Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Tunataka motooo wewe huelewi, kwa kweli ndoaaa ni motoo kuwashwa, hata kama umegombana na mke wako baada ya ugomvi mpe motoo wa kueleweka hasira zote zinaishaaaa. Naomba uelewe Mtumishi ya mkini hiyo Mchungaji yuko rohoni sana anasahau kwamba kuna mtu anahitaji motoo
Huo ndio ukweli binafsi siku tukigombana tukasolve hio show ntakupa ni kama naua mwizi ukitoka hapo unanisalimia kwakupiga goti... ila all jn all mchungaji amekaa kiroho mnooo sijiu nimwambie achangamke??
 
Alaf naomba uelewe hata wao pia ji wanadamu wana hisia kama wewe, so kila mtu na tabia zake ila Mungu wa Neema ndio anatusaidia pale tunapomuomba so usishangae kuona hata viongozi wa dini wanakula ndogo na wao wanahisia,. So usitumie wadhifa wa walionao ku'judge kwamba ni wakamilifu hapanaaa,. Alafu nyie walokole mnaangalia dhambi ni kuzini hapana kunakuwaga na vitabia vya umbea uongo uchonganishi so usishangae kuona na hivyo mama mchungaji anatamani moto wako,. Hebu tuma nauli kwanza tuache maneno mengi
Nauli si atumie sadaka zangu ....🤣🤣🤣 ila kwa viongozi na wake zao wangekua wavumilivu kidogo
 
Madhara ya hilo jambo lenu ni mabaya mnoo.. pia huwezi kuyaona sasa hivi.. yatakuja kutokea badae sanaa.. yaani ukifanya kuna mkosi/nuksi unajiandalia mwenyewe.. usifanye.. nasisitiza usifanye... ikiwezekana acha mawasiliano nae(chatting) Utanikumbuka na utanishukuru
 
Madhara ya hilo jambo lenu ni mabaya mnoo.. pia huwezi kuyaona sasa hivi.. yatakuja kutokea badae sanaa.. yaani ukifanya kuna mkosi/nuksi unajiandalia mwenyewe.. usifanye.. nasisitiza usifanye... ikiwezekana acha mawasiliano nae(chatting) Utanikumbuka na utanishukuru
Kikweli Mungu anisaidie sitaki kumtafuta na sitak chatting maana mimi pia ni baba huruma 😔😔😔
 
Dini haibadili tabia ya mtu. Mfano wakati Yakobo ana transfer Grace toka kwake kwenda kwa Joseph, alijua kabisa mwanae ana tatizo la kutotunza siri na yeye hakumshauri kuhusu hilo.

Ndio maana baada ya Joseph kuota ndoto akaisimulia bila kujali athari zake baadae.
Mungu akikupa grace haiondoi tabia ila inaidhihirisha maana unakuwa na confidence.
Sasa doctrine nyingi za dini zetu zinafundisha kwamba unabadilishwa unakua mpyaaaaaaa
 
Aiseeh wanajamvi habari zenu

Jana niliachwa hoi na kitu kilichonitokea yaan Imani imekua kitu cha kuchezewa na watu waliopewa dhamana.

Jana nilishinda mitaa ya Leaders Club nikipoteza mawazo na washkaji mpaka mida ya saa sita usiku nikarudi zangu kwetu huku Country side Ilala vijijini.

Wakati napanda kwa bed nacheki simu nakutana na msg kutoka kwa mama mchungaji inasema "mambo baba jayaron" ofcoz alitumia jina langu la ujanani coz ananifahamu since i was young boy mwanzoni mwa miaka yangu ya 20's au kushuka chini kidogo.

Hiyo text iliingia saa sita kasoro tano nikaona mama mchungaji bado yupo online ngoja nireply tukaanza kuchat sasa.

Nikirudi nyuma kidogo ya wakati tulipokua at one church kalikua ni kabinti kana mpenda saana Mungu na mimi kipindi icho nilikua naanza kujuajua videmu nikawa namfukuzia akawa ananichomolea kwakua kalikua bado yaani ka bikra... so nikajichanganya na mademu wengine kakanichukia ila baadae niliskia kalishikwa na mapepo baada ya kujichanganya kwenye mgegedo kakaombewa kika settle mi ndo nkazidi kukaogopa"

Kuhusu mchungaji, mume wake ni kijana tuliyekua naye wote kanisa though he is older than me kwa miaka notless than 7 may be... we call each other brothers na tunaheshimiana saana.

