Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Mtu
'MTU hupoteza kipande Cha mkate kwa kahaba lakini kwa MKE wa MTU hupoteza uhai wake wote'
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yamejaa kibao Songea sahivi.
Hasa Msamala, hadi Kero yaan.
 
Kwakweli msamala wanajitahidi.. Yani mtu akiishi msamala Halafu asiende kanisani na makanisa yalovyojaa[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] mie siendi mbona, na wazazi/ndugu wao wanasali Roma.

Jaman Km hapa Miembeni makanisa 4, huko mkuzo 2,
Wakianza kupiga kelelee, mtaa mzima full tafraniii.
Nakerekaa mie. Aaaah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…