Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Kwamba watu wazima wamuambie akae kimya ?Dogo kapoteza uelekeo huwezi kushindana na watu wazima Muliro jana kamprovoke dogo kama mzazi na dogo kaingia upepo vibaya mno
Wazazi jitahidini kukaa na vijana wenu muwafundishe ukakamavu namna ya kusema na kujibu watu wazima
Kwamba kimya chake kitamfanya aishi milele au apone majeraha ? Huyo murilo yeye ataishi milele ?