Tetesi: Saudi Arabia yapewa haki ya umiliki na uendeshaji wa bandari ya Bagamoyo kama sehemu ya mradi wa East Gate

Tetesi: Saudi Arabia yapewa haki ya umiliki na uendeshaji wa bandari ya Bagamoyo kama sehemu ya mradi wa East Gate

Bandari ya Tanga, Bandari ya Mtwara zote Kwa sasa zimeanza kubeba mizigo ya zaidi ya tani 1M -3Mln Kwa mwaka kutoka less than 1M.

Na Bado miundombinu na uwekezaji mwingine unaendelea eg Mtwara Kuna mradi wa Ujenzi wa gato la bidhaa chafu zaidi ya Bilioni 100 zinawekwa.

On top of that Barabara ya Tanga-Sinhgida na reli ya Tanga-Misoma ziko kwenye pipeline.

Bandari ya Tanga na Mtwara coridor zao haziko kwenye T1,nafikiri unaelewa maana ya T1?

Tz tuna vessel routes mbili North bound and south bound zote zin prefer dar au Bagamoyo as their cheapest options.
Kwa mantiki hiyo.

Mtwara ni export zaidi na ni Hasara kwa wafanya biashara kupeleka meli kule sababu ya Volumes, kinachopeleka meli Mtwaracni season crop na coal from Ruvuma.

Most of vessel zinazo doc Mtwara ni charted one’s
 
Eneo la uwekezaji la Bagamoyo iliwepo Bandari limepata mwekezaji Mpya ambae ataliendeleza, kampuni ya SADC kutoka Saudi Arabia baada ya China na Oman Kushindwa Kuendeleza. Pia soma Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Swali ni Je mfupa ulimshinda fisi, saizi utatekelezeka? Tusubirie tuone.

My Take
Hawa wajenge Bandari from scratch na wakishindwa watimuliwe kama mbwa bila fidia

====


Saudi Arabia ilitangaza ununuzi wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, kama sehemu ya mradi wa “East Gate,” ambao unalenga kuboresha nafasi ya Saudi Arabia kama kitovu cha biashara duniani.

Uwekezaji huu mkubwa una lengo la kufungua kufungua fursa mpya za uwekezaji kwa kampuni za Saudi Arabia katika sekta muhimu, na kutoa fursa za masoko kwa kusafirisha bidhaa za Saudi kwenda katika masoko ya Afrika.

****

In a major strategic move, the Kingdom of Saudi Arabia announced its acquisition of Bagamoyo Port in Tanzania, as part of the “East Gate” project, which aims to enhance the region’s position as a global trade hub.

This huge investment comes within the framework of the Kingdom’s efforts to open new investment horizons for Saudi companies in vital sectors, and provide marketing outlets for exporting Saudi products to African markets.

Project details

Port location: Bagamoyo Port is located on the eastern coast of Tanzania, and is considered one of the most important ports in East Africa.

Total area: The project area is 800 hectares, making it one of the largest maritime projects in the region.

Capacity: The port will be able to accommodate 20 million containers annually upon completion, making it a strong competitor to major ports in the region such as Mombasa Port in Kenya and Dar es Salaam Port in Tanzania.

Project cost: The total cost of the project is $10 billion, which includes the development of infrastructure and logistics facilities.

Source: Archup.net


Machawa mnashangilia nchi kuuzwa. Mkataba ni wa siri🤦🏾‍♂️ halafu hamja nufaika lolote. Nenda kaangalieni account za Addul na kampuni zake huko uarabuni. Yaani nyie ndiyo wale wajinga jinga tukiomba mkataba hapa mtakuwa wa kwanza kuwatetea wezi. Halafu mnajifanya wazalendo. Magufuli alikuwa anasema mikataba wazi sasa kwanini sasa kuna siri kama sio ufisadi
 
Lease or sale

Acquisition:

The Tanzanian authorities granted the Saudi African Investment and Development Co. (SADC) concession and acquisition rights for Bagamoyo Port in Tanzania, Saudi Press Agency reported, citing Chairman of Federation of Saudi Chambers of Commerce Hassan Al-Huwaizi.

The approval is part of SADC's (Saudi African Investment and Development Co. - SADC) "East Gateway Project," aimed at the East African region.
 
Eneo la uwekezaji la Bagamoyo iliwepo Bandari limepata mwekezaji Mpya ambae ataliendeleza, kampuni ya SADC kutoka Saudi Arabia baada ya China na Oman Kushindwa Kuendeleza. Pia soma Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Swali ni Je mfupa ulimshinda fisi, saizi utatekelezeka? Tusubirie tuone.

My Take
Hawa wajenge Bandari from scratch na wakishindwa watimuliwe kama mbwa bila fidia

====


Saudi Arabia ilitangaza ununuzi wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, kama sehemu ya mradi wa “East Gate,” ambao unalenga kuboresha nafasi ya Saudi Arabia kama kitovu cha biashara duniani.

