Saudi Arabia has announced end of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire

Saudi Arabia has announced end of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire

juzi umesahau Urusi au hupo vijiwe vya kahawa
Unaongelea nini hapa ?, Nashindwa kukuelewa....

Angalia mambo kwenye business point of view; Mwarabu ana faida gani ya kukataa Pesa za nchi nyingine na kulazimisha itumike Dollar ? Je inafanya mafuta yake yauzike zaidi sokoni ?

Mwenye faida ni nani ?, Na aliweza vipi kufanikisha / kulazimisha hilo litokee ? , Na je bado anao uwezo wa kuendelea kulazimisha hivyo ?....

Mambo ni Dynamic na jambo moja linaweza kupelekea jambo lingine pia Dedollarization sio concept mpya imekuwa ikifikiriwa kwa muda mrefu and the economic power shift from west to east inaweza ikafanikisha jambo hilo;

Anyway my own two cents......, kuwa na One leading Superpower is not Safe for the World...
 
Hicho kitu ni kigumu sana kutokea.itakua WWIII
Niambie kwa nini iwe WWIII.Kutumia Dollar kama Petro Dollar ilikuwa by design,so it can be removed by design,wala hakuna lazima kutumia Petro Dollar.Ni kweli Wamarekani watakasirika,we know, lakini kama nchi zingine zote zitaungana,there is nothing America can do,they will have to sit down and watch the Empire crumble.

Tunajua walimuua Gadafi alipofanya jambo kama hili,sasa tusubiri tuone kama watamuua MBS.

 
Kama mtu hujui uchumi utaishia kusema hii ndoto ya mchana. Kwa wasiojua biashara kubwa duniani inafanyika kwa malipo ya dola over 38% sawa na almost 90trillion dollar. Sasa kati ya hizo transaction 55% ni mauzo ya mafuta peke yake. Na wauzaji wakubwa wa mafuta duniani Russia na Saudia tayari wanaacha kutumia dollar kama pesa ya malipo.

Lapili ili ununue mafuta lazima uwe na dollar ili ufanye malipo kutoka kwa wauzaji. Hivyo unaponunua dollar maana yake US lazima ahakikishe zipo za kutosha kwenye mzunguko zikipungua anaongeza.

Tatu unapoacha kununua mafuta kwa fedha uliyokuwa unatumia awali(dollar) zile unazoacha kuzitumia zinarudi kwa mwemyewe(US). Pesa hizi hazirudi kama sadaka bali kupitia mauzo namanunuzi mbalimbali sasa zitakuwa nyingi kwemye mzunguko kulko mahitaji. Matokeo

Thamani ya hela husika inashuka(dollar inapoteza thamani). Kisha inapelekea kupanda kwa gharama inflation.

Kwa nini saudia ni hatari? Kwa sababu kiwango cha dollar anachotumia kufanya biashara ni kikubwa sana kusababisha madhara makubwa marekani na dunia kwa ujumla.
 
Hizi ni ndoto za mujahedeen, kwa hiyo sisi tutanunua mafuta kwa madafu na China anayefanya biashara na Marekani yeye atawapa wamarekani Yuan na Marekani atatumia hela gani kununulia bidhaa China.

Mambo mengine ni porojo tu toka kwa frustrated sheikhs.
Mpango wa BRICS ni kwamba kila nchi ifanye biashara tokana na sarafu yake,,,,.......na sarafu wanataka zisapotiwe na resource fulani aidha dhahabu au madini mengine, ndo maana kwa sasa kuna nchi zinakusanya sana dhahabu.....ukienda kununua bidhaa nje,tuseme ndo hayo mafuta ukaambiwa ulipe kwa pesa yako...watapima thamani ya pesa yako tokana na soko la dhahabu lilivyo (mf....gram5 ya dhahabu ni sawa na tsh2), dollar ni mfumo wa kuprint tu makaratasi ila nyuma yake hayana kitu chochote cha kubeba thamani yake na ni sarafu ya kinyonyaji sana
 
OPERATION SANDMAN now activated. Saudi Arabia announces END of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire
Wednesday, January 18, 2023

As we have consistently warned for more than a year, Operation Sandman has now been activated, with Saudi Minister of Finance, Mohammed Al-Jadaan, telling Bloomberg TV (during a WEF Davos interview) that the Saudis will gladly accept all currencies for settling oil transactions. (Reported by OilPrice.com)
The foundational pillar of US global currency dominance and its ability to export inflation to the world is based on the so-called Petrodollar status, in which the US agreed to protect the (corrupt) Saudi kingdom in exchange for the Saudis demanding US dollars for all oil transaction settlements. This agreement has been in place since the Bretton Woods conference in 1944 and has carried the dollar until today.
But this arrangement is now coming to an end.

Very few Americans have any clue what this means to their assets and their future.
Also, very few people realize that over 100 nations are prepared to renounce the petrodollar as the dominant currency for oil settlements. Instead, many nations are going to switch to using the Yuan (from China), or the digital Yuan, or the new BRICS+ commodities-backed reserve currency that’s about to be launched by China, Russia, India and other participating nations.

The dominoes have been set into motion. And as this plays out, it means dollars will come flooding back to the United States as world nations dump the greenback fiat currency they no longer need. This means dollars will experience rapid devaluation in their purchasing power, which will be reflected in higher prices — i.e. inflation — in consumer goods such as groceries, automobiles and more.

