Saudi Arabia has announced end of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire

Saudi Arabia has announced end of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire

Upepo umebadirika........ Watu walikua wanavuta kasi tu
Alishajua kuwa itafika mahali mtavuta kasi ili mbadilishe upepo. Ndiyo maana akawatengenezeeni mdoli wa Kichina, nimyi mkauona kuwa ndiye mkombozi wenu, kumbe mnazidi kujipiga kitanzi.
 
Uzushi unqtukaa kichwani kwao sababu hatuna option ya kujifunza hali halisi, tatizo kubwa ni lugha .
Pale Mwenge kuna bomba la gesi linatandazwa kuelekea Mbezi Beach, siku moja nikaropoka kuwa naona Wameanza weka mabomba ya gesi, huwezi amini watu wote kwenye daladala walikataa, wakasema gesi haiwezi safirishwa kwenye plastics, huo ni mkongo wa umeme. Nikacheka sana.
Dala dala zima wanakataa wakati hadi magari ya TPDC yalikuwepo, ila bado walikataa.
Nikawaacha na ujinga wao

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Alishajua kuwa itafika mahali mtavuta kasi ili mbadilishe upepo. Ndiyo maana akawatengenezeeni mdoli wa Kichina, nimyi mkauona kuwa ndiye mkombozi wenu, kumbe mnazidi kujipiga kitanzi.
Ukweli utajulikana uzuri tupo tunaona, tujaliwe uzima tu...... Yajayo yanafurahisha
 
Tatizo.kubwa ni elimu, haya mambo ukisimulia mitaani utaonekana unapendelea marekani
Kama umewahi kupita kwenye vibanda vya movie uswahilini utanielewa , anachotafsiri mkandara watu ndo wanaweka kichwani kama reference , Hali hii ndo inatufanya mambo mengi ya kimataifa na jinsi dunia inavyokwenda yatupite kushoto.
Mkandaranhana muda wa kutafsiri taarifa ya habari bbc ,cnn aljazeera au russia today.
Halafu logic yake ni ndogo sana, yaani sana tu inakusaidia kuyaona yote.
SIjui ni namna gani watu wanashindwa kuelewa kuwa Mchina ni Mdoli wa Marekani na hizi bifu ni za kutengeneza tu ili kuendelea kuzubaisha akili za watu.
Ukianza kuifumia China hakuna shemu utaikosa Marekani, labda kwenye dini yao ya Budha tu.
 
Hizo ni reference tu , kuna documentaries pia , mambo ya uchumi yapo very well documented , ni vile hatuna nafasi ya kujifunza .
Inategemea unasoma za upande upi....... Tanzania ya sasa sio ya 1970s huko
 
Halafu l9gic yake ni ndogo sana, yaani sana tu inakusaidia kuyaona yote.
SIjui ni namna gani watu wanashindwa kuelewa kuwa Mchina ni Mdoli wa Marekani na hizi bifu ni za kutengeneza tu ili kuendelea kuzubaisha akili za watu.
Ukianza kuifumia China hakuna shemu utaikosa Marekani, labda kwenye dini yao ya Budha tu.
Juzi tu hapa nacy pelosi katua Taiwan , licha ya mikwara tele ya China,
Huawei kapotezwa , na si kampuni ya kwanza china kufanyiwa hivyo.
 
Baada ya Sudia kuanza mchakato wa kurudisha uhusiano tena na Iran kwa usimamizi wa China,mambo yanazidi kuiendea kombo US.
 
Alishajua kuwa itafika mahali mtavuta kasi ili mbadilishe upepo. Ndiyo maana akawatengenezeeni mdoli wa Kichina, nimyi mkauona kuwa ndiye mkombozi wenu, kumbe mnazidi kujipiga kitanzi.
Kuna mijamaa mijinga sana humu. Kama hamwezi kusoma, hata picha hamzioni??
 
