Saudi Arabia has announced end of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire

Saudi Arabia has announced end of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire

Sio kweli mkuu
Vans zimejaa sana za electric na magari madogo yanaongezeka kila siku
Naziona 100% electric vans kuanzia kampuni ya Amazon ndio wameyanunua haswa na hata Royal mail
Hizi zimejaa sana na takwimu za [emoji636] pekee zipo 660,000 barabarani kwa sasa
Kwa Afrika tunafuata mkumbo tu bado sana
Kama Tanzania nzima ni magari 700,000 ya kawaida na wenzetu ya umeme tu zaidi ya laki 6 sasa na ndio kwanza yanafyatuliwa kila kukicha
Don't get me wrong bro
Gari za mafuta itachukua miaka kupotea ila zitabaki nchi masikini tu kwa wingi
View attachment 2487809View attachment 2487814
Soko la gari za mafuta liko Africa. Bado watauza sana gari za mafuta na hivyo hivyo huko ulaya sio nchi zote zimekubaliana na habari za kununua gari za umeme.

Advancement ikifikia gari itembee kilometre 1000+ kwa single charge huenda zikanunuliwa zaidi ila kwa sasa bado sana.
 
Sisi ni watafiti,sio wa kusiliza udaku kwenye vijiwe vya kahawa na kusoma Mtanzania,Habari leo na kusiliza ITV,TBC au BBC kama wewe.We look for true state of the art information.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] at the same time mnasema habari zote ziko controlled na hao hao westerns leta chanzo kimojawapo tofauti na westernmedia kinacho eleza hizi habari zako unazo letaga umu jukwaan
 
Nafikili tunashindwa kuelewa. Swala ni kwamba hoa waujazi wa mafuta hawatakuwa na ulazima wa mteja kutumia dola kununua mafuta. Mfano mzuri ni Russia jinsi anavyouza mafuta yake kwa sasa. Mmemfungia dola lakini mauzo yake yanazidi kupaa
Lakini Saudi sio kwamba anauza mafuta yake kwa dola ili kumfurahisha Marekani, anauza kwa dola sababu dola ndio most stable currency

Hata China hifadhi yake ya fedha ya kigeni kaweka kwa dollar sio kwa kumfurahisha Marekani, ameona ndio salama
Ni biashara sio hisani
 
Kama mtu hujui uchumi utaishia kusema hii ndoto ya mchana. Kwa wasiojua biashara kubwa duniani inafanyika kwa malipo ya dola over 38% sawa na almost 90trillion dollar. Sasa kati ya hizo transaction 55% ni mauzo ya mafuta peke yake. Na wauzaji wakubwa wa mafuta duniani Russia na Saudia tayari wanaacha kutumia dollar kama pesa ya malipo.

Lapili ili ununue mafuta lazima uwe na dollar ili ufanye malipo kutoka kwa wauzaji. Hivyo unaponunua dollar maana yake US lazima ahakikishe zipo za kutosha kwenye mzunguko zikipungua anaongeza.

Tatu unapoacha kununua mafuta kwa fedha uliyokuwa unatumia awali(dollar) zile unazoacha kuzitumia zinarudi kwa mwemyewe(US). Pesa hizi hazirudi kama sadaka bali kupitia mauzo namanunuzi mbalimbali sasa zitakuwa nyingi kwemye mzunguko kulko mahitaji. Matokeo

Thamani ya hela husika inashuka(dollar inapoteza thamani). Kisha inapelekea kupanda kwa gharama inflation.

Kwa nini saudia ni hatari? Kwa sababu kiwango cha dollar anachotumia kufanya biashara ni kikubwa sana kusababisha madhara makubwa marekani na dunia kwa ujumla.
Kwa hiyo Saudi atakuwa anatumia hela gani kuuza mafuta? Au kila mtu atabeba hela za nchi yake kwenda.?
 
Nyie potezeni muda na hizo fiction, haiwezi kuwa free for all kwenye biashara yoyote duniani na ni Marekani na marafiki zake ndio wanaotawala uchumi wa dunia.

