SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Yy mbona kaishatoa sababu za kutukana kwamba anatukana ili mumpeleke mahakaman
 
Yy mbona kaishatoa sababu za kutukana kwamba anatukana ili mumpeleke mahakaman
 
Mambo mengi rahisi sana, SHERIA ZIPO, afunguliwe mashitaka mahakama itoe tafsiri na mwisho hukumu kama akifanyacho ni makosa.
 
Adhibitiwe mumeo kwanza
 
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas usisahau hata shetani naye ana waumini na wafuasi wake.
 
Yule dogo alishakufa so hana cha kupoteza.

wewe chawa unatuaibisha wanyia wenzako unapaswa kuthibitiwa haraka sana!
 
Kwa hiyo njia pekee kuhakikisha anapata haki hiyo ni kutoa matusi ya nguoni? .. Anaweza kupigania haki hiyo bila kumtusi yeyote yule.. Lakini ni uamuzi tu kama anaona hiyo njia bora na sahihi basi aendelee na hiyo biashara.
 

🚮
 
Utatajaje majina ya watu bila kuweka ushahidi na utake kuaminiwa?
kwan Mafwele katajwa na Sativa tu ? Kwasasa unashabikia makabulu weusi ila tambua utalipwa kwa kushabikia huu udharimu. Watu 83 hatujui walipo mpk ss , sijaona uliguswa ila unaguswa na maoni ya mtu aliyetekwa na alimanusura kupotezwa uhaibwake , UBINAFSI KM WAKO ULITUINGIZA KWENY UKOLONI , KWASASA WANANCHI HAWATAKAA KIMYA TENA , NI SWALA LA MUDA ILA MADHARIMU YOTE YANAYOJIONA MIUNGU KWA KUTENDA KINYUME NA KATIBA WANATAKIWA KUKOSOLEWA KWA LUGHA YOYOTE BILA STAHA MAANA MWIZ WA TV INC 7 MNAMCHOMA MOTO ILA WEWE UNATAKA WAUAJI TUWACHEKEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…