Saudi Arabia has announced end of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire

Saudi Arabia has announced end of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire

Umesema ulikuwa Kenya,na hii unaisemeaje kutoka Kenya yenyewe uliokuepo?
Sina uhakika ana maana gani? lakini kama anaongelea wenye dollar watakuwa in disadvantage kutokana na market au currency nyingine, anajidanganya tuu na yeye ndio ataumia, China bado sana na huwezi kuamini wakomunisti wanao control pesa yao kwa vikao badala ya market forces, China ana exports to US na European countries zaidi ya dollar trillion kwa mwaka, anawahitaji hao wazungu na dollar zao kuliko sisi tunavyowahitaji, story za kutumia currency nyingine zaidi ya dollar ni siasa zaidi kuliko uchumi
 
Umesema ulikuwa Kenya,na hii unaisemeaje kutoka Kenya yenyewe uliokuepo?
Umeelewa alichokisema Ruto? Aliposema "Those who hold dollars" hii sentesi umeielewaje?? Au aliposema "After a couple of weeks this market is going to be different" ndiyo ulitaka kumaanisha kwamba wanaachana na Dollar!!?
 
Sina uhakika ana maana gani? lakini kama anaongelea wenye dollar watakuwa in disadvantage kutokana na market au currency nyingine, anajidanganya tuu na yeye ndio ataumia, China bado sana na huwezi kuamini wakomunisti wanao control pesa yao kwa vikao badala ya market forces, China ana exports to US na European countries zaidi ya dollar trillion kwa mwaka, anawahitaji hao wazungu na dollar zao kuliko sisi tunavyowahitaji, story za kutumia currency nyingine zaidi ya dollar ni siasa zaidi kuliko uchumi
Sterling pound iliangukaje ?
 
Fall of USA is the fall of the world,hizo ni ndoto tena saudia ndio kibaraka mkubwa wa USA ingekua mchina au mrussi kasema hivyo sawa.
Mkuu ujue kuna vitu watu wanongea hadi unajiuliza wanaishi dunia ipi,
Saudi mafuta yake hadi leo anauza kwa currency ya dola .
Kama saudi mwenye ku export millions. of crude oil ameshindwa kuiangusha Us dollar , ndo aweze Ruto mwenye ku export hoticulture ?
 
Bongo yatakuwa dili kuendeshea generators maana chini ya mdudu ccm hakuna siku kero ya umeme itaisha nchi hii kila siku hali inazidi kuwa mbaya.
Nimeimagine hii situation halafu nikajiuliza; then what was the point ya electric car kuweka jenereta ya mafuta tena!!!!🤣🤣. Wabongo mmmh
 
Wewe ndio hujui. Eti mimi nisijue wewe ndio ujue, wewe pambana na swaumu tu.
Baki na ujinga wako..
Screenshot_20230327-182153_Twitter.jpg
 
Wenye akili ndogo wanaopenda kuota mchana hawawezi kukuelewa.
Sina uhakika ana maana gani? lakini kama anaongelea wenye dollar watakuwa in disadvantage kutokana na market au currency nyingine, anajidanganya tuu na yeye ndio ataumia, China bado sana na huwezi kuamini wakomunisti wanao control pesa yao kwa vikao badala ya market forces, China ana exports to US na European countries zaidi ya dollar trillion kwa mwaka, anawahitaji hao wazungu na dollar zao kuliko sisi tunavyowahitaji, story za kutumia currency nyingine zaidi ya dollar ni siasa zaidi kuliko uchumi
 
Labda mtafiti wa uganga wa kienyeji na conspiracies.
Mimi ni mtafiti,sio wa kusiliza udaku kwenye vijiwe vya kahawa na kusoma Mtanzania,Uhuru,Nipashe, Habari leo etc. na kusikiliza ITV,TBC,Channel 10,Clouds TV au BBC, CNN na Aljazeera kama wewe,We look for true,authentic state of the art information.Siwezi kuleta pumba hapa, kwa kuwa nia yangu ni kuelimisha.
 
Hata hiyo Russia yenyewe wangependa pesa za mafuta wawe wanalipwa kwa dola, vikwazo tu ndio vimewafunga.
Nafikili tunashindwa kuelewa. Swala ni kwamba hoa waujazi wa mafuta hawatakuwa na ulazima wa mteja kutumia dola kununua mafuta. Mfano mzuri ni Russia jinsi anavyouza mafuta yake kwa sasa. Mmemfungia dola lakini mauzo yake yanazidi kupaa
 
Katika hizo Transaction za mafuta washiriki wamojawapo wakubwa kama wazalishaji na wananunuzi ni pamoja ns US, Canada na Umoja wa Ulaya.
Kama mtu hujui uchumi utaishia kusema hii ndoto ya mchana. Kwa wasiojua biashara kubwa duniani inafanyika kwa malipo ya dola over 38% sawa na almost 90trillion dollar. Sasa kati ya hizo transaction 55% ni mauzo ya mafuta peke yake. Na wauzaji wakubwa wa mafuta duniani Russia na Saudia tayari wanaacha kutumia dollar kama pesa ya malipo.

Lapili ili ununue mafuta lazima uwe na dollar ili ufanye malipo kutoka kwa wauzaji. Hivyo unaponunua dollar maana yake US lazima ahakikishe zipo za kutosha kwenye mzunguko zikipungua anaongeza.

