Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #441
Sasa hapa umeandika nini hapa? Maana umeandika ujinga tu.we
Wewe huna tofauti na mbwa jike aliyepandwa na joto na hakuna dume,those days Sativa kafanyiwa abduction did you wrote any thing to express your heartfelt sorrows towards?,filho da puta
strong man shade blood before shading tears ,have you ever heared about it?Soon atapotea,safari hii watahakikisha kafa kabisa.
hata wewe ukikaa hovyo unakula matusi tu,mbona ninyi hamuoni haya kudhihaki watu?Sipendi kuona mtu akitoa matusi ya nguoni kama afanyavyo huyo mtu wako. Mwambie kuwa jambo hilo halikubaliki hata kidogo.na ni lazima atawajibishwa kwa mujibu wa sheria
Nawe ni wale wale wasiojitambua tu!!Kwa hiyo anatafuta kifo au sijakuelewa? unaongea utasema unayaweza akianza kubanwa huko msianze kulia humu.
Mwite haraka sana aje atuambue ana matatizo na shida gani kichwani mwake.kwa sababu mwenye akili Timamu hawezi kutukana matusi kama afanyavyo yeye.Ngoja nimualike JF nimtambulishe kwako kuwa una undugu na mafwele ili mshee matusi na mafwele nusu kwa nusu
Embu tukana.hata wewe ukikaa hovyo unakula matusi tu,mbona ninyi hamuoni haya kudhihaki watu?
kipigo gani ambacho hakukipata before?Akipigwa vizuri atamtaja anayemtuma
Kwa wewe mwenyewe kuishobokea CCM ni matusi kuliko hata ya SativaMwite haraka sana aje atuambue ana matatizo na shida gani kichwani mwake.kwa sababu mwenye akili Timamu hawezi kutukana matusi kama afanyavyo yeye.
Ben Saanane yupo wapi?Na wale vijana wa Buza?Ingekuwa rahisi km kuwaza unavyowaza hata wewe usingekuwepo!
Dogo hana nidhamu hata chembe, kisaikolojia kijana huyu inaonyesha ni mwehu mmoja tu sio mwanahakati wala nini!Inatakiwa akamatwe haraka sana.maana amevuka mpaka na mstari wa kibinadamu unaokubalika katika jamii yoyote ile.
Chuo kipi mkuu umetukimbia clubhouse weweπ π π π π πna adabu dogo kwa kaka yako.mimi nimepiga kitabu kwenye chuo bora Afrika
Ben na kina soka siyo sativa..!Ben Saanane yupo wapi?Na wale vijana wa Buza?
Utasema kweli, sasa wewe unajificha nini na wewe si toka katukane watu halafu utajiona kama unajitambua au hapana. Kuandika tu kwani kazi. Jitoe hadharani tukana hapo ndio nitajuwa unajitambua.Nawe ni wale wale wasiojitambua tu!!
wewe ni mpuuzi tu,una bwabwaja bwabwaja tu humu unatumika kama toilet papers tu unajiona mtu kudhihaki watu wanao dhulumiwa haki zao,once you choosed to engage with politics you better base on the essence of logical and minded politics that have positive impacts on the Nation,sio uharo daily.Embu tukana.
Relax kwanza gentleman π€£wewe inakuhusu nini sativa akitukana..kati ya mambo ya kipumbavu ni kutetea wanaofanya matendo ya kuumiza wengine, hakuna sabab hata moja kujustfy uharamia na ushenzi wa kuteka watu kwa sababu yoyote ile! those dark days r gone my friend..serikali kwenye jamii iliyostaarabika inaelewa tofauti ya mawazo na matarajio ndani ya jamii na hivyo you don't silent people who challenge the government by abducting and killing them..let them say what they see r not correct! God didn't create a super man..!
CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzaniaKwa wewe mwenyewe kuishobokea CCM ni matusi kuliko hata ya Sativa