Sativa alipia matangazo Instagram kuanika uchafu wa Jeshi la Polisi

Sativa alipia matangazo Instagram kuanika uchafu wa Jeshi la Polisi

Ukisoma comments utagundua wengi wa Tz...tuko wanafiki, waoga, wabinafsi..mtu aliishakula chuma cha kichwa..huyu aliishaona maisha ya mwanadamu hayana maana sana - anaowashuku kufanya hivyo..wapo kawataja, nobody is doing anything...njia pekee anayoona inamsaidia ni hiyo ya mitandao ya kijamii - na kasaidia kuongea sana - kasikika - huwezi ukamlinfanisha ni key - board warriors..tunaotumia majina fake hata kutoa ushauri mzuri..then watu wako bizy..oooh dogo atulie, oohh atapotezwa..sijui blablah gani..Lets him continue with his fights..atakapoishia hapohapo itatosha - at least jamii imepata abc ya vitu vinavyoendelea - Kila mtu apiginanie his/her calling bila kujazwa upepo na uoga...Nyinyi ambao mnafikiri kwa kukaa kimya kwenu au kuwa nice guys..just know kuwa mwisho wa siku we will all die...
Tumuache kijana - apambane na njia aliyoamua kuchukua - tusikae kuhukumu tu wakati hatujawahi hata kupigwa mshale wa mguu.
 
Mungu alimrudisha duniani ili amalizie Kazi Na familia yake Sasa naona kasahau anarudia Yale Yale.

Safari hii ataenda mazima huyu Dogo.Unajua Kuna wakati mwingine unapewa tahadhali ya kwamba hapa Kuna hatari Na usiguse Wala kusogelea lakini Kwa kuwa Ni mkaza fuvu basi litamkuta kitu.

CCM ni dude kubwa ambalo MTU mmoja hawezi kulibeba Wala kulisukuma.
Kwani huyo dogo umemsikia anataja CCM??Yeye si anataja watu anaowashuku..CCM unaiingizaje hapo..au nyinyi mnawaza siasa tu muda wote hata kama maisha ya watu yako hatarini??
 
Wabongo ni mamburula na waoga zaidi ya kunguru huyu kijana alipaswa aungwe mkono kwa hichi anachokifanya ili kukomesha tabia mbovu za jeshi la polisi kuumiza wananchi waliopaswa kuwalinda. Ona sasa mijitu mizima inamtia uwoga kijana jasiri aliamua kupigania haki.
 
We unaandika hii comment huna jeraha hata moja mwenzako kapigwa risasi ya kichwa
Ukitaka biashara zako ziende vizuri, usisumbuane na mamlaka.
Huyo chalii ana mihemko.
Wananchi walio wengi hata hawamfahamu huku kitaa na huko mabushi.
Alisha nusurika angekausha tuu.
 
Mawazo yako siafikiani nayo. Kwamba binadamu tuogope kuanika maovu kwa sababu ya kuogopa kuuawa. Dunia imefika hapa ilipo kwa sababu ya watu majasiri kama Satifa. Woga hauna nafasi. Yaani mtu walipanga kuumua, akapona kimuijuza halafu eti aogope kutetea haki kwa sababu ya woga. Hvi unajua kuna wengi tu wanakufa kwa sababu ya kuogopa kama unavyotaka wewe?
Waambie hao labda watakuelewa south afica mpaka kupata uhuru kutoka kwa makaburu walikufa wengi sana ili wengine waje waishi kwa amani ....sasa bongo wanataka asife hata mtu mmoja wanapopigania haki zao
 
Wabongo ni mamburula na waoga zaidi ya kunguru huyu kijana alipaswa aungwe mkono kwa hichi anachokifanya ili kukomesha tabia mbovu za jeshi la polisi kuumiza wananchi waliopaswa kuwalinda. Ona sasa mijitu mizima inamtia uwoga kijana jasiri aliamua kupigania haki.
Adui yetu ni mfumo siku ambayo vyombo vya Dola vitakapo kua independent na sio kua affiliated na chama Dola ( CCM) solution ya kwanza Ni kupata KATIBA MPYA.

Sasa kamanda wa police anapokea maelekezo kutoka CCM unadhani utapata haki?

Yame shuhudiwa mengi itoshe kusema SATIVA ATULIZE BALL AISHI MAISHA YAKE OTHERWISE AOMBE KWENYE KUISHI SEHEMU SALAMA HUKO EUROPE NA CANADA TRUST ME Akiendelea kua ELEMENT wata mu ELIMINATE na kumuondosha ni very easy Kama KUPULIZA KIBATARI mwenye Masikio na asikie.
 
Twende specifically Kwa Sativa, yeye alikuwa na threat ipi mpaka asumbue hao unaousema walitaka kumuua kiasi cha kumpeleka Hifadhini Katavi
Alitofautiana kauli na Eric Bernard chawa wa ummy mwalimu
 
Back
Top Bottom