Sasa rukhsa Meli kubeba chakula kutoka bandari za Ukraine zilizotekwa

Sasa rukhsa Meli kubeba chakula kutoka bandari za Ukraine zilizotekwa

Reuters na mashirika mengine ya habari

1653566415641.png
 
Misri walipelekewa meli moja ya ngano wakadai makaratasi ya mzigo.Haijulikani kama waliicha ikarudi Urusi au walichukua bidhaa.Sasa itakuwa rahisi kupewa mzigo na makaratasi yote wanayotaka
wanataka chakula au makaratasi??
 
Urusi imesema kuanzia sasa meli zitakazopenda kwenda na kuondoka bandari za bahari nyeusi zilizokuwa za Ukraine ni ruhusa kufanya hivyo na zitapatiwa kila aina ya ulinzi ili zibaki salama.

Hayo yamesemwa na wizara ya ulinzi ya Urusi wakati ikiwa imefanikiwa kuzishika bandari hizo muhimu kwa usafirishaji wa chakula duniani.

Kauli hiyo imekuja huku raisi Putin wa Urusi akiwa ametia saini tamko la kurahisisha mwananchi yeyote wa Ukraine katika majimbo iliyoyateka kuomba na kupatiwa uraia wa jamhuri ya Urusi.
propaganda ya nguvu sana, hakuna uhuru wowote russia ilioupata kwa majimbo ya donbas wala bandari sharti la kuziachia meli chakula kupita ni amri waliyolazimiwa kutoka Marekani., putini hana namna
 
Siyo kodi tu ye ndio anauza hizo nafaka tena kwa mataifa ambayo sio adui kwa Urusi, kwa NATO kibano kipo palepale!!
Hawezi kuuuza wewe .Gas tu na Mafuta ameshindwa kwa sababu ya currency na hana mawasiliano ya kibenk na zante kwa swift
 
Back
Top Bottom