Sativa amezungumza mengi kuhusu waliomteka. Je, nani amefikishwa mbele ya sheria mpaka sasa?

Sativa amezungumza mengi kuhusu waliomteka. Je, nani amefikishwa mbele ya sheria mpaka sasa?

Kwanza sina mme; pili wewe ukiacha ukasuku unalishwa na Robert Amsterdam huna ujualo, siyo tishio hata kwa sisimizi kama walivyo wale vyambo vyenu akina soka na sativa. Tafuteni hela tu kwa view na like nyingi kwenye YOUTUBE ili mpate hela ya bangi na Kvant
Huwezi kuwa naye sababu huna akili timamu
 
Kwa hiyo alitekwa na washkaji?😂😂
Na Murilo hataki kuwatafuta hao washikaji?
Yeah j4 anasema kwamba Sativa alitekwa na washikaji na kina muliro ndiyo waliomuokoa SATIVA.

Ila Sativa akatambike maana sehemu aliyoenda kutupwa ni MBUGANI kabisa maana kutoka alipopigwa risasi hapo bwawa la viboko na mamba ni mwendo wa dakika 20 hadi 30 alivyotambaa na kutoka hapo alipokutwa na wasamaria wema hadi GETI LA TANAPA ni takribani mwendo wa dakika 50 kwa gari ,kikawaida mwendo wa dakika 50 kwa gari ni around 50km hadi 60km ,ni kama kutoka Posta BISMINI(Askari Monamenti) hadi Bagamoyo Centre...Washikaji ni MAKATILI SANA.
 
JF unatakiwa ujue una mjibu nani otherwise utamaliza eneji yako bure. Mtu mzima asiyejua kuwa jinai sio lazima victim airipoti utamuelewesha hadi lini?

🗑️


..hata Samia Amiri Jeshi Mkuu anajua kuwa Sativa alitekwa maana alimpa fedha za matibabu.
 
Back
Top Bottom