Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Ndugu Zangu Katika ImaniSote tuseme Takbiiiir
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu Zangu Katika ImaniSote tuseme Takbiiiir
Bila Shaka Mkuu UmeitikaNaam, umeniita?
Tatizo nini?
✅️Mtu mweusi ni takataka tu mbele za watu wote duniani.
Wamefika Sasa Wameona Iftar Ananyimwa Mweusi Anapewa WhiteNgoja waje!
Lete Maneno....
Sasa muislamu gani.amejiona yye ni mwarabu? Huu ni upumbavuHebu angalia hii video clip fupi Sana wala haikumalizii bundle lako, haifiki hata mb1, kama ulikuwa unajiona na wewe ni Mwarabu basi elewa wewe ni takataka tu Kwa Waarabu.
Jitafakari.
Cc: FaizaFoxy MK254 THE BIG SHOW
Halafu huwa wanawaita hao Waarabu kwa jina la ndugu zetu katika imaan! Halafu hao ndugu zao eti wanawabagua waziwazi! Hili jambo halikubaliki hata kidogo.Wamefika Sasa Wameona Iftar Ananyimwa Mweusi Anapewa White
Porojo za mitandao tu hizo.Wamefika Sasa Wameona Iftar Ananyimwa Mweusi Anapewa White
Naam.Huku kwetu, "naam" anaitika mwanaume/mtoto wa kiume.
Wewe ukiitwa itika kwa namna ya kwetu, au huko uliko wanawake mnaitika "naam"?
Uislam haubagui.Kufia dini na waarabu/wazungu ni ujuha wa hali ya juu. Watu wenyewe wabaguzi balaa.
Sawa, endelea na uislam wako, hao wavaa majuba hapo wanabaguliwa kisa ngozi, sio dini.Uislam haubagui.
Hao ni watu sio mafundisho.Sawa, endelea na uislam wako, hao wavaa majuba hapo wanabaguliwa kisa ngozi, sio dini.
Bro katika kusafiri kwangu hakuna watu mashetan kama waarabu. Na cjawah kukutana na watu wakarimu kama waturuki na wa Thailand na baadhi ya visiwa vidogo vya Vanuatu.Ngoja niishie hapoHebu angalia hii video clip fupi Sana wala haikumalizii bundle lako, haifiki hata mb1, kama ulikuwa unajiona na wewe ni Mwarabu basi elewa wewe ni takataka tu Kwa Waarabu.
Jitafakari.
Cc: FaizaFoxy MK254 THE BIG SHOW
Elimu hakunaHebu angalia hii video clip fupi Sana wala haikumalizii bundle lako, haifiki hata mb1, kama ulikuwa unajiona na wewe ni Mwarabu basi elewa wewe ni takataka tu Kwa Waarabu.
Jitafakari.
Cc: FaizaFoxy MK254 THE BIG SHOW
Arabs wana roho zaidi ya mbayaRoho mbaya haina dini,walakabila,wala utaifa. Ni tabia ya mtu BINAFSI