Sasa ni wakati wanaCCM tujitafakari na kuchukua hatua. Je, chama chetu ni mali ya wakulima na wafanyakazi? Au ni mali ya wajanja wachache?

Sasa ni wakati wanaCCM tujitafakari na kuchukua hatua. Je, chama chetu ni mali ya wakulima na wafanyakazi? Au ni mali ya wajanja wachache?

Usijali Mkuu !CHAMA Bado kinapitia mageuzi MENGI!wenye NAFASI zao hawatadumu wapo wanaandaliwa watakao dumu na CHAMA!tena waliotayari Mwenye serikali ya mseto
 
Bila hata ya kutumia hadubini sasa ndio wakati wa kuchambua pumba na mchele.

Chama chetu kilianza na madhumuni mazuri kabisa ya kuwa chama cha kuwatumikia watanzania ambao ni wakulima na wafanyakazi.

Ndio ilikuwa dhima kuu kuleta maendeleo kwa manufaa ya kila mtanzania.

Hakikuwa mali ya wajanja wachache huko nyuma ambao wao ni kushibisha matumbo yao.

Sasa tutafakari na kufanya tathimini juu ya CcM ya leo. Ambayo ni mali ya familia ya wajanja wachache.

Ccm ya wakulima na wafanyakazi ilikufa rasmi baada ya azimio la Zanzibar. Sasa hivi ccm imetolewa mikononi mwa washenzi wa sukuma gang walioendesha siasa za kidhalimu chini ya kiongozi muovu aliyeko motoni, na imerejea mikononi mwa majizi ya msoga line wenye siasa za ustaarabu wa kinafiki. Ni bora kwa mbali kwa ccm ya haya majizi ya msoga line, kuliko yale majizi na mauaji ya sukuma gang.
 
Wenzio wana plan A mpaka F ilihali ww una plan A tu. Yanayotokea ukute Watu waliwaza miaka 6 mbele.
 
Bila hata ya kutumia hadubini sasa ndio wakati wa kuchambua pumba na mchele.

Chama chetu kilianza na madhumuni mazuri kabisa ya kuwa chama cha kuwatumikia watanzania ambao ni wakulima na wafanyakazi.

Ndio ilikuwa dhima kuu kuleta maendeleo kwa manufaa ya kila mtanzania.

Hakikuwa mali ya wajanja wachache huko nyuma ambao wao ni kushibisha matumbo yao.

Sasa tutafakari na kufanya tathimini juu ya CcM ya leo. Ambayo ni mali ya familia ya wajanja wachache.
Sukuma gang mapema sana mshaanza kuteseka
 
Ccm ya wakulima na wafanyakazi ilikufa rasmi baada ya azimio la Zanzibar. Sasa hivi ccm imetolewa mikononi mwa washenzi wa sukuma gang walioendesha siasa za kidhalimu chini ya kiongozi muovu aliyeko motoni, na imerejea mikononi mwa majizi ya msoga line wenye siasa za ustaarabu wa kinafiki. Ni bora kwa mbali kwa ccm ya haya majizi ya msoga line, kuliko yale majizi na mauaji ya sukuma gang.
Unataka kuaminisha watu ilishawahi kutokea Ccm iliyokuwa ina parade watu mitaaani na kuwapiga risasi?

Majizi ya msoga yakifanya ufisadi ni sawa tu kwako?
 
Unaanzisha mada iliyo juu ya uwezo wako kabisa kuijadili, huu ndio utapeli uliojaa ndani ya CCM siku hizi.
Wewe ni wa kujadili ishu na watu? Mweupe kabisa mkichwa.
 
Wanaomtetea Pombe wanasema yule makamu lilikuwa pendekezo la chama chake.
Pendekezo au shinikizo la chama lilikuwepo wakati wa uchaguzi wa kwanza, Pombe akiwa hana nguvu ya kukataa lolote.

Muhula wa pili Pombe Magufuli alikuwa on top of the world. Vingunge vyote vya chama alishavizima, Kinana, Makamba, Membe, Nape, aliwatilisha adabu. Mwinyi alishapoteza umakini wa akili, Mkapa alishakufa.

