kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Yeye keshamjua muhusika aliyemteka aende akafungue mashtaka!Typical kipara
Mtu katekwa kaumizwa aende polisi atafikaje polisi? Polisi inaenda kumwokoa victim na kuchunguza kilichotokea ili kulinda usalama wa raia wake
Mahakama hizi alizosema Rostam??LAKINI MTU KAMA UNAUSHAHIDI USIO TIA SHAKA KWANINI HAFUNGUI KESI? MAWAKILI WAPO WAKUTOSHA AMFUNGULIE KESI YA UTEKAJI WAKAPAMBANE KWENYE SHERIA SIYO KUJA KULALAMIKA TU HUKU MAJUKWAANI FUNGUA KESI MUENDE MAHAKAMANI
Na wanasheria pia wanao.Nadhani mawakili wake wapo wanapambana stay tuned, they are building the case, (gathering facts), kumbuka watekaji na wauaji wana vikosi maalum na imara
SadYeye keshamjua muhusika aliyemteka aende akafungue mashtaka!
Wasipochukua hatua polisi wewe unakaa kimya? Sativa aende polisi na kufungua kesi tofauti na hapo tunapoteza muda kamandaMpaka ureport polisi? Wao wenyewe hawaoni? Yaani Jambazi akivamia kwako polisi hawapaswi kukulinda na kufuatilia tukio mpaka ukareport kwamba umeuwawa?
Eti katekwa na HILLARI.Ukifuatilia sakata la Kijana maarufu kama Sativa aliyetekwa na kuokotwa huko Katavi, Yamesemwa mengi, Lakini swali linabaki
Nani ameshakamatwa na kuwajibishwa kwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria? Kuna kesi yoyote inayoendelea kuhusu wahusika? Wengi wanatajwa mf. Mafwele, Je, ameshafikishwa kwenye vyombo husika?
Vyombo vya ulinzi na usalama vinatoa ushirikiano kiasi gani na mhusika katika kuhakikisha linawapata wale wote waliohusika?
Mambo kama haya ndiyo yanayoibua mashaka juu ya uhusika wa matukio haya na vyombo vya ulinzi na usalama.
HAKI HAIPOTEI
Sativa ni mtu wa hovyo tuUkifuatilia sakata la Kijana maarufu kama Sativa aliyetekwa na kuokotwa huko Katavi, Yamesemwa mengi, Lakini swali linabaki
Nani ameshakamatwa na kuwajibishwa kwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria? Kuna kesi yoyote inayoendelea kuhusu wahusika? Wengi wanatajwa mf. Mafwele, Je, ameshafikishwa kwenye vyombo husika?
Vyombo vya ulinzi na usalama vinatoa ushirikiano kiasi gani na mhusika katika kuhakikisha linawapata wale wote waliohusika?
Mambo kama haya ndiyo yanayoibua mashaka juu ya uhusika wa matukio haya na vyombo vya ulinzi na usalama.
HAKI HAIPOTEI
Lakini kumbe ni mtu asiyejulikana amejulikana baada ta Sativa kuponea tundu la sindanoYeye keshamjua muhusika aliyemteka aende akafungue mashtaka!
Haijalishi wanasiasa wamenufaika au la, cha muhimu vyombo vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya uchunguzi na kuja na majibu, Bila kujali kama mhusika anatoa ushirikiano au la.Kwanza Sativa ni nani maana tumekua tunasikia tu sativa sativa sativa. Mimi kwanza naamini maneno ya mkuu wa jeshi kwamba Sativa alipozinduka huko Katvi alikopelekwa na kutupwa alisema alitekwa na washikaji. Clip yenye hiyo kauli yake ya kwanza ingechezwa na kuchezwa mara nyingi. Nafikiri kuna kitu kinaendlea cha uhalifu nchini kisha wanasiasa wa upinzani wanarukia kunafaika kisiasa. Huenda polisi wanajua na pengine wanashiriki ndio maana wahalifu hao hawakamatwi. Kina Sativa huenda ni wafanya biashara wa mihadarati. Tunajua hiyo biashara ilipigwa vita na kupungua sana awamu ya tano lakini sasa kwenye awamu ya sita imerejea tena wahusika wanalindwa na kusindikizwa badala ya kushikwa. Ndio maana hatuikii tena vita dhidi ya madawa ya kulevya. Hapo nimekuja na kufikirika hebu chambueni kwa mtazamo huo. Haiwezekani eti watu wanatekwa wengi hawana umashuhuri wowote kwenye jamii ila wakishatekwa unasikia chama fulani watakwambia eti ooh alikua mwanachama wetu, ooh likua katibu wetu wa mtaa.
Kwanini aende akafungue mashtaka? Polisi haijui wajibu wake? Umeshaona eti mtu anauwawa alafu waombolezaji anashauriwa waende kufungua kesi dhidi ya muuaji? Hiyo ni kazi ya Jamhuri, kulinda raia na mali zake. Asipofunguliwa maana yake kesho ataleta madhara zaidi kwenye jamiiYeye keshamjua muhusika aliyemteka aende akafungue mashtaka!
Kwa hiyo inampa uhalali Mtekaji kutaka kumuua?Sativa ni mtu wa hovyo tu
Eti, ?Amekwenda kuripoti polisi?
SATIVA kamezeshwa kaseti - ni mchezo wa kuigizaUkifuatilia sakata la Kijana maarufu kama Sativa aliyetekwa na kuokotwa huko Katavi, Yamesemwa mengi, Lakini swali linabaki
Nani ameshakamatwa na kuwajibishwa kwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria? Kuna kesi yoyote inayoendelea kuhusu wahusika? Wengi wanatajwa mf. Mafwele, Je, ameshafikishwa kwenye vyombo husika?
Vyombo vya ulinzi na usalama vinatoa ushirikiano kiasi gani na mhusika katika kuhakikisha linawapata wale wote waliohusika?
Mambo kama haya ndiyo yanayoibua mashaka juu ya uhusika wa matukio haya na vyombo vya ulinzi na usalama.
HAKI HAIPOTEI
Hivi Sativa amefungua shauri mahakamani?Haijalishi wanasiasa wamenufaika au la, cha muhimu vyombo vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya uchunguzi na kuja na majibu, Bila kujali kama mhusika anatoa ushirikiano au la.
Subiri siku mumeo atekwe ndiyo akili itakukaa sawaSATIVA kamezeshwa kaseti - ni mchezo wa kuigiza