Saudi Arabia has announced end of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire

Saudi Arabia has announced end of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire

1.Super Inflation around the corner.
2.Chaos...... Then....... ORDER.
3.2023 their year to start the big thing.
4.New financial system
5.You can't have the new world without delete the OLD ONE.
6.New police.

....ukifuatilia utaona Uchumi WA USA ni kama unaelea hivi. Trump alisema sana wakamwita Snitch wakamtimua.... Slow Joe yeye Hana Habari Hana ushawishi.....
Don't worry they will blame it on Corona and they will blame it on Russia.
 
Boss hii taarifa ambayo haijachakachuliwa wahusika wameitangaza? Naomba link kama hutajali.
Mkuu with all due respect,na wewe do your homework.Kumbuka kwamba natumia MB.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
1.Super Inflation around the corner.
2.Chaos...... Then....... ORDER.
3.2023 their year to start the big thing.
4.New financial system
5.You can't have the new world without delete the OLD ONE.
6.New police.

....ukifuatilia utaona Uchumi WA USA ni kama unaelea hivi. Trump alisema sana wakamwita Snitch wakamtimua.... Slow Joe yeye Hana Habari Hana ushawishi.....
Don't worry they will blame it on Corona and they will blame it on Russia.
Ni ajabu kwamba people fail to grasp this,thakyou.
 
America wanaweza kupindua kingdom in just one day if they want too .. or feels it’s necessary to do so
Syria imekuaje,,,, kwa sasa wanaweza pindua pale tu ambapo mrusi hawezi ingia ila kama wataingia wababe wenzie mmarekani anaufyata
 
Huwa nawashangaa Watanzania, mtu anajiokotea habari huko mtandaoni na kupost bila verify

Saudi hawezi dump dollar maana ataumia yeye.

China mwenyewe hafanyi dollar dumping
Emu elezea sababu za kiuchumi zitakazo sababisha Saudia aumie kwa kuacha kutumia USD?
 
Brother I don’t like to use the word stupid but I would say you’re stupid if yo believes that . 15 percent in SA are Shia and they are the ruler .. the king family .. 85 percent Sun who oppose the kingdom and the have witnessed so much injustices against them just not long time ago the sun sheikh sentenced to death an king led by Saudi kingdom .. if American military base wasn’t in SA or American decide to leave Saudi the kingdom will fall … the Shia gets support from Neighbor Yemen and Iran only America stoping them from overthrowing the kingdom
Huyo king kama ana akili kama zako za kutegemea USA ku rule kingdom, basi hana akili hata kidogo. Marekani hana history ya kuaminika. Ukiona yupo mahali basi jua yupo hapo kwa maslahi tu.

Nafikili king wa Saudia ameisha shituka ndio maana kidogo kidogo ameanza kujisogeza kwa Russia.
 
Nimesema before and I will said it again hakuna nchi hata moja duniani inayoweza kujiangusha America hana China 40 to 50 percent ya decent taxable products wanauza hapa america kama america wakaamua ku sanctions China it will be the end of China . America is the biggest market in the world kwenye upande wa kuuza na kununua. America budget is bigger than all Europe combine Kwa mwaka
 
[emoji23] US dola imechukua miaka zaidi ya miaka 80 kufanya pesa yao kufikia kila kona kimatumizi alafu leo unakuja na mafuta yako ya kigoma kupindua.

Nilishasema warabu hawana akili
Mfumo walotumia kuipandisha ndo utatumika kuishusha

Maisha lazima yaendelee
 
Mimi ni mtafiti,sio wa kusiliza udaku kwenye vijiwe vya kahawa na kusoma Mtanzania,Uhuru,Nipashe, Habari leo etc. na kusikiliza ITV,TBC,Channel 10,Clouds TV au BBC, CNN na Aljazeera kama wewe,We look for true,authentic state of the art information.Siwezi kuleta pumba hapa, kwa kuwa nia yangu ni kuelimisha.
Kuna mtafiti na mtafutaji, na hapo kwenye watafutaji sasa, hata Haji Manara ni mtafutaji.
 
