Mwingine huyo taarifa inatolewa wewe unaita chuki! Mnamatatizo sana nyie.Saudi Arabia ni nchi kibaraka wa marekani hilo halina shaka wanachoshindwa na hatoweza ni kubadili Qur an.
Unyama mpaka huyo mzee asaudiy anapewa nchi Kuna mambo yamefanyika.
Kumbuka hata mauaji ya yule mwandishi pale ikulu Jamal khashong Kuna uislamu unaruhusu huuu ujinga?
Usiwe na chuki sisi tunafuata Qur an sio Saudi Arabia !!
Usieneze chuki wala hatutaki kupambanisha na nyie .
"Nyie mna dini yenu na sisi tuna dini yetu" hapa tunawaambia washirikina na mayahudi
Eti hakuna!!wewe upo kwenye mioyo ya maimam wote?.Tofautisha Kati ya dola ya kifalme na dola ya kiiislamu....hakuna imamu kwenye msikiti wowote ambaye anaweza kukataza waislamu kukaa itiqaaf labda kuwa na sababu za kiusalama au kiafya..
Kuhusu michango ya iftar hyo inategemea Kama wapo wenye uwezo waliojitolea kufturisha yupo sahihi kupiga marufuku.
Sasa Kuna taarifa gani hapo ! Si Yale Yale au sema hujui sheria za msikitini 🤣🤣..Hakuna kilichobadili.Mwingine huyo taarifa inatolewa wewe unaita chuki! Mnamatatizo sana nyie.
Mara utasikia,,, Hilo shuka ulilojifunika ndio Sanda yakoKitanda chako ndo kaburi lako😀
Una mapepo wewe alisikika shekhe kutoka Kilwa kivinjejamii yoyote iliyostaarabika haina makelele haya. mi nimekaa uarababuni adhana ila ya alfajiri nimesikia haizidi mara kumi na nimekaa miaka 4 ila sasa tanzania ni kama mashindano ya kuwapa watu karaha
Na usumbufu mwingine, mtu anataka yeye akifunga, basi wengine tusile hadharani kisa yeye kafungaIlipotokea dini wameona ni kero, wenzetu sasa kerooo
Mtu anafunga mwenyewe afu anasumbua wengine
Wanafanya mtu uanze kuogopa😅😅Mara utasikia,,, Hilo shuka ulilojifunika ndio Sanda yako
Huchelewi kusikia HAO WASAUDI WAMESHAURIWA NA WAKRISTO..!!Akina sheikh kitope wa tandahimba na sheikh bin ally bin saleh wa kakonko wao wanasemaje juu ya hiyo sharia?
Sisi huku utasikia,amukaaa,amukaaa,swalaaaa,swalaaaa.....kero tupu.
Angalia mataifa yanayoongoza kwa fujo kuuana mara kukatana vichwa mara makundi ya kigaidi ni ya kiislam. Sijui kuna nn kipo tofauti hapo. Alaf unauliza eti dini yenu inawezaje tuhusu hayaSaudi Arabia ni nchi kibaraka wa marekani hilo halina shaka wanachoshindwa na hatoweza ni kubadili Qur an.
Unyama mpaka huyo mzee asaudiy anapewa nchi Kuna mambo yamefanyika.
Kumbuka hata mauaji ya yule mwandishi pale ikulu Jamal khashong Kuna uislamu unaruhusu huuu ujinga?
Usiwe na chuki sisi tunafuata Qur an sio Saudi Arabia !!
Usieneze chuki wala hatutaki kupambanisha na nyie .
"Nyie mna dini yenu na sisi tuna dini yetu" hapa tunawaambia washirikina na mayahudi
SWALI; Hizo sharia mnaweza kuzitumia hata hapa afrika mashariki kama Tanzania hususani Zanzibari?So hamna tatizo na ... hamna shida tunafuata miongozo ile ile.
Ni hayo mataifa sio uislamu!Angalia mataifa yanayoongoza kwa fujo kuuana mara kukatana vichwa mara makundi ya kigaidi ni ya kiislam. Sijui kuna nn kipo tofauti hapo. Alaf unauliza eti dini yenu inawezaje tuhusu haya
God is not religion and religion is not God.Kumekucha kule mashoga huku hakuna adhana.
Kweli dini ni mpango uliotengenezwa KWA lengo maaaalumu
Huu mkwara huwa unanifanya nimkumbuke Muumba hahahah! Anatanabaisha baadae kuwe na shuka lako ndio sanda hapo lazima ulitupe shuka.Kitanda chako ndo kaburi lako[emoji3]
Uchafu mtupu mkuuSisi huku utasikia,amukaaa,amukaaa,swalaaaa,swalaaaa.....kero tupu.