Saudia na Marekani wanaisaidia Israel kuua watoto na kuiangamiza Palestina

Saudia na Marekani wanaisaidia Israel kuua watoto na kuiangamiza Palestina

Kilichotakiwa leo ni kuchukua hatua za papo kwa papo kushinikiza kusimamishwa vita.Saudia ina uwezo mkubwa kuliko wa wanamgambo wa Houth wa Yemen. Kinachotakiwa ni vitendo vyake na sio maneno na ahadi na hadaa mbele ya wajibu wake.
Tuambie Saudia wachukue hatua ipi kumaliza hii Vita ?

Na majirani wa Palestine yaani Jordan na Misri wao pia wachukue hatua ipi kumaliza Vita bila kuisahau 'Arab league' ?
 
Nchi za kiislamu kwa umoja zikiandaa jeshi na kutangaza kuwanusuru wapalestina, Marekani itafikiri mara mbilimbili. Marekani na Uingereza kuingia vitani siyo process rahisi, inahitaji kuwainvolve raia, maana hiyo siyo vita ndogo. Na raia wa nchi hizo hawatokubali kwenda kufa kutetea Taifa la Israel linalochinja watoto!.

Sasa hivi Marekani ja Uingereza zimefanikiwa divide and rule ktk nchi za Kiislamu na hivyo basi hizi nchi haziwezi kuwa pamoja!
Watawala wa kiimla wa kiarabu kuanzia Saudia, Qatar, Jordan n.k wanategemea ulinzi na uungwaji mkono kutoka Marekani na Uingereza ili kusalia madarakani.
 
Utawala wa Saudi Arabia hauna tofauti na utawala wa mazayuni, wote walisaidiwa kuwekwa madarakani na Muingereza. 1916 ukoo wa ibn Saud ulianza kusaidiwa na Muingereza uchukuwe madaraka, 1917 ukoo wa Rothschild ulianza kusaidiwa uchukuwe madaraka.

Saudi Arabia ikaanzishwa mwaka 1932, Israel ikaanzishwa 1948, zote kwa nguvu za Muingereza.

Zote hizo lengo lake kuu ni kujitanuwa (expansion) na kushika maeneo yote ya mashariki ya kati (Vibaraka).

Saudi Arabia na mazayuni ni wamoja kwa mitazamo yao na wanategemeana sana, siwashangai wakisaidiana lakini mwisho wa siku watageukana.
Yaani penye jiwe la KAABA nchi imeanzishwa 1932!
 
Yako mataifa kadhaa ya kiarabu na mataifa ya kiislamau ambayo yameonekana kufanya uzembe katika vita vya Gaza.Hata hivyo taifa la Saudia linaongoza kwa kusaidiana na Marekani kuipa nguvu Israel iue na kuangamiza mpango wa kuundwa kwa taifa la Palestina.

Iran iliahidi mstari mwekundu ukivukwa ingekuwa ndio muda wao kupambana na Israel.Mstari ulipovukwa ndio ikakaa kimya kabisa.

Uturuki chini ya raisi wake ndumila kuwili pamoja na kuwa na nguvu kubwa za kijeshi na kuchangiana bahari na Gaza pia hawajafanya lolote zaidi ya maneno matupu.Kikubwa siku moja kwenye kikao cha bunge waliacha kunywa soda za cocacola na vyakula vyengine vyene nembo za Israel na Marekani. Huenda ni siku hiyo tu.

Jordan na Misri ambao ndio wenye maamuzi ya juu kuhusu usalama wa Israel nazo zimekaa kimya.Wanashindwa kufungua mipaka na kupeleka misaada kwa wahitaji wa Gaza na Palestina yote. Iko siku Jordan iliomba ruhusa kudondosha misaada kwenye kituo chake Gaza na wakaishia hapo hapo

Sasa tuuangazie utapeli na unafiki wa Saudi Arabia.

Kwa miezi kahdaa kulikuwa na tetesi za kukaribia kukamilika kwa mpango wa Saudi Arabia kurudisha uhusiano na Israel mpango uliosimamiwa na Marekani. Kutokea kwa ghafla kwa vita baina ya Hamas na Israel ndiko kulikotibua mpango huo.

Nchi zote mbili hizo katika kipindi hiki zimekuwa zikifanya diplomasia za hadaa za kuipa muda Israel ifanye mauaji inavyotaka kwa wanawake na watoto wa Gaza.

Mapema wiki iliyopita Saudi Arabia iliingia gharama kubwa ya kuwakushanya maraisi na wawakilishi wa nchi zaidi ya 50 za kiarabu na waislamu kujadili vita hivyo.

