Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Bora aongee kufa kupo tuu ama kwa namna yoyote ile Mungu akisema njoo utaendea tuu.
Kibao alisema nini yuu wapi?
Soka na wenzake wako wapi
Dogo aliechoma picha yuu wapi?
Kiko wapi kizazi kisichokuwa na woga? Mwl Julius K. Nyerere amewahi kusema vijana wasio waoga sasa wako wapi?
Kibao alisema nini yuu wapi?
Soka na wenzake wako wapi
Dogo aliechoma picha yuu wapi?
Kiko wapi kizazi kisichokuwa na woga? Mwl Julius K. Nyerere amewahi kusema vijana wasio waoga sasa wako wapi?