Sasa wageni kununua dhamana za serikali

Sasa wageni kununua dhamana za serikali

Nchi zote tajiri duniani ndio zinavyokopa ivyo kwa kuuza hati fungani kwa yeyote mwenye uwezo wa kununua duniani. Be it wanunuzi wakubwa ni pension funds zenye mitaji mikubwa, mabank, other investment institutions na serikali ya China.

Nchi maskini hazina uwezo wa kuuza kwenye soko la dunia, ideally kila mtu angependa kuuza huko ni kukopa kwa mtindo wa kujipangia interest za deni mwenyewe.

Huko na kwenyewe kuna rating agencies wenye majina kama ‘Moody’s’, Fitch na ‘Standard and Poor’ wenye kuliambia soko huyu AAA anauewezo wa kulipa deni kirahisi, na huyu ana credit CCC una mkopa at your own risk

View attachment 2255845

Tanzania ipo ranked kwenye number 15 last time we tried to get access into international market. Sasa kama kuanzia number 5 kupata mkopo kutoka makampuni makubwa utata ukiwa number 15 sahau kabisa.

Kwa ivyo nadhani lengo ni kukopeshana wenyewe kwenye wenyewe ndani ya jumuiya ni jambo zuri, ila bond zetu zina interest kubwa sana kwa sababu ya poor credit rating. Otherwise tumechelewa.
Simply put ya hiki ulichoandika hapa ni kwamba, kwasababu nchi masikini wamekosa sifa ya kukopesheka toka.kwa taasisi na mashirika makubwa ya dunia[ tupo # 15 kama ulivyoandika juu], sasa tumeamua kukopeshana wenyewe.

Kwa huu uchumi wetu mdogo wa hizi nchi patakuwa na tija yoyote hapo? halafu mbona wanaongeza maeneo ya kukopa zaid? kwa maana kwamba, tunazidi kuongeza ukubwa deni la taifa [sasa litatoka ndani ya jumuia, na nje].

Binafsi, hapa naona serikali imejiongezea mzigo wa kulipa madeni, na sioni faida ya maana watakayopata toka kwa hiyo mikopo watakayopewa na masikini wenzao.
 
Nchi zote tajiri duniani ndio zinavyokopa ivyo kwa kuuza hati fungani kwa yeyote mwenye uwezo wa kununua duniani. Be it wanunuzi wakubwa ni pension funds zenye mitaji mikubwa, mabank, other investment institutions na serikali ya China.

Nchi maskini hazina uwezo wa kuuza kwenye soko la dunia, ideally kila mtu angependa kuuza huko ni kukopa kwa mtindo wa kujipangia interest za deni mwenyewe.

Huko na kwenyewe kuna rating agencies wenye majina kama ‘Moody’s’, Fitch na ‘Standard and Poor’ wenye kuliambia soko huyu AAA anauewezo wa kulipa deni kirahisi, na huyu ana credit CCC una mkopa at your own risk

View attachment 2255845

Tanzania ipo ranked kwenye number 15 last time we tried to get access into international market. Sasa kama kuanzia number 5 kupata mkopo kutoka makampuni makubwa utata ukiwa number 15 sahau kabisa.

Kwa ivyo nadhani lengo ni kukopeshana wenyewe kwenye wenyewe ndani ya jumuiya ni jambo zuri, ila bond zetu zina interest kubwa sana kwa sababu ya poor credit rating. Otherwise tumechelewa.
Nakumbuka ni mwaka ja a ndio tulikua downgraded kutoka B1 kwenda B2 na Moody's.

Kuna kipindi ilikua kidogo turuhusiwe kwenye eurobond market baadae mambo yakaharibika.

Hii ni move nzuri sana. Itaongeza mzunguko wa fedha za kigeni lakini pia itapelekea kupunguzwa kwa riba hivyo kufanya maisha yawe marahisi.
 
Simply put ya hiki ulichoandika hapa ni kwamba, kwasababu nchi masikini wamekosa sifa ya kukopesheka toka.kwa taasisi na mashirika makubwa ya dunia[ tupo # 15 kama ulivyoandika juu], sasa tumeamua kukopeshana wenyewe.

Kwa huu uchumi wetu mdogo wa hizi nchi patakuwa na tija yoyote hapo? halafu mbona wanaongeza maeneo ya kukopa zaid? kwa maana kwamba, tunazidi kuongeza ukubwa deni la taifa [sasa litatoka ndani ya jumuia, na nje].

Binafsi, hapa naona serikali imejiongezea mzigo wa kulipa madeni, na sioni faida ya maana watakayopata toka kwa hiyo mikopo watakayopewa na masikini wenzao.
Kukopa ni kukopa aijalishi hela umetoa wapi ideally unachokata anaekukopa awe anaku-charge interest ndogo tu hilo ndio la msingi.

Traditionally nchi maskini mikopo yake ni international aid kutoka nchi wahisani, IMF/WB, private banks (nyingi ni za ndani zilizo tayari kuchukua risk, hizo za kigeni wanaangalia credit ratings kwanza na debt sustainability analysis za IMF/WB to determine credit worthiness).

