Sio kweli mkuu
Vans zimejaa sana za electric na magari madogo yanaongezeka kila siku
Naziona 100% electric vans kuanzia kampuni ya Amazon ndio wameyanunua haswa na hata Royal mail
Hizi zimejaa sana na takwimu za [emoji636] pekee zipo 660,000 barabarani kwa sasa
Kwa Afrika tunafuata mkumbo tu bado sana
Kama Tanzania nzima ni magari 700,000 ya kawaida na wenzetu ya umeme tu zaidi ya laki 6 sasa na ndio kwanza yanafyatuliwa kila kukicha
Don't get me wrong bro
Gari za mafuta itachukua miaka kupotea ila zitabaki nchi masikini tu kwa wingi
View attachment 2487809View attachment 2487814