SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Ninyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
Huyo alishapotea siku nyingi, alipigwa risasi ya kichwa akili zikapotea, alishakufa huyo.

Mnataka kupambana na maiti?
 
ungekuwa na akil timamu ungehoji Yule mtekaj anaemtaja jeshi limechukua hatua gan ? nje na hapo muache kama mlivyomuacha yule mtekaj anasemwa na wengi kila siku # Mafuele
Hawezi kuachwa akaendelea kutukana matusi tu.lazima achukuliwe hatua kali za kisheria
 
yaliyotokea Liberia 1980 yanaeza tokea hapa Tz
Tujikumbushe👇

Mwaka 1980, Liberia ilishuhudia tukio kubwa la kisiasa ambalo lilibadilisha historia ya nchi hiyo. Mnamo tarehe 12 Aprili 1980, kulifanyika mapinduzi ya kijeshi yaliyomuondoa madarakani Rais William R. Tolbert Jr., aliyekuwa kiongozi wa Chama cha True Whig Party, kilichotawala Liberia kwa zaidi ya karne moja.

Mapinduzi haya yaliongozwa na Master Sergeant Samuel K. Doe, kiongozi wa Kikosi cha Wanajeshi wa Liberia (Armed Forces of Liberia). Doe, akiwa na kundi la wanajeshi wachanga, aliivamia Ikulu ya Rais (Executive Mansion) na kumuua Rais Tolbert. Baada ya mapinduzi haya, Samuel Doe alijitangaza kuwa Rais wa Liberia, na hii ilikuwa mara ya kwanza mtu kutoka jamii ya asili ya Liberia (ambayo ilikuwa imebaguliwa kwa muda mrefu) kushika madaraka ya juu.

Haya mapinduzi yalileta mabadiliko makubwa ya kisiasa, lakini pia yalizua mgawanyiko mkubwa wa kijamii na kisiasa ambao ulisababisha kutokuwepo kwa utulivu wa muda mrefu, hatimaye kuchochea Vita vya Kwanza vya Kiraia vya Liberia (1989–1997).
 
Huyo alishapotea siku nyingi, alipigwa risasi ya kichwa akili zikapotea, alishakufa huyo.

Mnataka kupambana na maiti?
Tunahitaji kuona watu wakiishi katika maadili yanayokubalika katika jamii na siyo matusi ya Hovyo hovyo tu
 
amemtaja Mafwele mara ngap ? mechukua hatua gan ? mm naamin ww ni sehem ya watekaj na umetumwa hapa kimkakati ila amin yaliyotokea Liberia 1980 yanaeza tokea hapa Tz na mtawindwa kila kona kulipa mauaji mmekuwa mnayafanya kwa wanaowakosa kisiasa ( ambao katiba inawaruhusu )
Utatajaje majina ya watu bila kuweka ushahidi na utake kuaminiwa?
 
Tunahitaji kuona watu wakiishi katika maadili yanayokubalika katika jamii na siyo matusi ya Hovyo hovyo tu
Lucas ulishawahi kutekwa?, ukaminywa mapumbu, ukapigwa ngumi za tumbo, ukang'olewa vidole, ukakalishwa juu ya chupa..

Ukateswa sana, kisha ukaburuzwa ukatupwa porini na kupigwa risasi ya kichwa?

Ulishawahi?

Kama haujawahi, hauna haki ya kumcritisize huyo dogo.

Huyo dogo ni kama alishakufa tu.

Wasukuma wanasema ''alandatya moyo''.

Anaupepea moyo wake tu lakini ukweli ni kwamba alishakufa huyo.
 
Lucas ulishawahi kutekwa?, ukaminywa mapumbu, ukapigwa ngumi za tumbo, ukang'olewa vidole, ukakalishwa juu ya chupa..

Ukateswa sana, kisha ukaburuzwa ukatupwa porini na kupigwa risasi ya kichwa?

Ulishawahi?

Kama haujawahi, hauna haki ya kumcritisize huyo dogo.

Huyo dogo ni kama alishakufa tu.

Wasukuma wanasema ''alandatya moyo''.

Anaupepea moyo wake tu lakini ukweli ni kwamba alishakufa huyo.
UWT huwa wanafurahi shida za watu
 
Back
Top Bottom