Espoir_jnr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 489
- 1,934
Tuma nauli iyo, mama mchungaji aingie chaka usionane nae tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usije ukawa Katibu wa MchungajiSo katika kuchat akataka kujua if nimerudiana na mke wang nikamwambia not na haiwezekani akantania pengine wife kanikimbia sababu sina show kali yaan nina moto mdogo na kwamba na yeye angenikimbia ka angenikubali kipindi kile...
Nikaona dharau hizi nikamwambia nnamoto ambao hata yeye anaulilia mpaka sasa na hata yeye isingekua kumheshimu brother an am not dealing na wake za watu ningemuonesha namna wenzake wakotayri kushare na wenzao kwa moto nnaowapa...
Kilichomsaidia yusuph ni kutoka nduki angezubaa kidogo tu, damu zikajaa kwenye kichwa cha chini, leo tungekuwa tunaongea mengne.....Unaijua nguvu ya mwanamke wewe aliweza Yusuf pekee kuishinda.
Wengi upita na wake za marafiki zao kwa staili hizi hizi
Nilitaka nimuulize hivyo hivyo.Mbonaa kama unasali kanisa la wahuni ..!!
Spika kuubwa, kelele nyiingi. Ukichungulia ndani, unakuta wapo sita tu.Sijui niiwekaje ili nisieleweke vibaya.. Kuna makanisa flani hivi ya maturubai na mabanzi kila mtaa lazima ukutane nayo kama sio moja mawili, Nimeimagine tu nimepata taswira hiyo... Naonaga kama hawakogo serious sana,, hata sijui nawaza nini😴😴🤦♀️
Dada Dona nawe kumbe unapenda kupelekewa moto sana?🤣Mama Mchungaji ni binadamu...
Tena watu wanaomtumikia Mungu majaribu yao ni makubwa...
Lengo la adui shetani ni kuharibu Imani za watu na kanisa.
Tunataka motooo wewe huelewi, kwa kweli ndoaaa ni motoo kuwashwa, hata kama umegombana na mke wako baada ya ugomvi mpe motoo wa kueleweka hasira zote zinaishaaaa. Naomba uelewe Mtumishi ya mkini hiyo Mchungaji yuko rohoni sana anasahau kwamba kuna mtu anahitaji motooAiseeh wanajamvi habari zenu
Jana niliachwa hoi na kitu kilichonitokea yaan Imani imekua kitu cha kuchezewa na watu waliopewa dhamana.
Jana nilishinda mitaa ya leaders club nikipoteza mawazo na washkaji mpaka mida ya saa sita usiku nikarudi zangu kwetu huku Country side ilala vijijini...
Wakati napanda kwa bed nacheki simu nakutana na msg kutoka kwa mama mchungaji inasema "mambo baba jayaron" ofcoz alitumia jina langu la ujanani coz ananifahamu since i was young boy mwanzoni mwa miaka yangu ya 20's au kushuka chini kidogo...
Iyo text iliingia saa sita kasoro tano nikaona mama mchungaji bado yupo online ngoja nireply tukaanza kuchat sasa...
Nikirudi nyuma kidogo ya wakati tulipokua at one church kalikua ni ka binti kana mpenda saana Mungu na mimi kipindi icho nilikua naanza kujuajua videmu nikawa namfukuzia akawa ananichomolea kwakua kalikua bado yaani ka bikra... so nikajichanganya na mademu wengine kakanichukia ila baadae niliskia kalishikwa na mapepo baada ya kujichanganya kwenye mgegedo kakaombewa kika settle mi ndo nkazidi kukaogopa"
Kuhusu mchungaji, mume wake ni kijana tuliyekua naye wote kanisa though he is older than me kwa miaka notless than 7 may be... we call each other brothers na tunaheshimiana saana.
Brother after being broken na piss moja yenye shep hatari ya kipare (piss ya kipare ilidai bro amepooza saana na anahitaji mwanaume aliyechangamka akajamp na playerboy mmoja hapo church)
Mchungaji ikabidi ahamie kwa mama mchungaji akiamini ni bint mdogo ametulia hana makundi na huvaa kwa heshima saana. Akamuoa maisha yakaendelea.....
So katika kuchat akataka kujua if nimerudiana na mke wang nikamwambia not na haiwezekani akantania pengine wife kanikimbia sababu sina show kali yaan nina moto mdogo na kwamba na yeye angenikimbia ka angenikubali kipindi kile...
Nikaona dharau hizi nikamwambia nnamoto ambao hata yeye anaulilia mpaka sasa na hata yeye isingekua kumheshimu brother an am not dealing na wake za watu ningemuonesha namna wenzake wakotayri kushare na wenzao kwa moto nnaowapa... mwisho wasiku akadai anahitaji uo moto na namna anahamu nifanye mchakato nimtumie nauli aje auone huo moto.... aiseeh nilipagawa na kuhamaki saaana kimoyo moyo ikabidi niishie hapo nilale usingizi wa mang'amng'am...
Sasa kama wake za wachungaji nao si waaminifu, tena wenye kushauri na kuombea watu sasa tutafanyaje???
Wazee wa kataa ndoa tutawashauri nn??
Eti kina mama, dada na mabinti mnataka nn semeni tujue namna ya kuwatuliza??
