Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Acha nae huyo bro. Mkatae.
Rafiki zangu wamekula mademu zangu wengi,marafiki zangu wameshiriki kuwaauza wapenzi wangu wengi,nachokumbuka kuhusu mademu wa rafiki zangu nimewachomolea wengi kulinda heshima za marafiki zangu na mashemeji zangu mpaka leo wananikubali na kunishirikisha kila kitu kwenye mahusiano yao.Sababu wanajua mi ni mtu wa tofauti labda ningekuwa na mchizi kama Jay z halafu beyo ndio shem ningemkula maana she was a girl of my dream kibongo bongo kama ningekuwa na mazoea na jamaa ake mobeto ningeusamehee tu ushikaji
 
Back
Top Bottom