Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

1000011126.jpg
 
Hata Adolph Hitler amegoma kufa tangu mwaka 1945.

Mijitu miuaji, mijitu midhalimu, mijitu mikatili tutaijadili sana ili taifa letu lisiingie tena kwenye makosa ya kuleta SHETANI kuwa Rais wa nchi yetu pendwa
Lile lilikuwa ni shetani halisi kabisa
 
Uliwahi kusikia habari ya Roho inayotangatanga?

Au uliwahi kusikia watu waliokufa kabla ya wakati wao?
 
Kiongozi aliyegoma Kufa kwa miaka 20 ni Nyerere Peke yake
Ngoja tuone unachobisha nini maana mwaka wa tatu sasa bado magufuli anaongoza taifa kwa kauli na hotuba zake. Magufuli haters kina kipara bado wanapambana nae huku wakiabika tu mbele ya umma wa wananchi.
 
Kumbuka huyu ana siku maalum. Lakini mwamba JPM pamoja na siku ya kifo chake kuingizwa mambo mengine ila bado anaishi mioyoni mwa watu. Ipo siku ukweli wa kifo chake utawekwa wazi! Tukazane tu na maombi
Punguzeni sifa za kijinga. Mbona Jana wamefanya kuadhimisha siku yake ya kufa chato?.
 
Anaongelewa kwasababu ya vituko vyake. Eti matajiri wataishi Kama mashetani. Shame on you.
 
Hata Magufuli itafikia miaka 20 pia na Nyerere atakuwa na arobaini

Ila kwanini nguvu kubwa sana inatumika na watesi wake kumpoteza mioyoni mwa watanzania?
Mpeni Nyerere heshima yake basi. Kumlinganisha Nyerere na huyo kichaa sio haki
 
Yule lazima asitoweke mdomoni mwa watu Kwa sababu kidogo alijutahidi kusimamia HAKI hakuna mtu duniani asie penda haki, au wew mtoa post haupendi HAKI?!
Haki ya watu wasiojulikana. Aiseeh! Au ya kuzima mtandao siku ya kupiga kura. Haki inaonekana haipigiwi promo.
 
Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.

Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema bwana ya nyerere lingekuwa limeshaisha na hivyo mgawo wa umeme tungekuwa tunausikia tu.

Treni Dar Dodoma ingekuwa tayari. Upigaji wa hera za umma ungekuwa mdogo sana.

Hadi 2030 tutasikia mengi.

Jana watu walilia, mkuu wa majeshi mtaafu alilia.
Kuna mzee mmoja leo kaniambia magu Yuko ikulu ya chamwino ,ndiio maana mma etu hataki kuishi nae mnk mzimu wa maguful upo hai

Akasema Hadi mwakani ndio magu atafariki rasmi
 
Back
Top Bottom