Japo mkutano huo ulifanyika katikati ya vita na mabomu mabaya ya kuua umati na bado hakukuwa na cha maana kilichojadiliwa wala kilichokubaliwa.

Leo wakati shule na mahospitali yenye watoto wadogo na wachanga vikipigwa na kuuliwa bado Saudi Arabia imepanga kuwakushanya mawaziri wa nchi za nje wa nchi za kiarabu ili waende China kuzungumzia vita vya Gaza tena wiki ijayo na sio leo leo.

Kwa kasi ya kuuliwa watoto na kunyimwa chakula na maji wiki ijayo inaweza ikawa ni muda wa kuzika umati ulioangamia.

Kilichotakiwa leo ni kuchukua hatua za papo kwa papo kushinikiza kusimamishwa vita.Saudia ina uwezo mkubwa kuliko wa wanamgambo wa Houth wa Yemen. Kinachotakiwa ni vitendo vyake na sio maneno na ahadi na hadaa mbele ya wajibu wake.
Saudia na Iran nani ana nguvu zaidi? Hizi ni propoganda za mashia baada ya watu kuwaelewa kuwa ushujaa wao ni wa mdomoni.

Hivi Kwa mujibu wa Sheria za kiislamu Ili uweze kupigana uwiano wa nguvu na adui unatakiwa uweje?

Mmewachochea Hammas wakafanya kitendo kinachopelekea madhara zaidi Kwa wapalestina. Sasa mnaichochea Saudia. Unadhani ni wapuuzi?
Nani asiejua kuwa kupigana na WA Israeli ni kupambana na dunia nzima hadi mayahudi wa kupaka huku Tanzania.
 
Utawala wa Saudi Arabia hauna tofauti na utawala wa mazayuni, wote walisaidiwa kuwekwa madarakani na Muingereza. 1916 ukoo wa ibn Saud ulianza kusaidiwa na Muingereza uchukuwe madaraka, 1917 ukoo wa Rothschild ulianza kusaidiwa uchukuwe madaraka.

Saudi Arabia ikaanzishwa mwaka 1932, Israel ikaanzishwa 1948, zote kwa nguvu za Muingereza.

Zote hizo lengo lake kuu ni kujitanuwa (expansion) na kushika maeneo yote ya mashariki ya kati (Vibaraka).

Saudi Arabia na mazayuni ni wamoja kwa mitazamo yao na wanategemeana sana, siwashangai wakisaidiana lakini mwisho wa siku watageu
Utawala wa Saudi Arabia hauna tofauti na utawala wa mazayuni, wote walisaidiwa kuwekwa madarakani na Muingereza. 1916 ukoo wa ibn Saud ulianza kusaidiwa na Muingereza uchukuwe madaraka, 1917 ukoo wa Rothschild ulianza kusaidiwa uchukuwe madaraka.

Saudi Arabia ikaanzishwa mwaka 1932, Israel ikaanzishwa 1948, zote kwa nguvu za Muingereza.

Zote hizo lengo lake kuu ni kujitanuwa (expansion) na kushika maeneo yote ya mashariki ya kati (Vibaraka).

Saudi Arabia na mazayuni ni wamoja kwa mitazamo yao na wanategemeana sana, siwashangai wakisaidiana lakini mwisho wa siku watageukana.
Tatizo lako unausoma uislamu Kwa mtazamo wa wamagharibi
 
Israel kazidiwa kakubali masharti ya Hamasi [emoji1]

Msada utaingia Gaza, haruhusiwi kurusha hata ndege zile za kuspy, awachie wanawake na watoto 100 na Hamasi wawachie 50.

Tuliwambia Israel atakimbia Gaza kiko wapi sasa mlio kuwa mnabisha, oh hakuna kusimamisha vita mpaa Hamasi wawachie matekwa wote na wasarende [emoji1]

Chezea kipigo walicho chezea toka siku nne za nyuma, kuku ni kuku tu hawezi kuwa simba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu una mbingu yako peke yako.Huwa nasoma comments zako huku nacheka mwanzo mwisho.Barikiwa sana
 
Yako mataifa kadhaa ya kiarabu na mataifa ya kiislamau ambayo yameonekana kufanya uzembe katika vita vya Gaza.Hata hivyo taifa la Saudia linaongoza kwa kusaidiana na Marekani kuipa nguvu Israel iue na kuangamiza mpango wa kuundwa kwa taifa la Palestina.

Iran iliahidi mstari mwekundu ukivukwa ingekuwa ndio muda wao kupambana na Israel.Mstari ulipovukwa ndio ikakaa kimya kabisa.

