Sasa nimeamini JKT hakuna na Chuo ni September/October


kweli kabisa mana ikiwa hivo hadi field zitatofautiana sana kwa wanachuo hasa first year na continous
 

utachanganya kwani havard mbona ma dr. Pr na ta hawapumiziki
 
ni kwl kbs, nakuunga mkono coz hata wanajesh walopo jkt wanasema 2ombe mungu chuo kiwe mwaka huu, ndo awamu ya 3 haitakuwepo. sasa hii inamaan kua ratb ya chuo/tcu ndo inadetermine awam za jkt! na c jkt kudetermin ratb ya vyuo vkuu...
 



Meja Jenerali Raphael Muhuga

Msijifariji mliobaki kamanda alishasema mtaenda mwezi september na haitobadilika soma hapa Tangazo la jkt1
pia VIJANA WA MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA PILI




 
ni kwl kbs, nakuunga mkono coz hata wanajesh walopo jkt wanasema 2ombe mungu chuo kiwe mwaka huu, ndo awamu ya 3 haitakuwepo. sasa hii inamaan kua ratb ya chuo/tcu ndo inadetermine awam za jkt! na c jkt kudetermin ratb ya vyuo vkuu...
mkuu msijifariji mliobaki kamanda alishasema mtaenda mwezi september na haitobadilika soma hapa Tangazo la jkt1
pia VIJANA WA MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA PILI
 
ha2jifarij, ila hli tangazo halpo waz, soma vzr. amesema awamu ztaendlea kuwepo ila hajasem ztakuwep ln! inamaan kua nae hajapat muafak wa awamu inayokuja, kubadl muhula wa vyuo vkuu c rahc bna, inahtaj mchakt wa muda mrf sn..,
 

Dah una maelezo mazuri kwelikweli,kwan wewe una kitengo gani TCU?
 

wataenda hao teaching hv facult nyngne may be utaratibu uchange maana ukinikabidhi lesseni sio lazma niajiliwe gvt na utaratibu majibu yanatoka na lesin zkiwa tayari tutakwea pipa tukawahudumie binadamu wa nje ya nchi
 

Dah!unajua kuelezea vizuri kwelikweli,kwan wewe una kitengo gani TCU?
 
lile tangazo la jkt lillosema kuna awamu ya 3 kwenda jkt n kuwapa moyo ili wajue kuwa na sisi 2liobak kuwa 2taenda lakn ukwl kuwa hakuna jkt awamu ya 3 kwa huu mwaka kwaiyo chuo n sept au oct
 
lile tangazo la jkt lillosema kuna awamu ya 3 kwenda jkt n kuwapa moyo ili wajue kuwa na sisi 2liobak kuwa 2taenda lakn ukwl kuwa hakuna jkt awamu ya 3 kwa huu mwaka kwaiyo chuo n sept au oct

pale jkt una kitengo gan mzee mpaka unatuhakikishia kiasi hicho.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…