Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
🤣 Humu tu humu tuuuMkuu,
Unazijua BTX, VX, POLONIUM 201, RICIN, BOTOX ni Jambo la muda TU.
Haki hui nua Taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 Humu tu humu tuuuMkuu,
Unazijua BTX, VX, POLONIUM 201, RICIN, BOTOX ni Jambo la muda TU.
Haki hui nua Taifa.
Unataka kusemaje mkuu 🤣😂🤣 Humu tu humu tuuu
Muda utasema kweli tuUnataka kusemaje mkuu 🤣😂
Jitahid kusoma comment utajua hapa nilipo na Maumivu na hata sitembei vizuri nayajua Maumivu yanafananaje na Mimi binafsi ni medical practitioner.Unashauri kwasababu upo kwenye comfort zone na sidhani kama hata umewahi kulala kituoni. Sativa ana maumivu ya mwili na saikolojia ambayo wewe huwezi kuyajua.
Sawa mkuuMuda utasema kweli tu
Kweli mkuu "the point of no return" ndio ivyo yaan.And probably he does not have anything to lose. Kuna button ikiguswa, basi hata maisha yenyewe yanakosa radha na thamani.
Naamini katika haki na ni kweli, haki huinua Taifa
Kuna mtu mzima hivyo kama huyu MuliloDogo kapoteza uelekeo huwezi kushindana na watu wazima Muliro jana kamprovoke dogo kama mzazi na dogo kaingia upepo vibaya mno
Wazazi jitahidini kukaa na vijana wenu muwafundishe ukakamavu namna ya kusema na kujibu watu wazima
Huna maumivu wewe ungekua na maumivu usingeongea kirahisi hivyo hivi unajua maumivu ya risasi ya taya na unaishi kabisa unajua aliekupiga risasi anatamba tu tena risasi ya tayaJitahid kusoma comment utajua hapa nilipo na Maumivu na hata sitembei vizuri nayajua Maumivu yanafananaje na Mimi binafsi ni medical practitioner.
Hakuna sindano au dawa ya Maumivu sijawai tumia huu mwaka
Stay safe MZEE.
Wewe LIKES zako zinekufikisha wapi?Maneno ya mtandaoni hayata mfikisha popote
Solution ni kutangaza uovu wa jeshi la polisi. Na ameshasema hata wakimuua ukweli umewekwa bayana. Kumbuka Sativa sio wa Kwanza kutekwa lakini simulizi yake imechukua taswira mpya ikifungua mijadala ya wazi yenye kuhoji ukweli. Hii ni hatua nzuri sana. Serikali sio Mungu.Kwa hiyo solution yake ndio hiyo ya kulipia matangazo instagram!!?
Mtu pekee tusiyeweza kushindana nae ni Mungu tu. Wengine wote wachumba.Mtu mmoja huwezi shindana na taasisi nzima.
Sipo hapa kubishana au kukuaminisha au kubattle kwa aina yeyote.Huna maumivu wewe ungekua na maumivu usingeongea kirahisi hivyo hivi unajua maumivu ya risasi ya taya na unaishi kabisa unajua aliekupiga risasi anatamba tu tena risasi ya taya
Mkuu usijesema hii kauliii hakuna asiye na chakupotezaaaa daima.When someone has nothing to lose
Mkuu usijesema hii kauliii hakuna asiye na chakupotezaaaa daima.
Usemalo ni kweli ila njia hii itazaa matunda?Nimesoma comment za mwanzo nikasema kweli tz mapoyoyo yamejaa kibao!??!.Mtu kapigwa kaumizwa.. kawtambua watu walio mfanyia unyama ule lakini hakuna hatua zinachukulia anaamua kupiga kelele..inatokea mbuzi mbulukenge mazafanta inasema ohooo dogo anapotea dah.....kweli tumelogwa.Hii nchi mtu anaweza akatuuza na hakuna atakaye sema lolote maama imejaa machizi yaan yanawogaaa na heshima za kipuuzi ....