SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Wapo watu kama Mdude, SATIVA, lissu na wengi tu ambao kichwani hawapo sawa, nawapa pole sana police wetu, wapo watu unaweza kushindana nao kuwanyoosha kitabia lakini isiwezekane kabisa kutokana na magonjwa yao ya akili, hawa mara nyingi hutulizwa kwa bakora za hadharani! 5-10.
🖕🏾 ishi hapo
 
Relax kwanza gentleman 🤣

calm down,
unaelewa mambo haya hayahitaji mihememko wala makasiriko, ni muhimu sana kuongozwa na hekima na busara za kawaida tu za binadamu....

kuchalenge mambo ya maana, mambo ya msingi kwa matusi na dhihaka ni useless na completely nonsense. Eti ustaarabu sijui nini huko ng'weee ng'weee ng'weee. Kuporomosha matusi mazito ndiyo ustaarabu? Lione kwanza, alaaa!!

ukimtukana mtu binafsi,
akakujibu kwa kwenzi au kutendo kingine, huna haja ya kulialia na kusingizia mengine. Huenda ndiyo majibu ya matusi yako, uliemtukana kakujibu kwa vitendo 🐒
Maneno unayotamka ni km umelewa au una ufahamu mdogo wa mambo kias hujui tafsiri ya unachoandika..elewa hivi, ukipenda kukaa kwenye ofisi ya umma, uwe tayari kutukanwa, hutaki kutukanwa au kukosolewa toka kwenye ofisi ya umma, watakaa wale wanafahamu maana ya kutumikia watu! Ukitoka hakuna mtu atakutaja..!
 
Embu tukana.
wewe ni takataka ,ambaye umesanukia tu siasa ili hali hujui mantiki na essence za siasa,ni mpiga kelele kama mbwa mwenye njaa aliyefungiwa bandani,you had never talk the logic for the Nation,Did you narrate any thing positives regarding Sativa's abduction those days?,once you choosed to shut your mouth on those days you have to shut your bowl even now,wewe nikama toilets paper tu unatumika na wanaokutuma kudhihaki maisha na hisia za watu ,do your non-sense but never have a joke on victimized persons.Ninyi ndio mnafanya CCM ionekane ni ya mazumbukuku.
 
Utasema kweli, sasa wewe unajificha nini na wewe si toka katukane watu halafu utajiona kama unajitambua au hapana. Kuandika tu kwani kazi. Jitoe hadharani tukana hapo ndio nitajuwa unajitambua.
Unajuaje kama sitoki kuongea ewe mpumbavu usiejitambua. Hivi mtu ukipewa 10k, kofia na t-shirt huwa nini kinaifubaza akili. Chama la wezi limeweza kuteka akili za watu kama wewe, nitolee undezi hapa...
 
Utasema kweli, sasa wewe unajificha nini na wewe si toka katukane watu halafu utajiona kama unajitambua au hapana. Kuandika tu kwani kazi. Jitoe hadharani tukana hapo ndio nitajuwa unajitambua.
..ingekuwa kuandika tu hakuleti matokeo usingeshupaza makalio kusoma na kujibu kinachoandikwa, lkn kula yako inapatikana kwa njia hii, utakuwa mjinga kukata mkono unaokupa chakula.
 
Amna tusi jipya la kushtua ila kama kuna mtu anaguswa na matusi hayo na kuumia . Tunamsihi sativa aweze kuacha mara moja si tabia njema kutukana kwa kiwango hicho.
 
Kazi ya jeshi la polisi ni kulinda Raia na mali zao.hiyo ndio kazi kubwa ambayo imekuwa ikifanywa na jeshi letu siku na wakati wote usiku na mchana.
Kiupande wa ccm ndio hulinda ila kwa wapinzani hakuna hicho kitu. Unafiki haufai simamia haki.
 
Back
Top Bottom