Msaidie wewe, kwani umeshindwa nini.Ninyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
Waliomteka hawakuvuka huo mstari?Inatakiwa akamatwe haraka sana.maana amevuka mpaka na mstari wa kibinadamu unaokubalika katika jamii yoyote ile.
Kwa hiyo kuna Demokrasia ya kutekana na kupigana risasi?Hakuna demokrasia ya kutukana matusi ya nguoni na kudhalilisha watu wengine.
Huyo alishapotea siku nyingi, alipigwa risasi ya kichwa akili zikapotea, alishakufa huyo.Ninyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
Hawezi kuachwa akaendelea kutukana matusi tu.lazima achukuliwe hatua kali za kisheriaungekuwa na akil timamu ungehoji Yule mtekaj anaemtaja jeshi limechukua hatua gan ? nje na hapo muache kama mlivyomuacha yule mtekaj anasemwa na wengi kila siku # Mafuele
Hebu wekeni hapa hayo matusi tuyaone.Wanaompa sapoti wanafanya hivyo makusudi ili kuendelea kumpoteza kabisa .Maana mwenye akili Timamu hawezi kutoa lugha chafu na za matusi kama afanyavyo huyo jamaa.
Tujikumbushe👇yaliyotokea Liberia 1980 yanaeza tokea hapa Tz
Tunahitaji kuona watu wakiishi katika maadili yanayokubalika katika jamii na siyo matusi ya Hovyo hovyo tuHuyo alishapotea siku nyingi, alipigwa risasi ya kichwa akili zikapotea, alishakufa huyo.
Mnataka kupambana na maiti?
Itakuwa ni kuendelea kusambaza ujinga wakeHebu wekeni hapa hayo matusi tuyaone.
Kuna maumivu zaidi atapata zaidi ile kupigwa Risasi itatokea mdomoni?Hawezi kuachwa akaendelea kutukana matusi tu.lazima achukuliwe hatua kali za kisheria
Sasa hivi iwe ni hatua za kisheria, sio kumteka tena?Hawezi kuachwa akaendelea kutukana matusi tu.lazima achukuliwe hatua kali za kisheria
Utatajaje majina ya watu bila kuweka ushahidi na utake kuaminiwa?amemtaja Mafwele mara ngap ? mechukua hatua gan ? mm naamin ww ni sehem ya watekaj na umetumwa hapa kimkakati ila amin yaliyotokea Liberia 1980 yanaeza tokea hapa Tz na mtawindwa kila kona kulipa mauaji mmekuwa mnayafanya kwa wanaowakosa kisiasa ( ambao katiba inawaruhusu )
Lucas ulishawahi kutekwa?, ukaminywa mapumbu, ukapigwa ngumi za tumbo, ukang'olewa vidole, ukakalishwa juu ya chupa..Tunahitaji kuona watu wakiishi katika maadili yanayokubalika katika jamii na siyo matusi ya Hovyo hovyo tu
Uone hata aibuKwani na wewe una akili kichwani mwako 🤣🤣
Nimemuonya mara nyingi snkabisaa
UWT huwa wanafurahi shida za watuLucas ulishawahi kutekwa?, ukaminywa mapumbu, ukapigwa ngumi za tumbo, ukang'olewa vidole, ukakalishwa juu ya chupa..
Ukateswa sana, kisha ukaburuzwa ukatupwa porini na kupigwa risasi ya kichwa?
Ulishawahi?
Kama haujawahi, hauna haki ya kumcritisize huyo dogo.
Huyo dogo ni kama alishakufa tu.
Wasukuma wanasema ''alandatya moyo''.
Anaupepea moyo wake tu lakini ukweli ni kwamba alishakufa huyo.
Bila shaka umeshajifukiza kichwani mwakoUWT huwa wanafurahi shida za watu
Toa ujinga wakoBila shaka umeshajifukiza kichwani mwako
Maana nimeshaona tu ulivyokuja mbiombio nikajua utakuwa umetoka kujipatikia vitu vyako kichwaniToa ujinga wako