Uwekezaji huu mkubwa una lengo la kufungua kufungua fursa mpya za uwekezaji kwa kampuni za Saudi Arabia katika sekta muhimu, na kutoa fursa za masoko kwa kusafirisha bidhaa za Saudi kwenda katika masoko ya Afrika.

****

In a major strategic move, the Kingdom of Saudi Arabia announced its acquisition of Bagamoyo Port in Tanzania, as part of the “East Gate” project, which aims to enhance the region’s position as a global trade hub.

This huge investment comes within the framework of the Kingdom’s efforts to open new investment horizons for Saudi companies in vital sectors, and provide marketing outlets for exporting Saudi products to African markets.

Project details

Port location: Bagamoyo Port is located on the eastern coast of Tanzania, and is considered one of the most important ports in East Africa.

Total area: The project area is 800 hectares, making it one of the largest maritime projects in the region.

Capacity: The port will be able to accommodate 20 million containers annually upon completion, making it a strong competitor to major ports in the region such as Mombasa Port in Kenya and Dar es Salaam Port in Tanzania.

Project cost: The total cost of the project is $10 billion, which includes the development of infrastructure and logistics facilities.

Source: Archup.net

View: https://x.com/AzatAlsalim/status/1890086680536969408
 
Eneo la uwekezaji la Bagamoyo iliwepo Bandari limepata mwekezaji Mpya ambae ataliendeleza, kampuni ya SADC kutoka Saudi Arabia baada ya China na Oman Kushindwa Kuendeleza. Pia soma Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Swali ni Je mfupa ulimshinda fisi, saizi utatekelezeka? Tusubirie tuone.

My Take
Hawa wajenge Bandari from scratch na wakishindwa watimuliwe kama mbwa bila fidia

====


Saudi Arabia ilitangaza ununuzi wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, kama sehemu ya mradi wa “East Gate,” ambao unalenga kuboresha nafasi ya Saudi Arabia kama kitovu cha biashara duniani.

Uwekezaji huu mkubwa una lengo la kufungua kufungua fursa mpya za uwekezaji kwa kampuni za Saudi Arabia katika sekta muhimu, na kutoa fursa za masoko kwa kusafirisha bidhaa za Saudi kwenda katika masoko ya Afrika.

****

In a major strategic move, the Kingdom of Saudi Arabia announced its acquisition of Bagamoyo Port in Tanzania, as part of the “East Gate” project, which aims to enhance the region’s position as a global trade hub.

This huge investment comes within the framework of the Kingdom’s efforts to open new investment horizons for Saudi companies in vital sectors, and provide marketing outlets for exporting Saudi products to African markets.

Project details

Port location: Bagamoyo Port is located on the eastern coast of Tanzania, and is considered one of the most important ports in East Africa.

Total area: The project area is 800 hectares, making it one of the largest maritime projects in the region.

Capacity: The port will be able to accommodate 20 million containers annually upon completion, making it a strong competitor to major ports in the region such as Mombasa Port in Kenya and Dar es Salaam Port in Tanzania.

Project cost: The total cost of the project is $10 billion, which includes the development of infrastructure and logistics facilities.

Source: Archup.net
Magufuli alipinga sana hili.
 
Machawa mnashangilia nchi kuuzwa. Mkataba ni wa siri🤦🏾‍♂️ halafu hamja nufaika lolote. Nenda kaangalieni account za Addul na kampuni zake huko uarabuni. Yaani nyie ndiyo wale wajinga jinga tukiomba mkataba hapa mtakuwa wa kwanza kuwatetea wezi. Halafu mnajifanya wazalendo. Magufuli alikuwa anasema mikataba wazi sasa kwanini sasa kuna siri kama sio ufisadi
Tangu lini mikataba inawekwa Hadharani?
 
Eneo la uwekezaji la Bagamoyo iliwepo Bandari limepata mwekezaji Mpya ambae ataliendeleza, kampuni ya SADC kutoka Saudi Arabia baada ya China na Oman Kushindwa Kuendeleza. Pia soma Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Swali ni Je mfupa ulimshinda fisi, saizi utatekelezeka? Tusubirie tuone.

My Take
Hawa wajenge Bandari from scratch na wakishindwa watimuliwe kama mbwa bila fidia

====


Saudi Arabia ilitangaza ununuzi wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, kama sehemu ya mradi wa “East Gate,” ambao unalenga kuboresha nafasi ya Saudi Arabia kama kitovu cha biashara duniani.

Uwekezaji huu mkubwa una lengo la kufungua kufungua fursa mpya za uwekezaji kwa kampuni za Saudi Arabia katika sekta muhimu, na kutoa fursa za masoko kwa kusafirisha bidhaa za Saudi kwenda katika masoko ya Afrika.

****

In a major strategic move, the Kingdom of Saudi Arabia announced its acquisition of Bagamoyo Port in Tanzania, as part of the “East Gate” project, which aims to enhance the region’s position as a global trade hub.

