Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Naamini wote tumeshapata taarifa juu ya tukio la kijana Sativa kupatikana, ambapo alitekwa na watu wasiliojukana na kupatikana leo katika hifadhi ya Katavi.
Edga Sativa (Sativa)
Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana
Swali ni kwamba KWANINI ARUSHA? Yaani katika sehemu zote akapelekwa ARUSHA, why? Je, mtesi wake alikuwa Arusha? Na baada ya kuona watu tutaanza kuhoji basi wakamtoa mbali na hapo na kwenda kumtupa Katavi. Fahamu tu kwamba, kwa makadirio kutoka Arusha mpaka katavi ni kama masaa kumi hivi!
Kuna nini hapa katikati?
Kupata taarifa ya polisi soma: Kamanda wa Polisi Katavi: Sativa anasema alichukuliwa Dar akapelekwa Arusha na kutupwa Katavi
====
Hii hapa chini ni tweet iliyowekwa tar 23, na chawa maarufu wa Ummy. Wanapata wapi nguvu ya kutamba waziwazi hivi? Huyu asingekuwa kutoka CCM wangemkamua kisawa sawa, ila sababu ni mtu wao bado anaendelea na kazi zake kama kawaida.
Huyu ilitakiwa aende kuisadie polisi kufanya uchunguzi
====
Mnakumbuka Mwenyekiti UVCCM Kagera alishawahi kutoa kauli wanaweza kuwapoteza watu na wakifanya hivyo polisi isiwatafute? Ndio wameanza kutekeleza kazi zao?
Kama utakuwa umesahau tamko lile au hukuwahi kuliona pitia hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Wakuu #KataaUchawa #KataaUozo2025 #KataaWatuWasiyojulikana #KataaWauaji
Naamini wote tumeshapata taarifa juu ya tukio la kijana Sativa kupatikana, ambapo alitekwa na watu wasiliojukana na kupatikana leo katika hifadhi ya Katavi.
Edga Sativa (Sativa)
Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana
Swali ni kwamba KWANINI ARUSHA? Yaani katika sehemu zote akapelekwa ARUSHA, why? Je, mtesi wake alikuwa Arusha? Na baada ya kuona watu tutaanza kuhoji basi wakamtoa mbali na hapo na kwenda kumtupa Katavi. Fahamu tu kwamba, kwa makadirio kutoka Arusha mpaka katavi ni kama masaa kumi hivi!
Kuna nini hapa katikati?
Kupata taarifa ya polisi soma: Kamanda wa Polisi Katavi: Sativa anasema alichukuliwa Dar akapelekwa Arusha na kutupwa Katavi
====
Hii hapa chini ni tweet iliyowekwa tar 23, na chawa maarufu wa Ummy. Wanapata wapi nguvu ya kutamba waziwazi hivi? Huyu asingekuwa kutoka CCM wangemkamua kisawa sawa, ila sababu ni mtu wao bado anaendelea na kazi zake kama kawaida.
Huyu ilitakiwa aende kuisadie polisi kufanya uchunguzi
====
Mnakumbuka Mwenyekiti UVCCM Kagera alishawahi kutoa kauli wanaweza kuwapoteza watu na wakifanya hivyo polisi isiwatafute? Ndio wameanza kutekeleza kazi zao?
Kama utakuwa umesahau tamko lile au hukuwahi kuliona pitia hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Wakuu #KataaUchawa #KataaUozo2025 #KataaWatuWasiyojulikana #KataaWauaji