Tatu unapoacha kununua mafuta kwa fedha uliyokuwa unatumia awali(dollar) zile unazoacha kuzitumia zinarudi kwa mwemyewe(US). Pesa hizi hazirudi kama sadaka bali kupitia mauzo namanunuzi mbalimbali sasa zitakuwa nyingi kwemye mzunguko kulko mahitaji. Matokeo

Thamani ya hela husika inashuka(dollar inapoteza thamani). Kisha inapelekea kupanda kwa gharama inflation.

Kwa nini saudia ni hatari? Kwa sababu kiwango cha dollar anachotumia kufanya biashara ni kikubwa sana kusababisha madhara makubwa marekani na dunia kwa ujumla.
 
Hizo ni siasa za wanasiasa tu, uhalisia ni tofauti kabisa katika biashara halisi kwa biashara na wafanyabiashara wa kimataifa.
Mpango wa BRICS ni kwamba kila nchi ifanye biashara tokana na sarafu yake,,,,.......na sarafu wanataka zisapotiwe na resource fulani aidha dhahabu au madini mengine, ndo maana kwa sasa kuna nchi zinakusanya sana dhahabu.....ukienda kununua bidhaa nje,tuseme ndo hayo mafuta ukaambiwa ulipe kwa pesa yako...watapima thamani ya pesa yako tokana na soko la dhahabu lilivyo (mf....gram5 ya dhahabu ni sawa na tsh2), dollar ni mfumo wa kuprint tu makaratasi ila nyuma yake hayana kitu chochote cha kubeba thamani yake na ni sarafu ya kinyonyaji sana
 
Sasa hivi Marekani anashirikiana na India ambaye ni mwanachama mmojawapo wa BRICS kuipiga pini China katika teknolojia ya microchips, na wako katika mpango kabambe wa ushirikiano wa kijeshi kuijengea India uwezo mkubwa zaidi wa kupambana na China
Huo mkutano wa BRICS wa August, utakuwa pigo kubwa sana kwa west maana hawataamini macho yao kuona nchi nyingi sana kujiunga na BRICS
 
Sasa hivi Marekani anashirikiana na India ambaye ni mwanachama mmojawapo wa BRICS kuipiga pini China katika teknolojia ya microchips, na wako katika mpango kabambe wa ushirikiano wa kijeshi kuijengea India uwezo mkubwa zaidi wa kupambana na China
Bado haujawajua wahindi vizuri wewe🤣🤣🤣🤣. Pole sana.

Hapo marekani anaingizwa cha kike. India inapata benefit nyingi sana kutoka Russia na China kuliko benefits atakazopata kutoka marekani
 
Kama mtu hujui uchumi utaishia kusema hii ndoto ya mchana. Kwa wasiojua biashara kubwa duniani inafanyika kwa malipo ya dola over 38% sawa na almost 90trillion dollar. Sasa kati ya hizo transaction 55% ni mauzo ya mafuta peke yake. Na wauzaji wakubwa wa mafuta duniani Russia na Saudia tayari wanaacha kutumia dollar kama pesa ya malipo.

Lapili ili ununue mafuta lazima uwe na dollar ili ufanye malipo kutoka kwa wauzaji. Hivyo unaponunua dollar maana yake US lazima ahakikishe zipo za kutosha kwenye mzunguko zikipungua anaongeza.

Tatu unapoacha kununua mafuta kwa fedha uliyokuwa unatumia awali(dollar) zile unazoacha kuzitumia zinarudi kwa mwemyewe(US). Pesa hizi hazirudi kama sadaka bali kupitia mauzo namanunuzi mbalimbali sasa zitakuwa nyingi kwemye mzunguko kulko mahitaji. Matokeo

Thamani ya hela husika inashuka(dollar inapoteza thamani). Kisha inapelekea kupanda kwa gharama inflation.

Kwa nini saudia ni hatari? Kwa sababu kiwango cha dollar anachotumia kufanya biashara ni kikubwa sana kusababisha madhara makubwa marekani na dunia kwa ujumla.
Shida hapo Sina Imani na India na SA kwa kuwa hawana utawala stable kama Hao watatu so anytime wanaweza kuwa vibaraka ndani ya bricks na mmarekani aka take advantage ya kuwamaliza
 
Shida hapo Sina Imani na India na SA kwa kuwa hawana utawala stable kama Hao watatu so anytime wanaweza kuwa vibaraka ndani ya bricks na mmarekani aka take advantage ya kuwamaliza
Mtaongea sanaaa marekani imeshaelekezwa kibra. Subirini hiyo August kwenye mkutano wa BRICS mpigwe na kitu kizito
 
Sasa hivi Marekani anashirikiana na India ambaye ni mwanachama mmojawapo wa BRICS kuipiga pini China katika teknolojia ya microchips, na wako katika mpango kabambe wa ushirikiano wa kijeshi kuijengea India uwezo mkubwa zaidi wa kupambana na China
Unafikili India haifahamu kuwa marekani ni joka lenye sumu kalli? Marekani kama anataka kumtengeneza India kuwa adui wa China, basi imechelewa sanaaa na hizo mbinu za kizamani
 
Back
Top Bottom