Mpango wa BRICS ni kwamba kila nchi ifanye biashara tokana na sarafu yake,,,,.......na sarafu wanataka zisapotiwe na resource fulani aidha dhahabu au madini mengine, ndo maana kwa sasa kuna nchi zinakusanya sana dhahabu.....ukienda kununua bidhaa nje,tuseme ndo hayo mafuta ukaambiwa ulipe kwa pesa yako...watapima thamani ya pesa yako tokana na soko la dhahabu lilivyo (mf....gram5 ya dhahabu ni sawa na tsh2), dollar ni mfumo wa kuprint tu makaratasi ila nyuma yake hayana kitu chochote cha kubeba thamani yake na ni sarafu ya kinyonyaji sana
Si useme tu barter trade! Mbona unazunguka sana? Ehee halafu ndiyo inakuaje?😅😅
 
Kwahiyo mnamaanisha mku akitaka kununua pipa 1000 za wese kutoka Saudia abebe na kontena la dhahabu au Silver? Au kila taifa liende na sarafu yake pale Saudia? Japo sina nilijualo kuhusu mambo ya fedha lakini naona itakuwa ni kurudi Enzi za mawe kwa kufanya bihashara ya kubadilishana bidhaa kwa bidhaa. Ingeeleweka kama hao BRICKS wangesema tunaunda sarafu nyingine either ya China au ya Russia iwe mbadala wa US dollar ila ukisema manunuzi yako yalinganishwe na thamani ya Silver uliyonayo, utajikuta unahitaji kuwa na tani kadhaa za silver ili uweze kuagiza ndege moja kama zile Pangaboy.
 
Kwahiyo mnamaanisha mku akitaka kununua pipa 1000 za wese kutoka Saudia abebe na kontena la dhahabu au Silver? Au kila taifa liende na sarafu yake pale Saudia? Japo sina nilijualo kuhusu mambo ya fedha lakini naona itakuwa ni kurudi Enzi za mawe kwa kufanya bihashara ya kubadilishana bidhaa kwa bidhaa. Ingeeleweka kama hao BRICKS wangesema tunaunda sarafu nyingine either ya China au ya Russia iwe mbadala wa US dollar ila ukisema manunuzi yako yalinganishwe na thamani ya Silver uliyonayo, utajikuta unahitaji kuwa na tani kadhaa za silver ili uweze kuagiza ndege moja kama zile Pangaboy.
BRICKS watatuambia sarafu gani itatumika. Inaweza ikawa ya india, Russia, china, Saudia, south Africa nk nk. Hapo tunaondoa ule ulazima wa kutumia dola
 
Na Saudi wakitaka kununua vitu kutoka US mfano silaha na mitambo ya kuchimba mafuta, watatumia currency gani?
Na China akiuza bidhaa zake US, atalipwa kwa hela gani na ataitumiaje hiyo hela kama si kwa kiasi kikubwa kununua mafuta?
Ndo hapo hayo maswali hayana majibu.
China ndo largest holder wa USD
 
Kwanza US tayari mpaka ukifika mwaka 2030 watakuwa wamekata matumizi ya mafuta Kwa asilimia 70 … California ikifika 2030 ni marufuku kuendesha gari zinazotumia mafuta huku wanajenga power charger kila kituo cha mafuta na vituo barabarani ukinunua gari ya electric hulipi kodi sikuizi kampuni za magari huku hazitengenezi gari mpya za kutumia mafuta tena [emoji3]
Ndo hapo, hayo magari mazuri yatakuja Tz
 
Brother I don’t like to use the word stupid but I would say you’re stupid if yo believes that . 15 percent in SA are Shia and they are the ruler .. the king family .. 85 percent Sun who oppose the kingdom and the have witnessed so much injustices against them just not long time ago the sun sheikh sentenced to death an king led by Saudi kingdom .. if American military base wasn’t in SA or American decide to leave Saudi the kingdom will fall … the Shia gets support from Neighbor Yemen and Iran only America stoping them from overthrowing the kingdom
US akiamua anaweza hamisha watu wake wote ndani ya wiki hapo Saudi kama Afghan afu akawaachia mlango houthis uone mziki wake lazima saudi ipotee
 
America wanaweza kupindua kingdom in just one day if they want too .. or feels it’s necessary to do so
They need one another, Saudi anamtaka Marekani for security and business maana ndiye mteja mkubwa wa mafuta.

US anahitaji Saudi for strategic reasons esp wars
 
Back
Top Bottom