Sasa wale wafia dini hebu tuelezeni huwa mnawapapatikia hawa watu Kwa sababu zipi?

Sasa wale wafia dini hebu tuelezeni huwa mnawapapatikia hawa watu Kwa sababu zipi?

Waarabu na dini yao wote wasengerema... Huwa nashangaa waTz wanajifanya wanaijua dini ya kiarabu 💩💩💩 upuuz tu. Waarabu walishasema nyie ambao so waarabu mnaenda kuabudu kila ijumaa mnapoteza muda hamtambulik na allah wala muamedi 💩
 
Kufia dini na waarabu/wazungu ni ujuha wa hali ya juu. Watu wenyewe wabaguzi balaa.
 
Waarabu wamelaaniwa na ukitaka kujuwa hilo watupwa wengi wao waishi jangwana na amani Yao ni vita.
 
Sawa, endelea na uislam wako, hao wavaa majuba hapo wanabaguliwa kisa ngozi, sio dini.
Hao ni watu sio mafundisho.

Kwenu hambaguani?

T u nasoma mtandaoni mpaka makanisani mnabaguana.

Kweli au uongo?
 
Hebu angalia hii video clip fupi Sana wala haikumalizii bundle lako, haifiki hata mb1, kama ulikuwa unajiona na wewe ni Mwarabu basi elewa wewe ni takataka tu Kwa Waarabu.

Jitafakari.

Cc: FaizaFoxy MK254 THE BIG SHOW
Bro katika kusafiri kwangu hakuna watu mashetan kama waarabu. Na cjawah kukutana na watu wakarimu kama waturuki na wa Thailand na baadhi ya visiwa vidogo vya Vanuatu.Ngoja niishie hapo
 
Sio kila mwarabu ni muislamu na sio kila mwarabu anafata mafundisho ya kiislamu muelewe ndegelec nyie hata Yesu alisema sio Kila aniitae Bwana atauona ufalme wa mbingu msijizime data Kuku waheed nyie
 
Back
Top Bottom