macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Shsria gani wakati wao ndiyo wanaoamua nani kakosa na nani kakosewa? Ulisikia jana jindi Muliro alivyosema eti alitekwa na washikaji zake?Huu ni ushamba sasa
Badala ya kujikita kwenye sheria ili awashinde analeta utoto sasa