Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashindwa kuelewa malengo ya hawa ndugu zetu.Kwamba tumewaruhusu wageni kuja kuwekeza kwenye dhamana zetu ili nasi tupate sababu ya kwenda kuwekeza kwenye dhamana zao, sijui kama nchi zilizotajwa nao wanaruhusu hiki kitu.
Ni hatari kivipi? Kama unaelewa hebu sema hatari yake nini na kama hujui acha kupotosha push gang weeSerikali imefanya marekebisho kwa sheria ya Benki kuu.
Kuruhusu watu nje ya nchi kununua treasury bonds.
Hii ni hatari kwa uchumi wetu.
We are officially sold out.View attachment 2255809
Kweli waswahili vichwa vyetu vizito sana. Kwa nini mpaka sasa dhana ya "kufungua nchi" haijaeleweka. Turudi madarasani.Wageni kumiliki uchumi wetu.
Nipe mfano wa nchi inayoruhusu mgeni kununua hati fungani za serikali??
jibu swaliKweli waswahili vichwa vyetu vizito sana. Kwa nini mpaka sasa dhana ya "kufungua nchi" haijaeleweka. Turudi madarasani.
Soma vizuri na kwa usahihi aya ya pili ya hilo Tangazo. Unadhani kwanini Tangazo limeeleza kwa nchi za SADC tu? Tangazo limeruhusu Mtanzania pia anaweza kuwekeza huko. Unadhani wangeandika hivyo kama hizo nchi haziruhusu? Sasa hilo swali lako la kutaka mfano wa nchi lina maana gani?Wageni kumiliki uchumi wetu.
Nipe mfano wa nchi inayoruhusu mgeni kununua hati fungani za serikali??
Hii inasaidia nini kama watanzania hawana uwezo wa kushindana na watu wa nje kwa mitaji??Soma vizuri na kwa usahihi aya ya pili ya hilo Tangazo. Unadhani kwanini Tangazo limeeleza kwa nchi za SADC tu? Tangazo limeruhusu Mtanzania pia anaweza kuwekeza huko. Unadhani wangeandika hivyo kama hizo nchi haziruhusu? Sasa hilo swali lako la kutaka mfano wa nchi lina maana gani?
Nchi zote tajiri duniani ndio zinavyokopa ivyo kwa kuuza hati fungani kwa yeyote mwenye uwezo wa kununua duniani. Be it wanunuzi wakubwa ni pension funds zenye mitaji mikubwa, mabank, other investment institutions na serikali ya China.Wageni kumiliki uchumi wetu.
Nipe mfano wa nchi inayoruhusu mgeni kununua hati fungani za serikali??
Unaleta ujinga sasa. Wewe ulisema tukupe mfano wa nchi zilizoruhusu jambo hilo, tukakutajia hizo nchi, sasa unaleta hoja ya uwezo! Wewe unajua uwezo wa watanzania wote?Hii inasaidia nini kama watanzania hawana uwezo wa kushindana na watu wa nje kwa mitaji??
Si ndio tunazidi kuwafanya maskini kwenye nchi yao??
Hata wewe unaweza nunua hatifungani za US,,, mfano tu, china ndo wanaingoza kwa kununua hatifungani za US,, na haina maana china inamiliki uchumi wa US,,Wageni kumiliki uchumi wetu.
Nipe mfano wa nchi inayoruhusu mgeni kununua hati fungani za serikali??
Asee umeniangusha sana sana,,, kumbe hujui kitu mla.. [emoji848][emoji23][emoji23]Hii inasaidia nini kama watanzania hawana uwezo wa kushindana na watu wa nje kwa mitaji??
Si ndio tunazidi kuwafanya maskini kwenye nchi yao??
Tuache uoga.. vile ambavyo wanafanya kwetu na sisi tunaruhusa ya kufanya hivyo kwao, ukizingatia ni kwa nchi za jumuia ya Afrika mashariki na SADICSerikali imefanya marekebisho kwa sheria ya Benki kuu.
Kuruhusu watu nje ya nchi kununua treasury bonds.
Hii ni hatari kwa uchumi wetu.
We are officially sold out.View attachment 2255809