This idea will remain a cry in the wilderness.
 
Viwanda na mitambo huwezi kuendeshea solar. Huo umeme wenyewe unaotokana na gas lazma kuna application ya diesel kuendesha baadhi ya mitambo.
Naafikiana na wewe kabisa
Viwanda vitaendeshwa na diesel kwa sana tu na miaka mingi ijayo

Ila viwanda havitumii diesel nyingi hivyo kama magari na ndio maana wanapambana kuhakikisha magari yanakuwa ya umeme

Nchi kama Germany na Holland wako mbali sana hata malori yanaenda kwa umeme na bila dereva pia

Kwa sasa kuna barabara zina chajisha magari huku unatembea juu yake na unalipia kwa mwezi au kila unapochaji

Kwa Ulaya wamefika mbali sana
 
Naafikiana na wewe kabisa
Viwanda vitaendeshwa na diesel kwa sana tu na miaka mingi ijayo

Ila viwanda havitumii diesel nyingi hivyo kama magari na ndio maana wanapambana kuhakikisha magari yanakuwa ya umeme

Nchi kama Germany na Holland wako mbali sana hata malori yanaenda kwa umeme na bila dereva pia

Kwa sasa kuna barabara zina chajisha magari huku unatembea juu yake na unalipia kwa mwezi au kila unapochaji

Kwa Ulaya wamefika mbali sana
Wao itawezekana ila AFRICA bado sana
 
Soko la gari za mafuta liko Africa. Bado watauza sana gari za mafuta na hivyo hivyo huko ulaya sio nchi zote zimekubaliana na habari za kununua gari za umeme.

Advancement ikifikia gari itembee kilometre 1000+ kwa single charge huenda zikanunuliwa zaidi ila kwa sasa bado sana.
Kweli soko lipo ila wameamua sasa na huku ulaya ukiwa na Gari la diesel la kizamani kama ni Lorry utalipa hela zaidi
Kuna camera kila barabara hapa [emoji636] wanaita ULEZ ( Ultra Low Emission Zone
Nilipita na lorry la zamani bila kujua sheria mara nne nilipigwa camera na faini ilikuja £2000 karibu 6m ya bongo

Na ukiwa na electric car hulipi Road tax kabisa
Wakati mimi nalipa gari yangu £700 kwa mwaka

Mkuu labda na Africa wachimbe mafuta kama ya Uganda na sisi labda
Tutahitaji sana mafuta ila kwa wazungu wanataka hewa Safi kama wanavyosema ila ni biashara pia kwa kutaka magari ya umeme

Wao wakiamua wanafanya mkuu
 
Kweli soko lipo ila wameamua sasa na huku ulaya ukiwa na Gari la diesel la kizamani kama ni Lorry utalipa hela zaidi
Kuna camera kila barabara hapa [emoji636] wanaita ULEZ ( Ultra Low Emission Zone
Nilipita na lorry la zamani bila kujua sheria mara nne nilipigwa camera na faini ilikuja £2000 karibu 6m ya bongo

Na ukiwa na electric car hulipi Road tax kabisa
Wakati mimi nalipa gari yangu £700 kwa mwaka

Mkuu labda na Africa wachimbe mafuta kama ya Uganda na sisi labda
Tutahitaji sana mafuta ila kwa wazungu wanataka hewa Safi kama wanavyosema ila ni biashara pia kwa kutaka magari ya umeme

Wao wakiamua wanafanya mkuu
Huo si mfumo wameweka ili ku encourage mnunue za umeme
 
Huwa nawashangaa Watanzania, mtu anajiokotea habari huko mtandaoni na kupost bila verify

Saudi hawezi dump dollar maana ataumia yeye.