Although this will take time to be fully realized, it also means that those people left holding dollars will be financial ruined as dollar purchasing power evaporates. The government response to all this is almost certain to include a new wave of mindless money printing, adding yet more dollar inventory to the flood of dollars being dumped by nations of the world. The end game is, of course, hyperinflation as the dollar loses not just 2% of its purchasing power per month, but may even slide into losing 10%, 20% or even more per month (in the final blowout stage). Think Weimar Germany as the end game here.
Protecting assets now becomes a matter of urgency
Among informed Americans — and anyone holding dollars — protecting assets must now become a top priority. This means we should expect a rapid shift of excess dollars into hard assets over the next several months: Gold, silver, land, vehicles, ammunition, firearms, food, etc. Check Comex silver inventories if you want to know what the insiders are already doing (hint: They are taking physical delivery of precious metals and emptying the vaults).

It also means that the prices we see today in almost everything are likely the lowest prices we’ll see for years to come. At some point, plummeting populations (mass vaccine die-offs) and rising interest rates will have a strong deflationary effect, but that doesn’t seem to be in the cards for 2023 or even 2024. All the strongest factors remain inflationary, and the Saudi decision to sell oil in currencies other than dollars is going to devalue dollars which means consumer prices will be inflated in dollars.

We strongly urge all readers to investigate strategies for asset diversification and reducing exposure to dollars, dollar-denominated assets (such as bonds) and the entire US banking system which seems increasingly fragile.

Learn more in today’s Situation Update podcast:
– Saudi Arabia declares willing to trade oil in currencies other than the dollar
– Operation Sandman has begun, and the dominoes will now begin to fall
– US dollar will head down path of hyper-devaluation as dollars flood back to the USA
– Those people left holding dollars instead of real assets will be wiped out
– Was the FAA subjected to a ransomware cyber attack that grounded all flights?
– The incompetent, illegitimate Biden regime can’t protect America’s infrastructure
– China already has a MAP of all cyber vulnerabilities across US infrastructure
– Russia preparing for major offensive against Ukraine and NATO targets
– Russia confirms it is facing an existential threat; will likely target NATO bases
– WEF leaders and attendees were likely told they might be targeted by missiles
– China set to coordinate cyber attacks with Russia’s kinetic attacks
– The era of western dominance over the world is coming to an end
– Russia to boost standing army to 1.5 million troops – mobilization under way
– Western nations begin sending tanks to Ukraine
– Ukraine cannot effectively deploy COMBINED ARMS, so the tanks hardly matter
– The world of low cost consumer goods is OVER global supply chains will crater.

Sources:
Natural News
Brighteon.com/c83e5d1f-305d-465b-b2cc-4b187d967c5b
Rumble: Rumble.com/v264li8-situation-update-11823-saudi-arabia-to-end-dollar-dominance-in-global-oil-t.html
Bitchute: Bitchute.com/video/59O3TWdW2Laa/
Banned.Video: Banned.video/watch?id=63c808d93315ed1aa6a46e42
iTunes podcast: Healthrangerreport.com/situation-update-jan-18-2023-saudi-arabia-to-end-dollar-dominance-in-global-oil-trade-operation-sandman-activated
Mabeberu wanaojidai werevu zaidi ya Mrusi na walio upande wake.🤔
 
Kuna watu (wagonjwa akili) huu mjadala watauamishia kwenye dini.


😂😂😂
Mtu yeyote akifanya hivyo atakuwa kakosea sana.Hakuna issue ya dini hapa.Wanauza mafuta yao popote,watauza nchi za Kiislamu na Kikristo, ila Dollar ya Marekani haitatumika as "the only" Currency in oil transantions.Una Yuan lete,una Ruble lete,una South African Rand lete,una Indian Rupee lete,bora tu iwe convertible na backed by a commodity like Gold or Silver,isiwe Fiat Currency kama ilivyo US $ kwa sasa.
 
Mafuta yatahitajika sio kwa magari tena kwani electric cars zimeanza kujaa
Hadi zije kua common sio leo,,,,tena zile full electric bado kabisa kuna gari chache sana ambazo ni full electric na nyingi ni ndogo hazina nguvu, kwa sasa wengi wanatumia hybrid inakua inatumia mafuta na umeme,,,,,.....gari za mafuta hadi zije kuondoka kabisa sijui kama wengine tutakua hai hasa kwa huku africa wazee wa used cars
 
Natural news sijawahi hata kuisikia [emoji1] [emoji1787]
Utaisikia wapi,ninyi mmezoea main stream media kama BBC,Aljazeera,CNN,CGTN,SkyNews etc.,ambapo mnalishwa mataka taka or fake news.Natural News is an independent news source,ambapo mabeberu hawana mkono wao,so you get the real news about them.Mainstream Media reports what they:the NWO Cabal, wants you to hear.
 
Hadi zije kua common sio leo,,,,tena zile full electric bado kabisa kuna gari chache sana ambazo ni full electric na nyingi ni ndogo hazina nguvu, kwa sasa wengi wanatumia hybrid inakua inatumia mafuta na umeme,,,,,.....gari za mafuta hadi zije kuondoka kabisa sijui kama wengine tutakua hai hasa kwa huku africa wazee wa used cars
Sio kweli mkuu
Vans zimejaa sana za electric na magari madogo yanaongezeka kila siku
Naziona 100% electric vans kuanzia kampuni ya Amazon ndio wameyanunua haswa na hata Royal mail
Hizi zimejaa sana na takwimu za [emoji636] pekee zipo 660,000 barabarani kwa sasa
Kwa Afrika tunafuata mkumbo tu bado sana
Kama Tanzania nzima ni magari 700,000 ya kawaida na wenzetu ya umeme tu zaidi ya laki 6 sasa na ndio kwanza yanafyatuliwa kila kukicha
Don't get me wrong bro
Gari za mafuta itachukua miaka kupotea ila zitabaki nchi masikini tu kwa wingi
Screenshot_20230119_151226_Google.jpg
Screenshot_20230119_151828_Google.jpg
 
Back
Top Bottom