Na njia nyingine ya kukopa ni kwenda moja kwa moja sokoni kutafuta hela ndio bonds zinapoingia. Mikopo ya sokoni kwa muda mrefu ni kupitia hizo treasury bonds (kuna treasury bills pia hii ni mkopo ya muda mfupi chini ya mwaka).

Kwa ivyo aijalishi unakopa vipi njia yoyote hapo inakuza deni, tofauti yake ni interest na kwa bongo treasury bonds zinalipa zaidi kwa mkopeshaji.

Walichofanya ni kutanua wigo treasury bonds/bills kwa sheria za Tanzania zinauzwa kupitia primary market ni investors wenye account na BoT ndio wanaoweza nunua; kibongo ni banks na pension funds.

Hao investors nao wakishanunua wanaweza zipeleka sokoni kuuzia wengine (DSE as a secondary market) ambapo ata wewe sasa unaweza nunua.

Sheria ilikuwa inataka wanunuzi wawe watanzania au EAC members; so hayo mabadiliko yanaruhusu wanunuzi wengi. In turn this move might generate many interested investors kwenye primary market (suppose sheria imefungua mpaka huko) na BoT kuweza kushusha interest za kukopa kama kuna high demand.

Wanunuzi wa primary market wanaweza pia uza hizo hisa katika masoko yao ya mitaji katika nchi husika.

Alikadhalika kama sheria imebadilika kwenye secondary market tu basi maana yake DSE inaweza uza hizo coupons kwa raia wa nchi tajwa.

In short analyst wa habari za biashara kwenye media, au DSE traders wanatakiwa wadadavue zaidi what has actually changed; sie wengine tunachangia based on common sense za finance na quality of background info zinazo kuja na mada husika ndani ya JF.
 
Nashindwa kuelewa malengo ya hawa ndugu zetu.

Hivi wamenunuliwa bei gani??
Kwamba tumewaruhusu wageni kuja kuwekeza kwenye dhamana zetu ili nasi tupate sababu ya kwenda kuwekeza kwenye dhamana zao, sijui kama nchi zilizotajwa nao wanaruhusu hiki kitu.

Hatua hii ya serikali kwangu naona ni sawa na kuweka uchumi wetu rehani, itakuwa vipi hao wawekezaji wakiamua kuondoa dhamana zao bila serikali kujiandaa?

Hali hii naona inasababishwa na udogo wa uchumi wetu, tumekuwa tegemezi sana, kuanzia kuchukua mikopo kwenye mabenki ya biashara, hadi kwenye taasisi za kimataifa, na kwa vile wapo wanaoona kukopa ni sifa, basi tujiandae kudumaa zaidi.
Hivi unajua kuwa tunakopa pia kwenye taasisi za nje?
Hebu niambie kama kukopa kwenye benki za nje ni salama, kwa nini kuuza hati fungani nje ni kosa?
Maana zote basically ni mikopo tu
 
Kwa faida yangu na wengine bond ni nini? inafanyaje kazi?
 
Asee umeniangusha sana sana,,, kumbe hujui kitu mla.. [emoji848][emoji23][emoji23]
Ndio tatizo wa Watanzania... ujuaji mwingi hata wasivyojua. Bonds kuuzwa kwa wageni sio jambo la ajabu. Wanavyolalamika utafikiri wana hizo hela za kununua bonds.
 
Serikali imefanya marekebisho kwa sheria ya Benki kuu.

Kuruhusu watu nje ya nchi kununua treasury bonds.

Hii ni hatari kwa uchumi wetu.

We are officially sold out.View attachment 2255809

Sasa wageni kununua hati fungani (treasury bonds) ninakumbukia serikali ya awamu ya Pili. Ndiko tunakoelekea kwa sasa kila mbongo ajiandae kisaikolojia​

 
Kwa faida yangu na wengine bond ni nini? inafanyaje kazi?
Kwa Lugha rahisi nitachukua mfano wa bond za Serikali

Bond ya Serikali ni mkopo ambao wewe kama mtu binafsi au kampuni binafsi au taasisi unaikopesha Serikali pesa zako kwa kipindi maalumu kwa riba ambayo itakuwa inalipwa kila baada ya muda fulani

Ukiwa na pesa zako waweza kopesha Serikali. Unachotakiwa kufanya nenda kwenye benki yoyote karibu nawe waambie una mamilioni yako unataka kukopesha Serikali watakupa utaratibu wa kununua hizo bond ziko za muda mfupi mfano za miezi mitatu.,sita nk na ziko.za muda mrefu kuanzia mwaka Miaka mitano ,saba,15 ,20,25 nk ambapo ukikopeshwa unakuwa unapata riba kwa mwezi au kila baada ya miezi sita muda mliokubaliana ukifika mwisho wanakurufishia pesa zako ulizokopesha

