Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Wabongo nguvu ya soda.............Tujifunze kwa jirani zetu hapo juu,,,,
 
HALAFU wanatokea watu wanasema anayehusika ni CHAMA FULANI ama ni TAASISI FULANI......! wakati mtu kutwa kuchwa KUTUKANA........
Wewe unaenda kuwatukana watu huko mitusi mikubwa mikubwa mbaya zaidi unawaonyesha mpaka Sura yako unategemea wakufanyie nini wakuvalishe Kitenge?
 
Hapo wanapanga kumpelekw police kwanza kabla ya kumfikisha hospitali!
Unbelievable.
Eti ndivyo sheria/taratibu inavyotaka hivyo. Sio kosa la wananchi. Ni kosa la wajinga wanaotunga sheria mbovu kama hiyo.
 
Utaratibu huu ni lazima ubadilike.
 

Hakunaga Kiongozi asiye katili duniani

Ndio sababu Hapa kwetu akiapishwa anapewa Mkuki 😂😂
Mm sijajua kukosoa kama mtu kakosea hasa kiongozi ni kosa? Ila naamini kukosoa Kwa matusi na maneno ya kejeli ni kosa kubwa!!
Mwamba kapigwa kama ngoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…