China mwenyewe hafanyi dollar dumping
Kweli kabisa mkuu $$$$ zipo sana na Saudia hawezi kuwachezea sharubu America hata siku moja
Gaddafi alijaribu wakammaliza

Saudia hawezi kwani jeuri yote ni kutoka kwa huyo huyo America

Fake news zipo hata Trump alikuwa anatukumbusha kila siku [emoji1]
 
Kweli kabisa mkuu $$$$ zipo sana na Saudia hawezi kuwachezea sharubu America hata siku moja
Gaddafi alijaribu wakammaliza

Saudia hawezi kwani jeuri yote ni kutoka kwa huyo huyo America

Fake news zipo hata Trump alikuwa anatukumbusha kila siku [emoji1]
Hii taarifa ukute hata Saudia wenyewe hawaijui[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utaisikia wapi,ninyi mmezoea main stream media kama BBC,Aljazeera,CNN,CGTN,SkyNews etc.,ambapo mnalishwa mataka taka or fake news.Natural News is an independent news source,ambapo mabeberu hawana mkono wao,so you get the real news about them.Mainstream Media reports what they:the NWO Cabal, wants you to hear.
Basi naanza kuifuatilia sasa
Ila dollars bado ina nguvu sana duniani na Saudia ni kibaraka wao

MbS hana ubavu huo maana hata kumuuwa Khashoghi wamelifumbia macho kwa biashara zao kubwa

Ni ngumu kumeza ila ndio hivyo
Nimeishi Saudia na GCC zote miaka 10 nawajua sana na nimefanya nao kazi mkuu
 
Huo si mfumo wameweka ili ku encourage mnunue za umeme
Na itabidi mkuu maana nakumbuka bei ya mafuta ilivyokuwa na leo tunalipa ghali mno mkuu
Na kila mwaka wanapandisha bei ya fuel, booze, and cigarettes

Hawa watu wakiamua utafanya wanavyotaka
Mayor wa London anatusulubisha haswa ukiingia tu lazima ulipe tena mara mbili Congestion changes na ULEZ pia

Kwa sasa huwezi amini wamesema mpaka kufika 2030 UK itakuwa smoke-free country
Nilipokuja [emoji636] sigara tulikuwa tunavuta kwenye mabasi 30 years ago

Sasa hata pub ni marufuku kitu ambacho hawakuamini kama litawezekana kutenganisha pombe na sigara ila limewezekana

Huo ni mfano kuwa wakiweka malengo wanafanya mkuu na wana plan ya miaka
Hili la electric cars hawakuwaza mara moja unalijua hilo

Screenshot_20230119_181222_Google.jpg
 
Kweli kabisa mkuu $$$$ zipo sana na Saudia hawezi kuwachezea sharubu America hata siku moja
Gaddafi alijaribu wakammaliza

Saudia hawezi kwani jeuri yote ni kutoka kwa huyo huyo America

Fake news zipo hata Trump alikuwa anatukumbusha kila siku [emoji1]
Pale Saudi Marekani anamuongezea Nguvu Qatar na Houthis
 
Bado mafuta yatahitajika kwa muda mrefu sana ujao mkuu.
Kweli hawawezi kuacha matumizi ya mafuta ila kwa mwendo wa haya magari ya umeme na majumba ya solar na wind turbines
Basi mafuta yatatumika kiasi tu

Hebu imagine ulaya na mataifa makubwa wanatengeneza magari ya umeme kama vichaa
Unafikiri hapo mafuta kiasi gani hayajatumika

Mpaka VW ametoa magari ya umeme mpaka natamani nijipige moja
Ila tatizo hayana sauti kabisa bora nibaki na Gari langu nilipe wanachotaka ila roho inaridhika

Gari mlio bwana, fikiria kelele ya cayenne GTS
 
Bongo yatakuwa dili kuendeshea generators maana chini ya mdudu ccm hakuna siku kero ya umeme itaisha nchi hii kila siku hali inazidi kuwa mbaya.
Huko ni giza mpaka akili zao
Wanaona wawakomoe wananchi wakati wanaoteseka ni ndugu zao

Ni ajabu sana karne hii eti hawajui matatizo ya mwananchi wakati wanajua fika ni wizi wao tu
 
Back
Top Bottom