Uturuki chini ya raisi wake ndumila kuwili pamoja na kuwa na nguvu kubwa za kijeshi na kuchangiana bahari na Gaza pia hawajafanya lolote zaidi ya maneno matupu.Kikubwa siku moja kwenye kikao cha bunge waliacha kunywa soda za cocacola na vyakula vyengine vyene nembo za Israel na Marekani. Huenda ni siku hiyo tu.

Jordan na Misri ambao ndio wenye maamuzi ya juu kuhusu usalama wa Israel nazo zimekaa kimya.Wanashindwa kufungua mipaka na kupeleka misaada kwa wahitaji wa Gaza na Palestina yote. Iko siku Jordan iliomba ruhusa kudondosha misaada kwenye kituo chake Gaza na wakaishia hapo hapo

Sasa tuuangazie utapeli na unafiki wa Saudi Arabia.

Kwa miezi kahdaa kulikuwa na tetesi za kukaribia kukamilika kwa mpango wa Saudi Arabia kurudisha uhusiano na Israel mpango uliosimamiwa na Marekani. Kutokea kwa ghafla kwa vita baina ya Hamas na Israel ndiko kulikotibua mpango huo.

Nchi zote mbili hizo katika kipindi hiki zimekuwa zikifanya diplomasia za hadaa za kuipa muda Israel ifanye mauaji inavyotaka kwa wanawake na watoto wa Gaza.

Mapema wiki iliyopita Saudi Arabia iliingia gharama kubwa ya kuwakushanya maraisi na wawakilishi wa nchi zaidi ya 50 za kiarabu na waislamu kujadili vita hivyo.

Japo mkutano huo ulifanyika katikati ya vita na mabomu mabaya ya kuua umati na bado hakukuwa na cha maana kilichojadiliwa wala kilichokubaliwa.

Leo wakati shule na mahospitali yenye watoto wadogo na wachanga vikipigwa na kuuliwa bado Saudi Arabia imepanga kuwakushanya mawaziri wa nchi za nje wa nchi za kiarabu ili waende China kuzungumzia vita vya Gaza tena wiki ijayo na sio leo leo.

Kwa kasi ya kuuliwa watoto na kunyimwa chakula na maji wiki ijayo inaweza ikawa ni muda wa kuzika umati ulioangamia.

Kilichotakiwa leo ni kuchukua hatua za papo kwa papo kushinikiza kusimamishwa vita.Saudia ina uwezo mkubwa kuliko wa wanamgambo wa Houth wa Yemen. Kinachotakiwa ni vitendo vyake na sio maneno na ahadi na hadaa mbele ya wajibu wake.
Kama unaumia sana nenda ukawasaidie hamas
 
Saudia na Iran nani ana nguvu zaidi? Hizi ni propoganda za mashia baada ya watu kuwaelewa kuwa ushujaa wao ni wa mdomoni.

Hivi Kwa mujibu wa Sheria za kiislamu Ili uweze kupigana uwiano wa nguvu na adui unatakiwa uweje?

Mmewachochea Hammas wakafanya kitendo kinachopelekea madhara zaidi Kwa wapalestina. Sasa mnaichochea Saudia. Unadhani ni wapuuzi?
Nani asiejua kuwa kupigana na WA Israeli ni kupambana na dunia nzima hadi mayahudi wa kupaka huku Tanzania.
Mayahudi wa tandale kwa tumbo sio
 
Utawala wa Saudi Arabia hauna tofauti na utawala wa mazayuni, wote walisaidiwa kuwekwa madarakani na Muingereza. 1916 ukoo wa ibn Saud ulianza kusaidiwa na Muingereza uchukuwe madaraka, 1917 ukoo wa Rothschild ulianza kusaidiwa uchukuwe madaraka.

Saudi Arabia ikaanzishwa mwaka 1932, Israel ikaanzishwa 1948, zote kwa nguvu za Muingereza.

Zote hizo lengo lake kuu ni kujitanuwa (expansion) na kushika maeneo yote ya mashariki ya kati (Vibaraka).

Saudi Arabia na mazayuni ni wamoja kwa mitazamo yao na wanategemeana sana, siwashangai wakisaidiana lakini mwisho wa siku watageukana.
Leo umeongea cha maana bi mkubwa kongole

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
We jamaa kumbe una ujinga wa hivi? kwa hiyo hiki ni kipigo?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Tatizo we unadhani ujinga wako ndio wote wajinga, sa mimi wacha nikufamishe upate akili.

We unaona majumba ya Gaza tu yamevunjwa sababu hapo Gaza ni freedom kuonyesha kila kitu je umeona tv channels zinapewa freedom kule Israel, kuchukua majumba yalio vunjwa? Kwanini Israel haruhusu tv channels ziwe freedom kuchukua kila kitu?

