comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Nyie ni wajinga tu- mmemeza scriptSubiri siku mumeo atekwe ndiyo akili itakukaa sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ni wajinga tu- mmemeza scriptSubiri siku mumeo atekwe ndiyo akili itakukaa sawa
Amehamishia kituo cha polisi mjini twitter 😃😃Amekwenda kuripoti polisi?
Mpuuzi wewe shetani, juzi mtoto amechinjwa Arusha kwa Mrombo hukusikia?Nyie ni wajinga tu- mmemeza script
Cha kushangaza hapo nini sasa?Mpuuzi wewe shetani, juzi mtoto amechinjwa Arusha kwa Mrombo hukusikia?
Kwao ndiye mtu wa kwanza kuwa na akaunti XAmehamishia kituo cha polisi mjini twitter 😃😃
Mpaka achinjwe mumeo ndiyo mshituke?Cha kushangaza hapo nini sasa?
Kwanza sina mme; pili wewe ukiacha ukasuku unalishwa na Robert Amsterdam huna ujualo, siyo tishio hata kwa sisimizi kama walivyo wale vyambo vyenu akina soka na sativa. Tafuteni hela tu kwa view na like nyingi kwenye YOUTUBE ili mpate hela ya bangi na KvantMpaka achinjwe mumeo ndiyo mshituke?
Ukifuatilia sakata la Kijana maarufu kama Sativa aliyetekwa na kuokotwa huko Katavi, Yamesemwa mengi, Lakini swali linabaki
Nani ameshakamatwa na kuwajibishwa kwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria? Kuna kesi yoyote inayoendelea kuhusu wahusika? Wengi wanatajwa mf. Mafwele, Je, ameshafikishwa kwenye vyombo husika?
Vyombo vya ulinzi na usalama vinatoa ushirikiano kiasi gani na mhusika katika kuhakikisha linawapata wale wote waliohusika?
Mambo kama haya ndiyo yanayoibua mashaka juu ya uhusika wa matukio haya na vyombo vya ulinzi na usalama.
HAKI HAIPOTEI
He survived to tell the tale. Uzuri internet haisahau.Ukifuatilia sakata la Kijana maarufu kama Sativa aliyetekwa na kuokotwa huko Katavi, Yamesemwa mengi, Lakini swali linabaki
Nani ameshakamatwa na kuwajibishwa kwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria? Kuna kesi yoyote inayoendelea kuhusu wahusika? Wengi wanatajwa mf. Mafwele, Je, ameshafikishwa kwenye vyombo husika?
Vyombo vya ulinzi na usalama vinatoa ushirikiano kiasi gani na mhusika katika kuhakikisha linawapata wale wote waliohusika?
Mambo kama haya ndiyo yanayoibua mashaka juu ya uhusika wa matukio haya na vyombo vya ulinzi na usalama.
HAKI HAIPOTEI
Kesi zingine mbona serikali inazibeba bila kusubiri mawakili?LAKINI MTU KAMA UNAUSHAHIDI USIO TIA SHAKA KWANINI HAFUNGUI KESI? MAWAKILI WAPO WAKUTOSHA AMFUNGULIE KESI YA UTEKAJI WAKAPAMBANE KWENYE SHERIA SIYO KUJA KULALAMIKA TU HUKU MAJUKWAANI FUNGUA KESI MUENDE MAHAKAMANI
Mungu ni mwema siku zoteIpo siku yaja.
Kwa hiyo alitekwa na washkaji?😂😂Wanalindana ,kama J4 amesema kwamba walimuokoa sativa17 ambaye alitekwa na WASHIKAJI.
Kitu mbacho tunatakiwa kukifahamu Tanzania hii, ni kuwa kuna watu ambao wanalincwa kisheria kuchukulia hatua kishetia.Ukifuatilia sakata la Kijana maarufu kama Sativa aliyetekwa na kuokotwa huko Katavi, Yamesemwa mengi, Lakini swali linabaki
Nani ameshakamatwa na kuwajibishwa kwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria? Kuna kesi yoyote inayoendelea kuhusu wahusika? Wengi wanatajwa mf. Mafwele, Je, ameshafikishwa kwenye vyombo husika?
Vyombo vya ulinzi na usalama vinatoa ushirikiano kiasi gani na mhusika katika kuhakikisha linawapata wale wote waliohusika?
Mambo kama haya ndiyo yanayoibua mashaka juu ya uhusika wa matukio haya na vyombo vya ulinzi na usalama.
HAKI HAIPOTEI
Hakuna kitu hapa......unga mtupu.Kitu mbacho tunatakiwa kukifahamu Tanzania hii, ni kuwa kuna watu ambao wanalincwa kisheria kuchukulia hatua kishetia.
Uchunguzi ukifikia hapo elelwa kuwa ndiyo hakuna namna, labda sheria zibadilishwe.
Ni wepesi sna kuelewa, kuwa kuna sheri inawalinda wasiokulikana na imepitishwa bungeni. Pia kuna sheria inayowalinda wanaopambana na ugaidi.
Zibadili hizo sheria ndiyo uanze kulalamika.
Huo ndiyo ukweli:Hakuna kitu hapa......unga mtupu.
Ipo toka mwaka 1996 sikiliza vizuri hiyo video. Juzi juzi ilifanyiwa marekebisho tu.Hiyo sheria imetungwa juzi ktk kuhalalisha utekaji.
Juzi juzi wamegongelea msumari mpaka tukashangaa huyu Mama wa 4R ndio huyu huyu?Ipo toka mwaka 1996 sikiliza vizuri hiyo video. Juzi juzi ilifanyiwa marekebisho tu.