Sativa alipia matangazo Instagram kuanika uchafu wa Jeshi la Polisi

Ujinga unakusumbua sio kosa lako mtu akuteke akupige risasi upone alafu useme mhusika ujinga unamsumbua kwa hiyo ulitaka awasifie waliomteka aiseee

Kuandika kwenye twitter is the best approach kwa mtazamo wako? Atapata faida gani? Atapata haki yake kuandika huko X?

Endeleeni kumjaza sifa za kijinga wakati nyie mmeweka miguu juu tu makwenu, atayeumia ni yeye na familia yake.
 
Yani watu wanachukulia easy system..ila hao jamaa sio wakucheza nao...ubaya ukute Kuna wahuni wanamtumia na kumpump na huku madhara yake wanayajua
 
Wata mu eliminate "juzi juzi nilikua natembea hapo gerezani kwenye treni nikaona watu wengi sanaaa watu kibao"
Sativa atulize ball Aishi Maisha yake otherwise ataumia.

Haki huinua taifa.
Hakuna mtu anahangaika naye, ana nini cha maana. Hivi bado ana kazi yake ya udalali, au kaingizwa kwenye payroll ya Maria kwa wazungu? Mana kikukicha tu anaubunifu kimtandao zaidi
 
Analipia yeye au da Maria?
 
Kaka ww acha tu kuna watu waoga yaan viongozi wanawaona kama Mungu vile kumbe nao ni watu tena tumewapa sisi wenyewe hiyo jeuri..
 
Kwani huyo dogo umemsikia anataja CCM??Yeye si anataja watu anaowashuku..CCM unaiingizaje hapo..au nyinyi mnawaza siasa tu muda wote hata kama maisha ya watu yako hatarini??
Wewe unaandika maneno kihisia mkuu.

Ugumu wa maisha usikuchanganye Mzee wangu...CCM ni dude kubwa
 
Hyo ID yako nimecheka sana...πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Na hivyo walimpiga shaba ya taya..possibly hata kuongea vzr inaweza kuwa shida kwa sasa..ngoja basi afanye maangamizi ya mtandaoni...
 
Sasa Sativa ana kipi kiasi cha kushawishi Polisi wamteke? Au kumuua?
Sasa na yule aliyechoma picha yake aliyechora Mbeya ana impact gani? Hadi Prof Lwaitama kauliza mtu kama Soka mtoto mdogo ambaye hawezi kufanya chochote hana hata kisu wamemuua kwa kipi? Dawsonm Kumbusho alitaka kutekwa kisa tu alipiga picha Expansion Joint Hostel za JIWE na asingepiga kelele angeenda kuuliwa.

Hakuna kosa lolote litakalomfanya mtu atekwe au auawe na watu wasiojulikana ,makosa yote yana adhabu yake kwa mujibu wa sheria ,hao wasiojulikana huwa hawatumii akili yaani mtu akiikosoa serikali wanamteka na kumuua....Kwahiyo wao wanateka kisa kuiokosa sirikali tu na hakuna kingine.......Yaani hata mtu kajamba nani mtaani akiisema serikali vibaya wanamteka...mfano mzuri ni Kijana wa mbeya kachoma picha aliyeichora yeye wameenda kumuua.
 
Una uhakika wote hao wameuawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…