Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Ngoja ninyamaze
 
Najuta sana japo sio kiivo ila maisha ya kota Kuna mda ni ufala
Kota hata mm nimekaa hahah nimezaliwa kotaa yaani nakumbuka kuna mahali nilikuwa napelekwa moto hahaha yaani kota jamani kwanza sio pa kukaa na watoto wako wanaweza haribika kwa kweli
 
Labda huyo mama ni mama mchungaji wa kisasa, binti asiye na adabu kwenye ndoa yake. Mchungaji wa kisasa ukigundua mkeo anakuchiti piga chini, inaruhusiwa hiyo, mwanamke mzinzi huachwa na hakuna dhambi hapo wala haihitaji talaka mahakamani, piga chini awe huru kufanya umalaya wake hatubembelezi ndoa zenye kero za uzinzi
 
Waumini wa feel free Church mna mapepo sana, ebu mwacheni mama Mchungaji
 
Kilichomsaidia yusuph ni kutoka nduki angezubaa kidogo tu, damu zikajaa kwenye kichwa cha chini, leo tungekuwa tunaongea mengne.....
Kweli hamna ujanja ukiwa nayo karibu labda uwe hanidhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…