Brother after being broken na piss moja yenye shep hatari ya kipare (piss ya kipare ilidai bro amepooza saana na anahitaji mwanaume aliyechangamka akajamp na playerboy mmoja hapo church).

Mchungaji ikabidi ahamie kwa mama mchungaji akiamini ni bint mdogo ametulia hana makundi na huvaa kwa heshima saana. Akamuoa maisha yakaendelea.....

So katika kuchat akataka kujua if nimerudiana na mke wangu nikamwambia not na haiwezekani akantania pengine wife kanikimbia sababu sina show kali yaani nina moto mdogo na kwamba na yeye angenikimbia ka angenikubali kipindi kile.

Nikaona dharau hizi nikamwambia nnamoto ambao hata yeye anaulilia mpaka sasa na hata yeye isingekua kumheshimu brother an am not dealing na wake za watu ningemuonesha namna wenzake wakotayri kushare na wenzao kwa moto nnaowapa... mwisho wasiku akadai anahitaji uo moto na namna anahamu nifanye mchakato nimtumie nauli aje auone huo moto.... aiseeh nilipagawa na kuhamaki saaana kimoyo moyo ikabidi niishie hapo nilale usingizi wa mang'amng'am...

Sasa kama wake za wachungaji nao si waaminifu, tena wenye kushauri na kuombea watu sasa tutafanyaje???

Wazee wa kataa ndoa tutawashauri nini?

Eti kina mama, dada na mabinti mnataka nini semeni tujue namna ya kuwatuliza?
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Masanja Mkandamizaji...
 
Aiseeh wanajamvi habari zenu

Jana niliachwa hoi na kitu kilichonitokea yaan Imani imekua kitu cha kuchezewa na watu waliopewa dhamana.

Jana nilishinda mitaa ya Leaders Club nikipoteza mawazo na washkaji mpaka mida ya saa sita usiku nikarudi zangu kwetu huku Country side Ilala vijijini.

Wakati napanda kwa bed nacheki simu nakutana na msg kutoka kwa mama mchungaji inasema "mambo baba jayaron" ofcoz alitumia jina langu la ujanani coz ananifahamu since i was young boy mwanzoni mwa miaka yangu ya 20's au kushuka chini kidogo.

Hiyo text iliingia saa sita kasoro tano nikaona mama mchungaji bado yupo online ngoja nireply tukaanza kuchat sasa.

Nikirudi nyuma kidogo ya wakati tulipokua at one church kalikua ni kabinti kana mpenda saana Mungu na mimi kipindi icho nilikua naanza kujuajua videmu nikawa namfukuzia akawa ananichomolea kwakua kalikua bado yaani ka bikra... so nikajichanganya na mademu wengine kakanichukia ila baadae niliskia kalishikwa na mapepo baada ya kujichanganya kwenye mgegedo kakaombewa kika settle mi ndo nkazidi kukaogopa"

Kuhusu mchungaji, mume wake ni kijana tuliyekua naye wote kanisa though he is older than me kwa miaka notless than 7 may be... we call each other brothers na tunaheshimiana saana.

Brother after being broken na piss moja yenye shep hatari ya kipare (piss ya kipare ilidai bro amepooza saana na anahitaji mwanaume aliyechangamka akajamp na playerboy mmoja hapo church).

Mchungaji ikabidi ahamie kwa mama mchungaji akiamini ni bint mdogo ametulia hana makundi na huvaa kwa heshima saana. Akamuoa maisha yakaendelea.....

So katika kuchat akataka kujua if nimerudiana na mke wangu nikamwambia not na haiwezekani akantania pengine wife kanikimbia sababu sina show kali yaani nina moto mdogo na kwamba na yeye angenikimbia ka angenikubali kipindi kile.

