HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wewe kama mchumi ndo utueleze kwanini Marekani ataumiaEmu elezea sababu za kiuchumi zitakazo sababisha Saudia aumie kwa kuacha kutumia USD?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kama mchumi ndo utueleze kwanini Marekani ataumiaEmu elezea sababu za kiuchumi zitakazo sababisha Saudia aumie kwa kuacha kutumia USD?
Umeona shift ya industries towards Taiwan, Vietnam, Indonesia, India?Nimesema before and I will said it again hakuna nchi hata moja duniani inayoweza kujiangusha America hana China 40 to 50 percent ya decent taxable products wanauza hapa america kama america wakaamua ku sanctions China it will be the end of China . America is the biggest market in the world kwenye upande wa kuuza na kununua. America budget is bigger than all Europe combine Kwa mwaka
Hao kila mtu atataka sarafu yake itumikeBRICKS watatuambia sarafu gani itatumika. Inaweza ikawa ya india, Russia, china, Saudia, south Africa nk nk. Hapo tunaondoa ule ulazima wa kutumia dola
Kwa hatua hii,watachokwa tu mzeebabaBado US anamhitaji Saudi na ndo maana MBS kafutiwa hati ya kushtakiwa
Unafahamu BRICS ni nini ?Waulize Brics imesaidia nini kwenye vita huko Ukraine
Unafahamu ni kwa nini baadhi ya viwanda vya magharibi vilifunga uzalishaji wake ?Umeona shift ya industries towards Taiwan, Vietnam, Indonesia, India?
Uliona impact ya Trump kwa Huawei?
Soma historia kabla ya hio dola mfumo ulikuaje..........watu mnakomalia kama vile hili jambo ni jipya..............pound tu hapo kipindi muingereza yupo juu ilikua inabebwa na resource nyingine, haikua pesa ya karatasi kama hii dola sasa na hakikua kipindi cha barter trade......Si useme tu barter trade! Mbona unazunguka sana? Ehee halafu ndiyo inakuaje?😅😅
Asia(4.8 billion people),India(1.4 billion people) and China (1.4 billion people) are the largest markets in the World mkuu.America has only 349 million people,litakuwaje soko kubwa sana? Infact America needs China more than China needs America.Hata kama America isipokuwa kwenye the Chinese equation,China can still survive comfortably by selling it's products to itself,Asia,India,Africa (1.2 billion people)and Europe(746 million people),not of course forgetting Russia(147 million),Australia(26 million),South America(423 million),Japan(126 million),New Zealand(5.2 million and Canada(39 million)Nimesema before and I will said it again hakuna nchi hata moja duniani inayoweza kujiangusha America hana China 40 to 50 percent ya decent taxable products wanauza hapa america kama america wakaamua ku sanctions China it will be the end of China . America is the biggest market in the world kwenye upande wa kuuza na kununua. America budget is bigger than all Europe combine Kwa mwaka
Nyingine hizo ni disposable populations. ZisikupumbazeAsia(4.8 billion),India(1.4 billion) and China (1.4 billion) are the largest markets in the by World mkuu.America has only 349 million people,litakuwaje soko kubwa sana? Infact America needs China more than China.Hata Kama America isipokuwa kwenye the Chinese equation,it can still survive comfortably by selling it's products to Asia,India,China,Africa and Europe7
Sababu tu historia inasema hivi isiwe sababu ya kujisemea chochote.Soma historia kabla ya hio dola mfumo ulikuaje..........watu mnakomalia kama vile hili jambo ni jipya..............pound tu hapo kipindi muingereza yupo juu ilikua inabebwa na resource nyingine, haikua pesa ya karatasi kama hii dola sasa na hakikua kipindi cha barter trade......
Kama ulivyo tuKwa hiyo nawewe ni disposable?
Basi tulieni watu wakijaribu msitokwe povu , sababu hamna mamlaka yeyote juu yaoSababu tu historia inasema hivi isiwe sababu ya kujisemea chochote.
Wote tunajua mambo hubadilika, na si kila jaribia la kujaribu kubadilisha basi nd8yo ichukuliwe kuwa limefanikiwa. Mengine yanabaki tu kuingia kwenye historia ya kujaribu
BRICS ni mbio za vipofuBasi tulieni watu wakijaribu msitokwe povu , sababu hamna mamlaka yeyote juu yaoView attachment 2489279
Tulieni dawa iwaingie,,,,,,,,,.......
😀😀toa part 2 ya hio nyimboBRICS ni mbio za vipofu
The good news[emoji173][emoji1547][emoji1547]Fall of USA is the fall of the world,hizo ni ndoto tena saudia ndio kibaraka mkubwa wa USA ingekua mchina au mrussi kasema hivyo sawa.
Ingeanguka RUSSIA kwanzaNimesema before and I will said it again hakuna nchi hata moja duniani inayoweza kujiangusha America hana China 40 to 50 percent ya decent taxable products wanauza hapa america kama america wakaamua ku sanctions China it will be the end of China . America is the biggest market in the world kwenye upande wa kuuza na kununua. America budget is bigger than all Europe combine Kwa mwaka