Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanataka chakula au makaratasi??Misri walipelekewa meli moja ya ngano wakadai makaratasi ya mzigo.Haijulikani kama waliicha ikarudi Urusi au walichukua bidhaa.Sasa itakuwa rahisi kupewa mzigo na makaratasi yote wanayotaka
propaganda ya nguvu sana, hakuna uhuru wowote russia ilioupata kwa majimbo ya donbas wala bandari sharti la kuziachia meli chakula kupita ni amri waliyolazimiwa kutoka Marekani., putini hana namnaUrusi imesema kuanzia sasa meli zitakazopenda kwenda na kuondoka bandari za bahari nyeusi zilizokuwa za Ukraine ni ruhusa kufanya hivyo na zitapatiwa kila aina ya ulinzi ili zibaki salama.
Hayo yamesemwa na wizara ya ulinzi ya Urusi wakati ikiwa imefanikiwa kuzishika bandari hizo muhimu kwa usafirishaji wa chakula duniani.
Kauli hiyo imekuja huku raisi Putin wa Urusi akiwa ametia saini tamko la kurahisisha mwananchi yeyote wa Ukraine katika majimbo iliyoyateka kuomba na kupatiwa uraia wa jamhuri ya Urusi.
Kwani uongo? bado kidogo na hewa ya Oksijeni dunia itaitegemea toka Ukraine!Kwamba dunia nzima unategemea chakula kutoka Ukraine?
Marekani hawana uwezo wa kuwalazimisha urusi Ile sio nchi yenu ya kimaskini.propaganda ya nguvu sana, hakuna uhuru wowote russia ilioupata kwa majimbo ya donbas wala bandari sharti la kuziachia meli chakula kupita ni amri waliyolazimiwa kutoka Marekani., putini hana namna
Una haraka gani wewe mkuria?Wana utaaramu gani, wakashindwa kuilinda na wakashindwa kuitoa ktk kuzama uko?
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Hawezi kuuuza wewe .Gas tu na Mafuta ameshindwa kwa sababu ya currency na hana mawasiliano ya kibenk na zante kwa swiftSiyo kodi tu ye ndio anauza hizo nafaka tena kwa mataifa ambayo sio adui kwa Urusi, kwa NATO kibano kipo palepale!!
hivi huyu jamaa hamu muoni warussia wenzangu.propaganda ya nguvu sana, hakuna uhuru wowote russia ilioupata kwa majimbo ya donbas wala bandari sharti la kuziachia meli chakula kupita ni amri waliyolazimiwa kutoka Marekani., putini hana namna
Namzoom tuhivi huyu jamaa hamu muoni warussia wenzangu.
Huyu ni mtanzania aliyevurugwa na maisha ya tozo,kaamua kuparamia uraia wa Russia [emoji3]Meli yenu ilozamishwa ipi?
Mi so mrussia mwenzenu was buza sema nmempuuza coz anaongea IPP ( International Pumba Point)hivi huyu jamaa hamu muoni warussia wenzangu.
Nionyeshe wapi wameondia mashartMkuu pole sana najua unateseka ila acha putin asambazie chakula mabwana wenu baada ya masharti yake kukubaliwa.
Hakuna mbabe wala shujaa wa njaa.