Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactWapumbavu na wajinga ndio wanakumbuka dikteta katili muuaji
Lile lilikuwa ni shetani halisi kabisaHata Adolph Hitler amegoma kufa tangu mwaka 1945.
Mijitu miuaji, mijitu midhalimu, mijitu mikatili tutaijadili sana ili taifa letu lisiingie tena kwenye makosa ya kuleta SHETANI kuwa Rais wa nchi yetu pendwa
Tena alikufa kizembe kabisaAnaongelewa sana kwa sababu alijifanya Mungu lakini matokeo yake korona ikamfagia pamoja na kuiba uchaguzi.
Ngoja tuone unachobisha nini maana mwaka wa tatu sasa bado magufuli anaongoza taifa kwa kauli na hotuba zake. Magufuli haters kina kipara bado wanapambana nae huku wakiabika tu mbele ya umma wa wananchi.Kiongozi aliyegoma Kufa kwa miaka 20 ni Nyerere Peke yake
Wewe ndo hujui.Samia ni Mwinyi wa pili...
Hakuna mtu anayejua Mwinyi alifanya nini
Punguzeni sifa za kijinga. Mbona Jana wamefanya kuadhimisha siku yake ya kufa chato?.Kumbuka huyu ana siku maalum. Lakini mwamba JPM pamoja na siku ya kifo chake kuingizwa mambo mengine ila bado anaishi mioyoni mwa watu. Ipo siku ukweli wa kifo chake utawekwa wazi! Tukazane tu na maombi
Mpeni Nyerere heshima yake basi. Kumlinganisha Nyerere na huyo kichaa sio hakiHata Magufuli itafikia miaka 20 pia na Nyerere atakuwa na arobaini
Ila kwanini nguvu kubwa sana inatumika na watesi wake kumpoteza mioyoni mwa watanzania?
Haki ya watu wasiojulikana. Aiseeh! Au ya kuzima mtandao siku ya kupiga kura. Haki inaonekana haipigiwi promo.Yule lazima asitoweke mdomoni mwa watu Kwa sababu kidogo alijutahidi kusimamia HAKI hakuna mtu duniani asie penda haki, au wew mtoa post haupendi HAKI?!
Yupo kariakoo anauza nyanya.Magufuli hajafa ila amehama mtaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kuna mzee mmoja leo kaniambia magu Yuko ikulu ya chamwino ,ndiio maana mma etu hataki kuishi nae mnk mzimu wa maguful upo haiWamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.
Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema bwana ya nyerere lingekuwa limeshaisha na hivyo mgawo wa umeme tungekuwa tunausikia tu.
Treni Dar Dodoma ingekuwa tayari. Upigaji wa hera za umma ungekuwa mdogo sana.
Hadi 2030 tutasikia mengi.
Jana watu walilia, mkuu wa majeshi mtaafu alilia.
Mwisho wa siku Nape ndiye aliyeshinda vita lakini....amerudi kuwa Waziri na MbungeUmenikumbusha Nape Nnauye alivyo tokwa na jasho kumfata ikulu😆😆😆😆😆
Mguvu kama ipi?Hata Magufuli itafikia miaka 20 pia na Nyerere atakuwa na arobaini
Ila kwanini nguvu kubwa sana inatumika na watesi wake kumpoteza mioyoni mwa watanzania?
Alilia wapi? Acheni cheap propaganda.mkuu wa majeshi mtaafu alilia.
Kumbe? Sasa ilikuaje akashindwa wasweka ndani majizi ya mali za CCM? Au waliotajwa ripoti ya makinikia?Akisema sitaki ujinga anamaanisha