Nikaona dharau hizi nikamwambia nnamoto ambao hata yeye anaulilia mpaka sasa na hata yeye isingekua kumheshimu brother an am not dealing na wake za watu ningemuonesha namna wenzake wakotayri kushare na wenzao kwa moto nnaowapa... mwisho wasiku akadai anahitaji uo moto na namna anahamu nifanye mchakato nimtumie nauli aje auone huo moto.... aiseeh nilipagawa na kuhamaki saaana kimoyo moyo ikabidi niishie hapo nilale usingizi wa mang'amng'am...

Sasa kama wake za wachungaji nao si waaminifu, tena wenye kushauri na kuombea watu sasa tutafanyaje???

Wazee wa kataa ndoa tutawashauri nini?

Eti kina mama, dada na mabinti mnataka nini semeni tujue namna ya kuwatuliza?
Part 2 loading...
 
Ndo ikose thamani kisa mwanamke mmoja asie na maadili?
Tushakubaliana kwa sasa wanawake wote si waaminifu kwenye ndoa isipokua watumishi sasa hata wao wakifanana na wahuni ndio maana yunasema haina thamani
 
Aiseeh wanajamvi habari zenu

Jana niliachwa hoi na kitu kilichonitokea yaan Imani imekua kitu cha kuchezewa na watu waliopewa dhamana.

Jana nilishinda mitaa ya Leaders Club nikipoteza mawazo na washkaji mpaka mida ya saa sita usiku nikarudi zangu kwetu huku Country side Ilala vijijini.

Wakati napanda kwa bed nacheki simu nakutana na msg kutoka kwa mama mchungaji inasema "mambo baba jayaron" ofcoz alitumia jina langu la ujanani coz ananifahamu since i was young boy mwanzoni mwa miaka yangu ya 20's au kushuka chini kidogo.

Hiyo text iliingia saa sita kasoro tano nikaona mama mchungaji bado yupo online ngoja nireply tukaanza kuchat sasa.

Nikirudi nyuma kidogo ya wakati tulipokua at one church kalikua ni kabinti kana mpenda saana Mungu na mimi kipindi icho nilikua naanza kujuajua videmu nikawa namfukuzia akawa ananichomolea kwakua kalikua bado yaani ka bikra... so nikajichanganya na mademu wengine kakanichukia ila baadae niliskia kalishikwa na mapepo baada ya kujichanganya kwenye mgegedo kakaombewa kika settle mi ndo nkazidi kukaogopa"

Kuhusu mchungaji, mume wake ni kijana tuliyekua naye wote kanisa though he is older than me kwa miaka notless than 7 may be... we call each other brothers na tunaheshimiana saana.

Brother after being broken na piss moja yenye shep hatari ya kipare (piss ya kipare ilidai bro amepooza saana na anahitaji mwanaume aliyechangamka akajamp na playerboy mmoja hapo church).

Mchungaji ikabidi ahamie kwa mama mchungaji akiamini ni bint mdogo ametulia hana makundi na huvaa kwa heshima saana. Akamuoa maisha yakaendelea.....

So katika kuchat akataka kujua if nimerudiana na mke wangu nikamwambia not na haiwezekani akantania pengine wife kanikimbia sababu sina show kali yaani nina moto mdogo na kwamba na yeye angenikimbia ka angenikubali kipindi kile.

Nikaona dharau hizi nikamwambia nnamoto ambao hata yeye anaulilia mpaka sasa na hata yeye isingekua kumheshimu brother an am not dealing na wake za watu ningemuonesha namna wenzake wakotayri kushare na wenzao kwa moto nnaowapa... mwisho wasiku akadai anahitaji uo moto na namna anahamu nifanye mchakato nimtumie nauli aje auone huo moto.... aiseeh nilipagawa na kuhamaki saaana kimoyo moyo ikabidi niishie hapo nilale usingizi wa mang'amng'am...

Sasa kama wake za wachungaji nao si waaminifu, tena wenye kushauri na kuombea watu sasa tutafanyaje???

Wazee wa kataa ndoa tutawashauri nini?

Eti kina mama, dada na mabinti mnataka nini semeni tujue namna ya kuwatuliza?
Tuma nauli ndio mpango muhimu kwanza
 
Back
Top Bottom