kucha kuombaomba tu walichofanyia kazi wanaume wenzenu,
. Lema na Lisu Familia zao wanalishwa na wazungu.
Huna hoja, naona kila uzi umekopi hii na ku paste kila mahali. Hii ndo aina ya vijana wanaoaminiwa kuitetea ccm mitandaoni. Martin mmoja wa Twitter ni vijana wote wa ccm humu Jf pamoja na Paschal 200, Lucas 7900, etwege 790×10⁶ kiufupi vijana watetezi wa ccm mitandaoni ni wapumbavu na hawana hoja
 
Samia hana ujanja. Inabidi tu amalizie miradi ya Jiwe ndio aanze kuwaza mengine.
Kuna watu mmesoma ila mmesomea ujinga. Kwani Samia aliingia na Ilani yake au ileile ya 2020? Ataanzishaje miradi yake nje na iliyoainishwa kwenye Ilani ya chama 2020-2025.
 
Kwakweli nchi imepwaya, ndo mana cdf analia
 
Mimi niseme tu JPM atabaki kua bora kuliko Mwl. JK na CCM wote waliowah kuiongozq hii nchi.
JPM anapigwa vita sana lakini bado mioyoni mwa watu anaish japo wengine wanajinafikia ili wapate kula kwenye serkali ya SSH.
Mwl. alikua bora ndio lakin si kwa kizazi cha utendaji wa sasa na kasi tunayoiitaji leo, Mtu pekee wa kutufaa alikua Jiwe.
 
Akina Aggrey Mwanri, Prof Kabudi nanAlhad na Kangi Lugora walikuwa wanamuita "Mheshimiwa mungu" naye alikuwa hakatai.
Ukiitwa mbele za Mungu utaweza kuthibitisha au unamfanyia mzaha Mungu?
 
Vipi kuhusu Mwinyi aliyekuta nchi imekufa kabisa???
Mkuu Vipi kuhusu Sasa hivi na kipindi Magufuli anapokea nchi..?
Kupi kuna ufisadi mwingi
Mwinyi ndiyo kaua nchi ....hapa tz marais waisiharamu ndiyo wanao hua nchi yetu siku zote kisha wanasingizia wakristo unajua nyerere kaondoka madarakani dola moja ya marekani ilikuwa sawa na sh ngapi? Je unajua nini kilitokea baada ya mwinyi kushika nchi kuhusi shilingi yetu ....mcheki samia naye bei ya vitu zinakwenda juu tu.
 
Back
Top Bottom