Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Baada ya kitambo kidogo inakumaliza ukiwa na afya yako.Pollonium Mambo ya KGB hayo hutoboi, mbaya zaidi mitego yake hata Kwenye tauro la hotelini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kitambo kidogo inakumaliza ukiwa na afya yako.Pollonium Mambo ya KGB hayo hutoboi, mbaya zaidi mitego yake hata Kwenye tauro la hotelini.
Ujinga unakusumbua sio kosa lako mtu akuteke akupige risasi upone alafu useme mhusika ujinga unamsumbua kwa hiyo ulitaka awasifie waliomteka aiseee
Yani watu wanachukulia easy system..ila hao jamaa sio wakucheza nao...ubaya ukute Kuna wahuni wanamtumia na kumpump na huku madhara yake wanayajuaAdui yetu ni mfumo siku ambayo vyombo vya Dola vitakapo kua independent na sio kua affiliated na chama Dola ( CCM) solution ya kwanza Ni kupata KATIBA MPYA.
Sasa kamanda wa police anapokea maelekezo kutoka CCM unadhani utapata haki?
Yame shuhudiwa mengi itoshe kusema SATIVA ATULIZE BALL AISHI MAISHA YAKE OTHERWISE AOMBE KWENYE KUISHI SEHEMU SALAMA HUKO EUROPE NA CANADA TRUST ME Akiendelea kua ELEMENT wata mu ELIMINATE na kumuondosha ni very easy Kama KUPULIZA KIBATARI mwenye Masikio na asikie.
Samahani mkuu,Unaf*rwa
Angejifunza kitu kwa Assange wa Wikileaks originalBaada ya kitambo kidogo inakumaliza ukiwa na afya yako.
Unacho SEMA ni SAHIHI Sanaa na ndio uhalisia huku third world countries unapulizwa Kama kibatari/ mshumaaYani watu wanachukulia easy system..ila hao jamaa sio wakucheza nao...ubaya ukute Kuna wahuni wanamtumia na kumpump na huku madhara yake wanayajua
Hakuna mtu anahangaika naye, ana nini cha maana. Hivi bado ana kazi yake ya udalali, au kaingizwa kwenye payroll ya Maria kwa wazungu? Mana kikukicha tu anaubunifu kimtandao zaidiWata mu eliminate "juzi juzi nilikua natembea hapo gerezani kwenye treni nikaona watu wengi sanaaa watu kibao"
Sativa atulize ball Aishi Maisha yake otherwise ataumia.
Haki huinua taifa.
Analipia yeye au da Maria?Edgar Mwakabela maarufu kama Sativa ambaye ni muhanga wa matukio ya utekaji, leo hii amelipia matangazo ya Instagram ili kuanika uhalifu unaofanywa baadhi ya askari wa jeshi la polisi.
Haya ameyaeleza Sativa katika ukurasa wake wa Twitter (X) leo tarehe 06/10/2024, ambapo ametenga bajeti ya Tshs. 135,000/= kwa muda wa siku tano kulipia matangazo hayo.
Ifuatayo ni nukuu kutoka kwenye ukarasa wa X wa Sativa:
MULILO TIME YO SHINE.🔥
Mnalipa CHAWA 20k wanichafue.
Mimi nawalipa INSTAGRAM kuaniaka uchafu wenu.
@tanpol u messed w/ GEN Z.
Budget $50 = 135,000/= TSH.
Duration: siku 5.
@tanpol shindaneni na Technology.😁
Let's Cruise🤝
Mwisho wa kunukuu.
Ukunguru.comAngejifunza kitu kwa Assange wa Wikileaks original
Kaka ww acha tu kuna watu waoga yaan viongozi wanawaona kama Mungu vile kumbe nao ni watu tena tumewapa sisi wenyewe hiyo jeuri..Mijitu ni mipuuzi sana ,mtu ameumizwa vibaya sana ,nawashauri warudie kuiona ile video sativa yupo chini hata kutembea hawezi analia wampeleke hospital kwa sababu ya maumivu makali wauvae ule uhusika kama wao kisha warudi kutoa mashudu yao hapa jukwaani.
Sativa kashamtambua Mtumishi X wa kituo Y kwanini achukuliwi hatua za kisheria? Zaidi ya J4 kusema tu sativa alitekwa na washikaji ,je hao washikaji wanaweza kumpeleka kitupo cha polisi na kwenda kumuhoji? Kwani kuna kosa sativa kusema waliomteka ni washikaji maana hapo mwanzo alikuwa hajawajua ,mbona hata Zakaria alivyotaka kutekwa taarifa ya awali walisema watu walisiojulikana lakini baadae walikuja kutambulika kwamba ni TISS ,je Zakaria akihojiwa ataendelea kusema alitaka kutekwa na watu wasiojulikna?
Wewe unaandika maneno kihisia mkuu.Kwani huyo dogo umemsikia anataja CCM??Yeye si anataja watu anaowashuku..CCM unaiingizaje hapo..au nyinyi mnawaza siasa tu muda wote hata kama maisha ya watu yako hatarini??
Mm sipendi mtu aonewe ama amuonee mwingine km dogo alikua anazingua mahakama z zipoHii nchi ina mazombi wengi sana na utakuta wengine wana familia kabisa ni aibu
Nchi hii ina mtaji mkubwa sana wa wajinga
Exactly hii nchi haiongezewi na sheria za porini a.k.a jungle lawMm sipendi mtu aonewe ama amuonee mwingine km dogo alikua anazingua mahakama z zipo
Hyo ID yako nimecheka sana...😃😃😃Sio chadema ni maria ana kakesi kake amemfungulia IGP akishinda alipemwe tubilioni kana mvimbisha kichwa shauri yake
Dogo yuko kina kirefu cha bahari time will tell
Wakili wake amasidie dogo namna wa kujibu na kubehave makubwa mitandaoni anaharibu sana
wanatumia lugha za ulaghai.Walikulazimisha kubet?
Sasa na yule aliyechoma picha yake aliyechora Mbeya ana impact gani? Hadi Prof Lwaitama kauliza mtu kama Soka mtoto mdogo ambaye hawezi kufanya chochote hana hata kisu wamemuua kwa kipi? Dawsonm Kumbusho alitaka kutekwa kisa tu alipiga picha Expansion Joint Hostel za JIWE na asingepiga kelele angeenda kuuliwa.Sasa Sativa ana kipi kiasi cha kushawishi Polisi wamteke? Au kumuua?
Una uhakika wote hao wameuawa?Sasa na yule aliyechoma picha yake aliyechora Mbeya ana impact gani? Hadi Prof Lwaitama kauliza mtu kama Soka mtoto mdogo ambaye hawezi kufanya chochote hana hata kisu wamemuua kwa kipi? Dawsonm Kumbusho alitaka kutekwa kisa tu alipiga picha Expansion Joint Hostel za JIWE na asingepiga kelele angeenda kuuliwa.
Hakuna kosa lolote litakalomfanya mtu atekwe au auawe na watu wasiojulikana ,makosa yote yana adhabu yake kwa mujibu wa sheria ,hao wasiojulikana huwa hawatumii akili yaani mtu akiikosoa serikali wanamteka na kumuua....Kwahiyo wao wanateka kisa kuiokosa sirikali tu na hakuna kingine.......Yaani hata mtu kajamba nani mtaani akiisema serikali vibaya wanamteka...mfano mzuri ni Kijana wa mbeya kachoma picha aliyeichora yeye wameenda kumuua.
Wewe mwenye uhakika walipo tuambie basi wapo wapi kama hawajauliwa?Una uhakika wote hao wameuawa?