Juzi tu hapa nacy pelosi katua Taiwan , licha ya mikwara tele ya China,
Huawei kapotezwa , na si kampuni ya kwanza china kufanyiwa hivyo.
China walitumia akili kubwa sana kumpotezea Polosi na USA. Kwani si kila migogoro ni ya kutumia nguvu. Umejiuliza kwa nini China wameingeza bajeti yake ya ulinzi

Huawei haiwezi kupotezwa. Kwa kitendo cha marekani kuwabania kwa wivu wao wa kike, imefungua fulsa ya china kija na software zao wenyewe na kujiondoa ktk mambo ya utegemezi
 

HAYA WAZUSHI SOMENI HIYO!!​

Transatlantic Middle East District awards nearly $300M contract for Saudi Arabia​

TRANSATLANTIC MIDDLE EAST DISTRICT
Published Feb. 22, 2023
1



PRINT | E-MAIL
WINCHESTER, Va. --
The Transatlantic Middle East District awarded a contract for the Kingdom of Saudi Arabia’s Ministry of Defense P-563 Program on Feb. 17, 2023.
The Single Award Task Order Contract (SATOC) W912ER23D0009 was awarded to Tecnica y Proyectos for Engineering Services (TYPSA) with a not to exceed value of up to $290,000,000.
TYPSA will be responsible for the overall integration of the P-563 Program. Among other tasks, this integration effort will include preparation and implementation of a program management plan (PMP), program communication, program change management, quality management, cost and scheduling tracking, design requirements, codes, standards and submittal requirements program guidance, study integration, risk analysis and management, design reviews, quality management, and program work breakdown plan.
The period of performance is a three-year base period with one 2-year option period.
 

HAYA WAZUSHI SOMENI HIYO!!​

Transatlantic Middle East District awards nearly $300M contract for Saudi Arabia​

TRANSATLANTIC MIDDLE EAST DISTRICT
Published Feb. 22, 2023
1



PRINT | E-MAIL
WINCHESTER, Va. --
The Transatlantic Middle East District awarded a contract for the Kingdom of Saudi Arabia’s Ministry of Defense P-563 Program on Feb. 17, 2023.
The Single Award Task Order Contract (SATOC) W912ER23D0009 was awarded to Tecnica y Proyectos for Engineering Services (TYPSA) with a not to exceed value of up to $290,000,000.
TYPSA will be responsible for the overall integration of the P-563 Program. Among other tasks, this integration effort will include preparation and implementation of a program management plan (PMP), program communication, program change management, quality management, cost and scheduling tracking, design requirements, codes, standards and submittal requirements program guidance, study integration, risk analysis and management, design reviews, quality management, and program work breakdown plan.
The period of performance is a three-year base period with one 2-year option period.
Ndio unataka kusema nini??
 
Wewe unaokota maoni ya watu, unadhani ni Serikali

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Utajijuu..
20230327_215421.jpg
 
Hata hiyo Russia yenyewe wangependa pesa za mafuta wawe wanalipwa kwa dola, vikwazo tu ndio vimewafunga.
Market share ya US kama mzalishaji na mnunuzi inajulikana nchi nyingine zote zinanunua kwa dola. Ipo hivi wauzaji wakubwa 5 ambao wanahodhi market share 78% wanasema hawauzi mafuta yao kwa kutumia dola maana yake wanunuzi watafute fedha mmbadala Yuan, Rubble, Rupee Euro etc. Maana yake mauzo ya mafuta 78% yatafanyika kwa fedha zingine na sio dollar. Sasa hii ndio inapunguza mzunguko wa dollar.

Hatari kubwa zaidi dunia inakumbwa kwa sasa ni dollar thamani yake haina backup valeu ipo backup up na confidence ya watumiaji tofauti na fedha nyingi ziko backup na commodity kama silver, Gold etc. Hivyo ikianguka ni pigo kubwa kwa dunia ndio maana nchi nyingi kwa sasa zinanunua Gold na zinaikimbia dollar
 
Shida hapo Sina Imani na India na SA kwa kuwa hawana utawala stable kama Hao watatu so anytime wanaweza kuwa vibaraka ndani ya bricks na mmarekani aka take advantage ya kuwamaliza
Ni kweli US hawezi kuona utawala wake unaangushwa kienyeji. Rupee, Yuani, Rubble zipo backed na Gold yaani value zake ni derived na gold tofautina dollar.
Hicho ndio kinaipa confidemce ingawa badoni ndogo. Ona kinachotpkea kwa bank kubwa kwa sasa ulaya na US. Ikishika kasi ndio mwisho wa Dollar. Fedha mbadala kwa sasa ni Yuani.
 
backup value
Kwani hizo sarafu za nchi zingine "Back up Value" yake ni nini. Maana haya mambo ya kukariri nadharia za kiuchumi za zama za kale yanasumbua sana!!

Halafu hiyo nadharia yako ya wazalishaji wa mafuta unaweka vipi bila ya kuwataja watumiaji wakuu?? Maana watumiaji wakuu wa mafuta duniani ni hawa.