Kikwete naye alishapigwa pini. Taarifa zinasema Pombe alimwita IGP aje kumbeba Salma aliyekuja Ikulu kufoka na kulazimisha makontena yake yapite bila kodi, IGP akampigia simu Kikwete, ambae alijibu kama anataka kumkamata mwache amkamate. IGP akampikia Mkapa ambae ndie aliyezima sakata.

Kama Pombe Magufuli alikuwa na balls za kusimama wima mbele ya Kikwete ni nani kwenye chama angemlazimisha kumchukua huyu Mama Samia kuwa makamu safari ya pili ????

Wakulima na Wafanyakazi tulipewa chama, lakini tulivyo mazezeta tukawarudishia, tukampa umakamu Mama tusiyemjua. Again, tunataka wakulima na wafanyakazi wajanja.
 
Bila hata ya kutumia hadubini sasa ndio wakati wa kuchambua pumba na mchele.

Chama chetu kilianza na madhumuni mazuri kabisa ya kuwa chama cha kuwatumikia watanzania ambao ni wakulima na wafanyakazi.

Ndio ilikuwa dhima kuu kuleta maendeleo kwa manufaa ya kila mtanzania.

Hakikuwa mali ya wajanja wachache huko nyuma ambao wao ni kushibisha matumbo yao.

Sasa tutafakari na kufanya tathimini juu ya CcM ya leo. Ambayo ni mali ya familia ya wajanja wachache.

Nakwambia inachukiza sana kuona chama kimetekwa.
 
Wewe ni wa kujadili ishu na watu? Mweupe kabisa mkichwa.
Nimekwisha malizana nawe, kwa maana nshajuwa kina chako. Siwezi kucheza na kichaa bila kuonekana mbele za watu kuwa nami ni kichaa.
Kafilie mbali huko.
 
Unataka kuaminisha watu ilishawahi kutokea Ccm iliyokuwa ina parade watu mitaaani na kuwapiga risasi?

Majizi ya msoga yakifanya ufisadi ni sawa tu kwako?

Kwani uongo, ni wapinzani wangapi wametiwa ulemavu na hata kuuwawa hadharani na vifichoni, kisha habari kuzuiwa zisitangazwe? Acha hao Msoga line waibe kuliko nyie sukuma mliokuwa mnaiba, na kutawala kihayawani huku mkigoma watu kuongea uhuni wenu.
 
Wenzio wana plan A mpaka F ilihali ww una plan A tu. Yanayotokea ukute Watu waliwaza miaka 6 mbele.

Acha hizo, hawana plan Wala Nini. Back up ya dola inawasaidia. Refer 2019 na 2020 chaguzi zilivyoendeshwa.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Pendekezo au shinikizo la chama lilikuwepo wakati wa uchaguzi wa kwanza, Pombe akiwa hana nguvu ya kukataa lolote.

Muhula wa pili Pombe Magufuli alikuwa on top of the world. Vingunge vyote vya chama alishavizima, Kinana, Makamba, Membe, Nape, aliwatilisha adabu. Mwinyi alishapoteza umakini wa akili, Mkapa alishakufa.

Kikwete keshapigwa pini. Taarifa zinasema Pombe alimwita IGP aje kumbeba Salma aliyekuja Ikulu kufoka na kulazimisha makontena yake yapite bila kodi, IGP akampigia simu Kikwete, ambae alijibu kama anataka kumkamata mwache amkamate. IGP akampikia Mkapa ambae ndie aliyezima sakata.

Kama Pombe Magufuli alikuwa na balls za kusimama wima mbele ya Kikwete na mkewe ni nani kwenye chama angemlazimisha kumchukua huyu Mama Samia kuwa makamu safari ya pili ????

Wakulima na Wafanyakazi tulipewa chama, lakini tulivyo mazezeta tukawarudishia, tukampa umakamu Mama tusiyemjua. Tunataka wakulima na wafanyakazi wajanja.

Magufuli hana balls zozote ni ubabe tu. Amekiri wazi choice yake ya umakamu alikuwa Ni Hussein mwinyi, lakini chama kikataka mwanamke. Kama angekuwa na balls angekomaa.
 
Back
Top Bottom