Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Kidogo tuu..Wewe upo vizuri pasua kichwa
Si unaona nyie mnaenda 42 mie 21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidogo tuu..Wewe upo vizuri pasua kichwa
Kunywa bwana maisha yenyewe mafupi haya mdakachoziKwa kweli nilikua natafuta mtu wa kunitia moyo,nashukuru sana
Sio namdanganya namwambia ukweli bwanaUsimdanganye mdaka chozi bana!
Mtaalamu sana huyoAnaonekana ni mtaalamu kwenye hayo mambo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni wivu tuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama kweli vile
HahahaNyie mtakuwa mnazunguka nyumba mnasema mmekimbia
Ndio ndioHakuna kuhesabu,ni mbioo tu
Weeeeh doctor wa nn nitamuweza wapi mm mdakachoziHahaha hahaha hahaha
Yaani nacheka mimi jamaniii!
Shunie atakuwa doctor wako
[emoji2]Ni wivu tuu
Hongera sana. Mimi uzito haupungui ila nguo zinakua kubwa siku hadi siku. Hata kiafya najisikia mwepesi kwa kweli tofauti na mwanzoni.Nakupongeza sana,
Katika vitu ambavyo vimenisaidia ku-reduce weight ni kukimbia, nilianza kukimbia tarehe 12 January 2019 kwa kwenda 1.5 Km mdogo mdogo hadi kwa sasa nakwenda hadi 10km.
Kiukweli naona nioo sawa sn ht kiafya, mfano mdogo tu ni kwamba nimepunguza 12kg.
Lkn pamoja na hayo km mtu una nia ya dhati ya kupunguza uzito no vema ukapunguza sana matumizi ya vyakula vya wanga na matumizi ya sukari hv ni vitu hatari ktk kuongeza uzito, nimefanya hvyo na ndio maana nimefanikiwa kupungua kwa 12Kg.
Nawahamasisha wanajukwaa wenzangu tufanye mazoezi kwa afya!!
View attachment 1128383
Kwa kweli mazoezi yana manufaa sana, hata ukilala u feel comfortable No kukoroma kama duduwasha, hata kwenye g@m€ you do it better, full pumzi fully minyoosho hakuna fastafasta!!Hongera sana. Mimi uzito haupungui ila nguo zinakua kubwa siku hadi siku. Hata kiafya najisikia mwepesi kwa kweli tofauti na mwanzoni.
Wanga kuacha kwangu bado ni changamoto sema nimejiwekea ratiba ya kula mara moja kwa siku.
Ni uvivu tu sema mazoezi yanasaidia sana
HahahahahaHahaha hahaha hahaha
Yaani nacheka mimi jamaniii!
Shunie atakuwa doctor wako