This huge investment comes within the framework of the Kingdom’s efforts to open new investment horizons for Saudi companies in vital sectors, and provide marketing outlets for exporting Saudi products to African markets.

Project details

Port location: Bagamoyo Port is located on the eastern coast of Tanzania, and is considered one of the most important ports in East Africa.

Total area: The project area is 800 hectares, making it one of the largest maritime projects in the region.

Capacity: The port will be able to accommodate 20 million containers annually upon completion, making it a strong competitor to major ports in the region such as Mombasa Port in Kenya and Dar es Salaam Port in Tanzania.

Project cost: The total cost of the project is $10 billion, which includes the development of infrastructure and logistics facilities.

Source: Archup.net
Hii siyo sawa. For national security reasons, kuna vitu ambavyo havipaswi kuwa controlled na foreigner. Bandari ni moja ya hivyo vitu!
 
Kasongo pro max 2025 - RIP good if reforme
IMG_0612.jpeg
 
Bandari ya Tanga na Mtwara coridor zao haziko kwenye T1,nafikiri unaelewa maana ya T1?

Tz tuna vessel routes mbili North bound and south bound zote zin prefer dar au Bagamoyo as their cheapest options.
Kwa mantiki hiyo.

Mtwara ni export zaidi na ni Hasara kwa wafanya biashara kupeleka meli kule sababu ya Volumes, kinachopeleka meli Mtwaracni season crop na coal from Ruvuma.

Most of vessel zinazo doc Mtwara ni charted one’s
Hizo Bandari zote hasa ya Tanga ikiwekewa miundombinu ni Bandari ya kimkakati Kwa Uganda,Eastern DRC,Lake Zone na Northern Tanzania.

Bagamoyo na Dar port zingeishia kuwa Bandari saidizi kama hiyo ya Tanga ingekuwa improved maana ndio shortest route ya trade.

Ndio maana Hadi Sasa Huwa EAC wanaitaka Tanznaia ifungue hiyo route na waifanyie geofencing.
 
Hii siyo sawa. For national security reasons, kuna vitu ambavyo havipaswi kuwa controlled na foreigner. Bandari ni moja ya hivyo vitu!
Hizo stori za national security Hazina mashiko Kwa sababu all over the world Bandari zinaendeshwa na private sector,hizo national security kwao hazipo? Wacha stori za kufikirika.
 
Eneo la uwekezaji la Bagamoyo iliwepo Bandari limepata mwekezaji Mpya ambae ataliendeleza, kampuni ya SADC kutoka Saudi Arabia baada ya China na Oman Kushindwa Kuendeleza. Pia soma Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Swali ni Je mfupa ulimshinda fisi, saizi utatekelezeka? Tusubirie tuone.

My Take
Hawa wajenge Bandari from scratch na wakishindwa watimuliwe kama mbwa bila fidia

====


Saudi Arabia ilitangaza ununuzi wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, kama sehemu ya mradi wa “East Gate,” ambao unalenga kuboresha nafasi ya Saudi Arabia kama kitovu cha biashara duniani.

Uwekezaji huu mkubwa una lengo la kufungua kufungua fursa mpya za uwekezaji kwa kampuni za Saudi Arabia katika sekta muhimu, na kutoa fursa za masoko kwa kusafirisha bidhaa za Saudi kwenda katika masoko ya Afrika.

****

In a major strategic move, the Kingdom of Saudi Arabia announced its acquisition of Bagamoyo Port in Tanzania, as part of the “East Gate” project, which aims to enhance the region’s position as a global trade hub.

This huge investment comes within the framework of the Kingdom’s efforts to open new investment horizons for Saudi companies in vital sectors, and provide marketing outlets for exporting Saudi products to African markets.

Project details

Port location: Bagamoyo Port is located on the eastern coast of Tanzania, and is considered one of the most important ports in East Africa.

Total area: The project area is 800 hectares, making it one of the largest maritime projects in the region.

Capacity: The port will be able to accommodate 20 million containers annually upon completion, making it a strong competitor to major ports in the region such as Mombasa Port in Kenya and Dar es Salaam Port in Tanzania.

Project cost: The total cost of the project is $10 billion, which includes the development of infrastructure and logistics facilities.

Source: Archup.net
Msaudia ana pesa ! Swala la kushindwa kuendeleza mradi mdogo kama huo wa bandari ni ndoto!.
Huko ulaya na Amerika ana uwekezaji wa miradi miikubwa sana kuliko huu wa bandari.
 
Msaudia ana pesa ! Swala la kushindwa kuendeleza mradi mdogo kama huo wa bandari ni ndoto!.
Huko ulaya na Amerika ana uwekezaji wa miradi miikubwa sana kuliko huu wa bandari.
Safi,hii ndio inatakiwa Sasa
 
Back
Top Bottom