Sasa ni wakati wanaCCM tujitafakari na kuchukua hatua. Je, chama chetu ni mali ya wakulima na wafanyakazi? Au ni mali ya wajanja wachache?

Sasa ni wakati wanaCCM tujitafakari na kuchukua hatua. Je, chama chetu ni mali ya wakulima na wafanyakazi? Au ni mali ya wajanja wachache?

Ccm imekua chama cha kakikundi fulani kutokea ukanda wa pwani..sio tena chama cha wakulima na wafanyakazi.

Halafu utasikia wanawasema cdm..kweli nyani haoni kundule.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wakulima na wafanyakazi tulibahatika kukomboa chama chetu lakini kwa sababu sisi sio wajanja tumewarudishia.

Pombe Magufuli kumpa umakamu yule Mama asiyemfahamu lilikuwa ni kosa kubwa la kizezeta.

Tunapaswa kukuza wakulima na wafanyakazi wajanja.
Hata kama angekuwa makamu yeye mwenyewe Magufuli chama kingerudi tu kwa Wajanja
 
Bila hata ya kutumia hadubini sasa ndio wakati wa kuchambua pumba na mchele.

Chama chetu kilianza na madhumuni mazuri kabisa ya kuwa chama cha kuwatumikia watanzania ambao ni wakulima na wafanyakazi.

Ndio ilikuwa dhima kuu kuleta maendeleo kwa manufaa ya kila mtanzania.

Hakikuwa mali ya wajanja wachache huko nyuma ambao wao ni kushibisha matumbo yao.

Sasa tutafakari na kufanya tathimini juu ya CcM ya leo. Ambayo ni mali ya familia ya wajanja wachache.
Naona unalia baada ya kuwa nje ya "system"ya ulaji
 
Back
Top Bottom