Sativa alipia matangazo Instagram kuanika uchafu wa Jeshi la Polisi

Sativa alipia matangazo Instagram kuanika uchafu wa Jeshi la Polisi

Kina nyinyi endeleeni ku "MPAMBILA" sativa ataendelea kua yeye ie.anaishi na Maumivu na anatumia dawa mpaka muda huu hapa unajifanya kum support but really hujamsaidia chochote.
Walitaka kuchukua wanamchukua na itabaki history.
Ajifunze kwa kina Dr.ulimboka, kubenea, mwakyembe, Roma, kabendera na wengineo walio wai kupitia hayo mazila.

Kunguru mwoga huepusha mbawa zake mapema.
Sasa Dokta una ushauri gani mbadala wa kumjenga kuhakikisha haki yake inapatikana na wahusika wawajibishwe?

Apitie njia gani ambazo wewe unaona zinafaa?

Au ushauri wako jamaa apotezee atulie kimya na asiwa expose wahusika?
 
Sasa Dokta una ushauri gani mbadala wa kumjenga kuhakikisha haki yake inapatikana na wahusika wawajibishwe?

Apitie njia gani ambazo wewe unaona zinafaa?

Au ushauri wako jamaa apotezee atulie kimya na asiwa expose wahusika?
Kwa Sasa na mambo matatu ya kumshaur, mosi alinde uhai wake maana uhai aununuliki kwaio Kama Kuna ambacho alikua anafanya before kikapelekea kupata kilicho mpata aache kukifanya ie. Sativa ndie binadamu Alie ichungulia HELL na akafanikiwa kurudi duniani to tell a story kina SOKA na wenzake mpaka leo hatujui ni WAZIMA ama wamekufa.
Pili,
Kama usalama wake ni mdogo aombe hifadhi nchi za nje akakae huko kwa the rest ya Maisha yake yaliyo bakia kuendelea kuwepo huku TZ (third world country) ni sawa sawa na kukata tawi la mti huku akiwa amelikalia sikuzote ukiwa umeshika kwenye makali mwenzio mpini nani atakae umia
Tatu,
Atafute wataalamu wa Sheria nguli wamsaidie Nini afanye baada ya kufanya measurements and evaluation watamueleza Nini hasa anatakiwa kufanya badala ya kuanza kuwa Kama mtu Alie panic ambacho hakita mpa manufaa yeyote Zaid ataonekana ni element ambayo inatakiwa ku be ELIMINATED Cha msingi ni kufuata protocol ili aweze kufanikiwa kupata haki zake.

Kwa Sasa ni hayo TU.
 
Wata mu eliminate "juzi juzi nilikua natembea hapo gerezani kwenye treni nikaona watu wengi sanaaa watu kibao"
Sativa atulize ball Aishi Maisha yake otherwise ataumia.

Haki huinua taifa.

And probably he does not have anything to lose. Kuna button ikiguswa, basi hata maisha yenyewe yanakosa radha na thamani.

Naamini katika haki na ni kweli, haki huinua Taifa
 
Wata mu eliminate "juzi juzi nilikua natembea hapo gerezani kwenye treni nikaona watu wengi sanaaa watu kibao"
Sativa atulize ball Aishi Maisha yake otherwise ataumia.

Haki huinua taifa.
Unashauri kwasababu upo kwenye comfort zone na sidhani kama hata umewahi kulala kituoni. Sativa ana maumivu ya mwili na saikolojia ambayo wewe huwezi kuyajua.
 
Edgar Mwakabela maarufu kama Sativa ambaye ni muhanga wa matukio ya utekaji, leo hii amelipia matangazo ya Instagram ili kuanika uhalifu unaofanywa baadhi ya askari wa jeshi la polisi.

Haya ameyaeleza Sativa katika ukurasa wake wa Twitter (X) leo tarehe 06/10/2024, ambapo ametenga bajeti ya Tshs. 135,000/= kwa muda wa siku tano kulipia matangazo hayo.

Ifuatayo ni nukuu kutoka kwenye ukarasa wa X wa Sativa:

MULILO TIME YO SHINE.🔥
Mnalipa CHAWA 20k wanichafue.

Mimi nawalipa INSTAGRAM kuaniaka uchafu wenu.

@tanpol u messed w/ GEN Z.

Budget $50 = 135,000/= TSH.
Duration: siku 5.

@tanpol shindaneni na Technology.😁

Let's Cruise🤝

Mwisho wa kunukuu.
Huyu Sativa wenu ni mjinga mkubwa!
 
Dogo angepaswa kutuliza kichwa kwanza na kuangalia namna maisha yake kuyajenga upya.

Sasa atakimbia kimbia kwenye nchi za watu na kujificha kama panya hata lini?

Anyway kuchagua ni kupanga au kupanga ni kuchagua.
 
Back
Top Bottom