Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Mama Mchungaji ni binadamu...

Tena watu wanaomtumikia Mungu majaribu yao ni makubwa...

Lengo la adui shetani ni kuharibu Imani za watu na kanisa.
Hakuna cha majaribu apo mchunga anazembea show[emoji12]
 
Hapo hakuna cha ajabu. Naye ni binadamu ana hisia.

Kila mwanadamu ana udadisi. Huenda kwa muonekano wako anafikiri atapata kitu cha ziada.

Ila nakushauri. Achana na mke wa mtu. Hao viumbe wapo wengi tu mtaani. Vuta single mother mmoja uvinjari naye.
 
Jaman siku hizi tunakopaga tutarudishiwa tukifika maana mtu anaweza ghairi nikakosa uroda bure, nauli inatakiwa na uroda unatakiwa lazima kujiongeza,. Tukope tutafidiwa tukifika [emoji28]
Bora ufike kwanza yani ndo uanze kuleta habari za ela sio eti tuma nauli ndo nije... Nishawachinjia mbali sana wa stail hizo
 
Usiriazi na genye wap na wap miss jf no 2?
 
Acha stori za kutunga hata hazieleweki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…