Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Mpelekee moto tu huenda ukaokoa jahazi la ndoa yake.

Hapo ndani kwake kuna fukuto, na wewe unaweza kumtuliza na akalea watoto wake.

Hili ni moja ya sababu ya malaya na wahuni kuwepo. Wanaokoa ndoa za watu na kubalance pale palipopungua.

Mtanipinga ila haya hufanyika kwenye jamii kisirisiri.
Kwahiyo mi ni muhuni wa kuokoa ndoa za wayu
 
Sasa utume nauli ya nini tena!!! ila madem wa bongo bana... Yaani mtu anakuletea mikosi, mijanaba na bado anakukosanisha na Mungu wako na bado unaingia gharama kuyatafuta yote hayo


Gaddemit
 
Shetani uwatumia sana mama wa chungaji kupitia roho za uzinzi kulivuruga kanisa.

Katoliki hawakuwa wajinga kutoruhusu mapadre kuoa,na siku wakiruhusu tu kanisa lazma lisambaratike kama makanisa ya waliooa.

Huwezi zozana na mkeo usiku kucha then asubuhi uingie kuhubiri.
Ila hawa watoto mapadre huwa wanawatoa wapi...
 
Sasa utume nauli ya nini tena!!! ila madem wa bongo bana... Yaani mtu anakuletea mikosi, mijanaba na bado anakukosanisha na Mungu wako na bado unaingia gharama kuyatafuta yote hayo


Gaddemit
Realy damshit.... nimekula buyuuu staki ujinga
 
Huo ndio ukweli binafsi siku tukigombana tukasolve hio show ntakupa ni kama naua mwizi ukitoka hapo unanisalimia kwakupiga goti... ila all jn all mchungaji amekaa kiroho mnooo sijiu nimwambie achangamke??
Hapo ni show tu ndio inahitajika
 
Mwenyewe nimekulia koto basi videmu vyote vyakota nilipitia si unajua ukiwa hendisamu wanajileta wenyewe [emoji16][emoji16]
Kuna mahali kota huwa tunajifichakaga tukiwa tunachezea dyudyu hahahha au kuna guest zile za jirani kama unaenda sokono hahah
 
Back
Top Bottom