Siwezi kumla huyo mamamuheshimu rafiki yako kabla ya kuidharau ndoa yake
Alaf naomba uelewe hata wao pia ji wanadamu wana hisia kama wewe, so kila mtu na tabia zake ila Mungu wa Neema ndio anatusaidia pale tunapomuomba so usishangae kuona hata viongozi wa dini wanakula ndogo na wao wanahisia,. So usitumie wadhifa wa walionao ku'judge kwamba ni wakamilifu hapanaaa,. Alafu nyie walokole mnaangalia dhambi ni kuzini hapana kunakuwaga na vitabia vya umbea uongo uchonganishi so usishangae kuona na hivyo mama mchungaji anatamani moto wako,. Hebu tuma nauli kwanza tuache maneno mengiAiseeh wanajamvi habari zenu
Jana niliachwa hoi na kitu kilichonitokea yaan Imani imekua kitu cha kuchezewa na watu waliopewa dhamana.
Jana nilishinda mitaa ya leaders club nikipoteza mawazo na washkaji mpaka mida ya saa sita usiku nikarudi zangu kwetu huku Country side ilala vijijini...
Wakati napanda kwa bed nacheki simu nakutana na msg kutoka kwa mama mchungaji inasema "mambo baba jayaron" ofcoz alitumia jina langu la ujanani coz ananifahamu since i was young boy mwanzoni mwa miaka yangu ya 20's au kushuka chini kidogo...
Iyo text iliingia saa sita kasoro tano nikaona mama mchungaji bado yupo online ngoja nireply tukaanza kuchat sasa...
Nikirudi nyuma kidogo ya wakati tulipokua at one church kalikua ni ka binti kana mpenda saana Mungu na mimi kipindi icho nilikua naanza kujuajua videmu nikawa namfukuzia akawa ananichomolea kwakua kalikua bado yaani ka bikra... so nikajichanganya na mademu wengine kakanichukia ila baadae niliskia kalishikwa na mapepo baada ya kujichanganya kwenye mgegedo kakaombewa kika settle mi ndo nkazidi kukaogopa"
Kuhusu mchungaji, mume wake ni kijana tuliyekua naye wote kanisa though he is older than me kwa miaka notless than 7 may be... we call each other brothers na tunaheshimiana saana.
Brother after being broken na piss moja yenye shep hatari ya kipare (piss ya kipare ilidai bro amepooza saana na anahitaji mwanaume aliyechangamka akajamp na playerboy mmoja hapo church)
Mchungaji ikabidi ahamie kwa mama mchungaji akiamini ni bint mdogo ametulia hana makundi na huvaa kwa heshima saana. Akamuoa maisha yakaendelea.....
So katika kuchat akataka kujua if nimerudiana na mke wang nikamwambia not na haiwezekani akantania pengine wife kanikimbia sababu sina show kali yaan nina moto mdogo na kwamba na yeye angenikimbia ka angenikubali kipindi kile...
Nikaona dharau hizi nikamwambia nnamoto ambao hata yeye anaulilia mpaka sasa na hata yeye isingekua kumheshimu brother an am not dealing na wake za watu ningemuonesha namna wenzake wakotayri kushare na wenzao kwa moto nnaowapa... mwisho wasiku akadai anahitaji uo moto na namna anahamu nifanye mchakato nimtumie nauli aje auone huo moto.... aiseeh nilipagawa na kuhamaki saaana kimoyo moyo ikabidi niishie hapo nilale usingizi wa mang'amng'am...
Sasa kama wake za wachungaji nao si waaminifu, tena wenye kushauri na kuombea watu sasa tutafanyaje???
Wazee wa kataa ndoa tutawashauri nn??
Eti kina mama, dada na mabinti mnataka nn semeni tujue namna ya kuwatuliza??
Makanisani na miskitini kumejaa wahuni wanaomtafuta Mungu so usiwaze saanaMbonaa kama unasali kanisa la wahuni ..!!
Jaman siku hizi tunakopaga tutarudishiwa tukifika maana mtu anaweza ghairi nikakosa uroda bure, nauli inatakiwa na uroda unatakiwa lazima kujiongeza,. Tukope tutafidiwa tukifika [emoji28]Mwananke akishaniambiaga tu hizo za nauli najuaga tu ni fake feelings na Mimi hisia zote kwake zinakata yani
Kwani dyudyu haimwagi mafuta mazuri ya kulainisha na kunogesha jamanUsisahau kilainishi kinaweza kuwa msaada wako mkubwa..
Usisahau uliandika hapaSasa kama wake za wachungaji nao
Sasa una uhakika gani km ulikua inaongea na yeye au unaongea na mapepo?ila baadae niliskia kalishikwa na mapepo
Mchungaji tubu umetukna fala wewe😀😀Brother kumbe unataka kumla mke wangu! Kwa taarifa yako ulikua unachat na Mimi! Sasa jichanganye ntakutafuna jicho la huzuni faller wewe
Kabisaaa tena mnabisha unapata nyege usiku unanyimwa unaamua kujihudumia mwenyewe alaf asbh unaingia kwenye ibada jamanShetani uwatumia sana mama wa chungaji kupitia roho za uzinzi kulivuruga kanisa.
Katoliki hawakuwa wajinga kutoruhusu mapadre kuoa,na siku wakiruhusu tu kanisa lazma lisambaratike kama makanisa ya waliooa.
Huwezi zozana na mkeo usiku kucha then asubuhi uingie kuhubiri.
RIP katibu hahahaUsije ukawa Katibu wa Mchungaji