1. Marekani

2. China

3.India

4Japani

5. Russia

Nchi zinazoongoza kuwa na akiba kubwa ya Dhahabu.

1. Marekani

2. Ujerumani

3. Italia

4. Ufaransa.

5. Urusi

Nchi zinazoongoza kwa kuzalisha Mafuta yote ya ulimwengu kwa 51%

1. Marekani 14.5

2. Russia 13.1

3. Saudia Arabia 12.1%

4. Canada 5.8%

5. Iraki 5.3

Kwanza takwimu ulizotumia sijui umezitoa wapi kusema kwamba nchi zinazozalisha mafuta kwa 78% hazitatumia Dolla. Pili, Kama "Back up Value" unayoizungumzia ni dhahabu, basi Marekani ndiyo wanaongoza kuwa na akiba kubwa ya Dhahabu.

Kwa Takwimu nilizokuwekea, unadhani hapo ni nchi ngapi zinazozalisha zaidi mafuta ni rafiki wa Russia na ngapi ni Rafiki wa Marekani. Nchi zenye akiba kubwa ya dhahabu, zipi ni rafiki wa BRICS na zipi ni rafiki wa Marekani. Nchi zinazonunua na kutumia zaidi mafuta duniani, ngapi ni rafiki wa Marekani na ngapi ni rafiki wa Russia??

Hizo nadharia zenu kuhusu Dollar mnazipata wapi?? Inawezekana nchi nyingi zikapunguza matumizi ya dollar siyo kwa lengo ya kuipunguza nguvu, bali ni kwa kuwa bidhaa walizokuwa wanaziagiza toka Marekani sasa zinazalishwa kwenye nchi zao kwa wamarekani kuwekeza kwenye nchi hizo ama kwa kampuni za wenyeji kuomba ridhaa toka kwa Kampuni husika (Under License)

Nitajie aina Tano ya Raba bora na maarufu duniani na uniambie ni ngapi siyo toka Marekani!!
 
Ni kweli US hawezi kuona utawala wake unaangushwa kienyeji. Rupee, Yuani, Rubble zipo backed na Gold yaani value zake ni derived na gold tofautina dollar.
Hicho ndio kinaipa confidemce ingawa badoni ndogo. Ona kinachotpkea kwa bank kubwa kwa sasa ulaya na US. Ikishika kasi ndio mwisho wa Dollar. Fedha mbadala kwa sasa ni Yuani.
Sio kweli kwamba Rupia ya India yote imedhaminiwa kwa Dhahabu nyingine haijadhaminiwa kwa dhahabu, Yuan 40% ndiyo tu imedhaminiwa kwa dhahabu. 60% imedhaminiwa kwa fedha za kigeni na hati fungani za serikali, na hata Russia ni hivyo hivyo. Jee hii nadharia yenu ya kuishutumu Dollar kwamba haiko "Backed" na dhahabu mnaitoa wapi?? Mfumo wa kuiweka fedha ya nchi kwa dhahabu siyo muda utaonekana hauna maana. Kwani dhahabu ni nini??
 
Hizo hekaya za pesa kuwa backed na Gold ni petty sana kwenye dunia ya sasa, dunia ilishatoka huko muda mrefu sana. Pamoja na power plays za WWII za US, Dola ya Marekani imeendelea kuwa sarafu ya kimataifa kwa sababu ya 1.Ukubwa wa uchumi wa US na muunganiko wake na kila nchi duniani,
2.Ni tulivu(stable), haiyumbi kama mlevi.
3.Imani ya watu juu ya utawala wa sheria na kutabarika kwa sera za kiuchumi za US.
Ni kweli US hawezi kuona utawala wake unaangushwa kienyeji. Rupee, Yuani, Rubble zipo backed na Gold yaani value zake ni derived na gold tofautina dollar.
Hicho ndio kinaipa confidemce ingawa badoni ndogo. Ona kinachotpkea kwa bank kubwa kwa sasa ulaya na US. Ikishika kasi ndio mwisho wa Dollar. Fedha mbadala kwa sasa ni Yuani.
 
Pale Asia machawa wanne wakuu wa U.S.A wa kwanza ni ISRAEL wapili JAPANI wa tatu ni SAUDIA wanne ni SOUTH KOREA. wengine ndo wanafata akina Taiwan, Kuwait na wengineo. SAUDIA hawezi muangusha mtu wake marekani
 
Back
Top Bottom