Kawaida huwa ni ushindani mnadani wewe unaandika utaikopesha Serikali kwa riba ya shilingi ngapi kwa muda gani na mwingine naye hujaza ana shilingi ngapi na anataka kukopesha Serikali kwa riba ya shilingi ngapi
Wanaoshinda ndio ambao Serikali huchukua pesa zao kama mkopo na kuanza kuwalipa riba
Ni vizuri kupitia kwa mabenki sababu wao wana uzoefu kwenye hiyo minada ya kugombania kukopesha Serikali kupitia bonds
 
Kwa Lugha rahisi nitachukua mfano wa bond za Serikali

Bond ya Serikali ni mkopo ambao wewe kama mtu binafsi au kampuni binafsi au taasisi unaikopesha Serikali pesa zako kwa kipindi maalumu kwa riba ambayo itakuwa inalipwa kila baada ya muda fulani

Ukiwa na pesa zako waweza kopesha Serikali. Unachotakiwa kufanya nenda kwenye benki yoyote karibu nawe waambie una mamilioni yako unataka kukopesha Serikali watakupa utaratibu wa kununua hizo bond ziko za muda mfupi mfano za miezi mitatu.,sita nk na ziko.za muda mrefu kuanzia mwaka Miaka mitano ,saba,15 ,20,25 nk ambapo ukikopeshwa unakuwa unapata riba kwa mwezi au kila baada ya miezi sita muda mliokubaliana ukifika mwisho wanakurufishia pesa zako ulizokopesha

Kawaida huwa ni ushindani mnadani wewe unaandika utaikopesha Serikali kwa riba ya shilingi ngapi kwa muda gani na mwingine naye hujaza ana shilingi ngapi na anataka kukopesha Serikali kwa riba ya shilingi ngapi
Wanaoshinda ndio ambao Serikali huchukua pesa zao kama mkopo na kuanza kuwalipa riba
Ni vizuri kupitia kwa mabenki sababu wao wana uzoefu kwenye hiyo minada ya kugombania kukopesha Serikali kupitia bonds
Asante sana Mkuu YEHODAYA nimeelewa vizuri kabisa...
 
Wageni kumiliki uchumi wetu.

Nipe mfano wa nchi inayoruhusu mgeni kununua hati fungani za serikali??
Mkuu uko sawa kweli mbona karibu Dunia nzima wageni wanaruhusiwa kukununua hayo makitu tukianza na baba & mume wenu USA
 
Dhamana za Serikali (Hati Fungani) za Muda Mfupi na za Muda Mrefu ni nyenzo zinazotumiwa na serikali kukopa fedha kutoka kwa umma. Minada ya dhamana hizo za serikali huendeshwa na Benki Kuu ya Tanzania kila baada ya wiki mbili kwa mfumo wa zabuni za ushindani na zisizo za ushindani. Minada hiyo hufanyika katika soko la msingi na baadaye kuendelea kuuzwa au kununuliwa katika masoko ya upili. Zabuni za minada hufuata mfumo wa bei mbalimbali, yaani wazabuni huruhusiwa kuleta zabuni nyingi kwa kila dhamana zinazoiva kwa kuomba kununua kwa bei tofauti. Minada inafanyika kulingana na kalenda ya mwaka ya mpango wa fedha wa serikali ambao hutangazwa na Benki Kuu ya Tanzania kila mwaka ili kuwawezesha wawekezaji kupanga mipango yao ya uwekezaji.

Hati fungani ni dhamana za muda mfupi ambazo zinaiva ndani ya mwaka mmoja. Kwa kawaida huuzwa kwa bei chini ya shilingi 100 na wakati wa kuiva mwekezaji hulipwa shilingi 100. Kiwango cha chini cha kuwekeza katika hati fungani ni shilingi 500,000 (Shilingi Laki Tano za Tanzania).

Hati fungani zinazotolewa na Benki Kuu ya Tanzania zinaiva katika vipindi vinne: siku 35, siku 91, siku 182 na siku 364.

Dhamana za serikali za muda mrefu hutolewa kwa ajili ya kugharamia matumizi ya serikali. Dhamana za serikali zinazotolewa na Benki Kuu ya Tanzania zinaiva katika vipindi sita: miaka 2, miaka 5, miaka 7, miaka 10, miaka 15, 20, na miaka 25. Zinatolewa katika kiwango cha riba kilichopangwa (kuponi). Kiwango cha chini cha uwekezaji katika Dhamana za Serikali za muda mrefu ni shilingi 1,000,000 (Shilingi milioni moja za Tanzania).
 
Wataalamu na Serikali sasa njooni na elimu kwa wananchi kuhusu uarabuni na mtu anawezaje kunua bond za hayo mataifa mengine

Hazitoshi tu kusema wanaruhusiwa. Toeni elimu mfano mimi nataka kununua bond za Afrika ya kusini .Nanunuaje nikiwa Tanzania. Process nzima ikoje?

Waandishi wa habari na nyie tumechoka uandishi wenu wa kitoto..Issue kubwa kama hii mlitakiwa kuja na Makala za kuandika mtanzania anavyoweza kununua bonds za nje ya nchi za nchi zingine .Mmekalia tu kuandika ziara za Mama Samia Suluhu Hssan
 
Back
Top Bottom