Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
kwakweli hapo ndo nashindwa kuelewa nilikua nawaza nini.. Ngoja nile kwanza, labda nina njaaUsiriazi na genye wap na wap miss jf no 2?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwakweli hapo ndo nashindwa kuelewa nilikua nawaza nini.. Ngoja nile kwanza, labda nina njaaUsiriazi na genye wap na wap miss jf no 2?
Rafiki zangu wamekula mademu zangu wengi,marafiki zangu wameshiriki kuwaauza wapenzi wangu wengi,nachokumbuka kuhusu mademu wa rafiki zangu nimewachomolea wengi kulinda heshima za marafiki zangu na mashemeji zangu mpaka leo wananikubali na kunishirikisha kila kitu kwenye mahusiano yao.Sababu wanajua mi ni mtu wa tofauti labda ningekuwa na mchizi kama Jay z halafu beyo ndio shem ningemkula maana she was a girl of my dream kibongo bongo kama ningekuwa na mazoea na jamaa ake mobeto ningeusamehee tu ushikajiAcha nae huyo bro. Mkatae.
Kwa kweli, na ww binadamu unakula vinavyolika, Dunia uwanja wa fujo[emoji23][emoji23][emoji23]Usiwe serious sana bn
Kwahiyo mchungaji ulijilengesha kwa jamaa, wewe ndo umemuanza iweje upate hasiraBrother kumbe unataka kumla mke wangu! Kwa taarifa yako ulikua unachat na Mimi! Sasa jichanganye ntakutafuna jicho la huzuni faller wewe
Ila hawa wa makanisa ya hivyo humo kwenye kwaya zao wanapelekeana moto kwa speed hatari.kwakweli hapo ndo nashindwa kuelewa nilikua nawaza nini.. Ngoja nile kwanza, labda nina njaa
Nshawahi fanya huo ujinga nshatubu lkn hz story ni kama zinanikumbusha huo upuuzi! Na mm n muumini wa karma aisee siku nikioa watamuua mke wangu🧐acheni tu niwe kataa ndoaTena nje wanajua kuwasha moto kesho yake anaenda bila kutumiwa nauli, chezea moto wewe
Katika wote walio elewa ukitokea kilaza mmoja ka wewe haunishtuiAcha stori za kutunga hata hazieleweki
Anadanganya huyo firauni anachatigi na mke wangu yy ndo kaanzaKwahiyo mchungaji ulijilengesha kwa jamaa, wewe ndo umemuanza iweje upate hasira
😃😃😃Kwahiyo mchungaji ulijilengesha kwa jamaa, wewe ndo umemuanza iweje upate hasira
Brother wanawake sio wakuwaamini hasa wenye kujifanya wanadini au wanamisismamoNshawahi fanya huo ujinga nshatubu lkn hz story ni kama zinanikumbusha huo upuuzi! Na mm n muumini wa karma aisee siku nikioa watamuua mke wangu🧐acheni tu niwe kataa ndoa
Mungu atusaidie tu kwakweliIla hawa wa makanisa ya hivyo humo kwenye kwaya zao wanapelekeana moto kwa speed hatari.
Hapana mwambie akuonyeshe chat mi nnazo sijazifuta bado😂😂😂Anadanganya huyo firauni anachatigi na mke wangu yy ndo kaanza
Tusiwe wepesi kuamini mwanadamu zaidi ya MunguMungu atusaidie tu kwakweli
Itakuwa unataka mkeo akaliwe, hiyo nauli ni wewe unataka pesa. Kazi kweli kweliAnadanganya huyo firauni anachatigi na mke wangu yy ndo kaanza
Sema mwache mke wangu ntakupa namba za aggy ubebike nae😂Brother wanawake sio wakuwaamini hasa wenye kujifanya wanadini au wanamisismamo
Ni makanisa yoote na misikiti hio dhambi haibaguiIla hawa wa makanisa ya hivyo humo kwenye kwaya zao wanapelekeana moto kwa speed hatari.
Kaedit story huyo ngurvandu😂Itakuwa unataka mkeo akaliwe, hiyo nauli ni wewe unataka pesa. Kazi kweli kweli
SawasawaTusiwe wepesi kuamini mwanadamu zaidi ya Mungu
Mchungaji umefeli😀Kaedit story huyo ngurvandu😂
🤣🤣🤣🤣 bro nakuheshim sito mtafuna ila apunguze mitegoSema mwache mke wangu ntakupa namba za aggy ubebike nae😂