Hivi we akilini kwako we unadhani Israel anatoa numbers za watu wake walio kufa ni kweli?

Kama unamuamini Israel basi we lazima kondoo awe bora kuliko we kiakili.

Majumba hayo ya Gaza yote kiujumla hayana uthamani kwa Asqalan industrial area iliopigwa na Hamasi kwa thamani yake.

Haya majumba ya Gaza hayana thamani kuliko vifaru zaidi ya 250 vilivyo vunjwa na magari ya kijeshi.

Hayo majumba ya Gaza hayana thamani kuliko maboom yalio tumika kuvunja hayo majumba

Hayo majumba hayana thamani kuliko Irone dome missiles zilizotumika kuangusha missiles za Hamasi

Uchumi wa Israel ulivyo anguka ni zaidi ya hayo majumba ya Gaza mara elfu.

Katika politics hasara aliyo ipata Israel haiwezi kurudi kama kabla ya vita mpaa nchi za Europe zimeanza mdharau.

Kiujumla we kwa kuwa kondoa lazima uone kondoo kashinda 😄
 
1. Mmuibgereza [emoji777] Muingereza [emoji736]

2. Nadaraka [emoji777] Madaraka [emoji736]

3. Ilianzq [emoji777] Ilianza [emoji736]

4. Kjsadiwa [emoji777] Kusaidiwa [emoji736]

5. Ikaqnzishwa [emoji777] Ikaanzishwa [emoji736]

6. Kujitanuwa [emoji777] Kujitanua [emoji736]

7. Nashariki [emoji777] Mashariki [emoji736]

Si kosa lako Ajuza bali ni........................
Mkuu ndiyo elimu za kizazi cha sasa wala usishangae
 
Tatizo we unadhani ujinga wako ndio wote wajinga, sa mimi wacha nikufamishe upate akili.

We unaona majumba ya Gaza tu yamevunjwa sababu hapo Gaza ni freedom kuonyesha kila kitu je umeona tv channels zinapewa freedom kule Israel, kuchukua majumba yalio vunjwa? Kwanini Israel haruhusu tv channels ziwe freedom kuchukua kila kitu?

Hivi we akilini kwako we unadhani Israel anatoa numbers za watu wake walio kufa ni kweli?

Kama unamuamini Israel basi we lazima kondoo awe bora kuliko we kiakili.

Majumba hayo ya Gaza yote kiujumla hayana uthamani kwa Asqalan industrial area iliopigwa na Hamasi kwa thamani yake.

Haya majumba ya Gaza hayana thamani kuliko vifaru zaidi ya 250 vilivyo vunjwa na magari ya kijeshi.

Hayo majumba ya Gaza hayana thamani kuliko maboom yalio tumika kuvunja hayo majumba

Hayo majumba hayana thamani kuliko Irone dome missiles zilizotumika kuangusha missiles za Hamasi

Uchumi wa Israel ulivyo anguka ni zaidi ya hayo majumba ya Gaza mara elfu.

Katika politics hasara aliyo ipata Israel haiwezi kurudi kama kabla ya vita mpaa nchi za Europe zimeanza mdharau.

Kiujumla we kwa kuwa kondoa lazima uone kondoo kashinda [emoji1]
Point
 
Israel kazidiwa kakubali masharti ya Hamasi 😄

Msada utaingia Gaza, haruhusiwi kurusha hata ndege zile za kuspy, awachie wanawake na watoto 100 na Hamasi wawachie 50.

Tuliwambia Israel atakimbia Gaza kiko wapi sasa mlio kuwa mnabisha, oh hakuna kusimamisha vita mpaa Hamasi wawachie matekwa wote na wasarende 😄

Chezea kipigo walicho chezea toka siku nne za nyuma, kuku ni kuku tu hawezi kuwa simba
Mijitu Kama hiii inachangia Israel iendeleee kuua watu tuuuu. Maana akipiga risasi moja anajisifu na kujificha kwy shimo. Wale wakiua uku na uku wanalia, kweli duniani waaarabu ni watu wajinga sana
 
Mijitu Kama hiii inachangia Israel iendeleee kuua watu tuuuu. Maana akipiga risasi moja anajisifu na kujificha kwy shimo. Wale wakiua uku na uku wanalia, kweli duniani waaarabu ni watu wajinga sana
Sa ikiwa warabu wajinga kama unavyo dai na wakiuwa mtu mmoja tu wanajisifu, hivi maneno yako kama ni kweli America pamoja na Europe wangepeleka majeshi yao kumsaidia Israel. Yani we unaona kuliko America na Israel 😄

Hebu we unaye sema Israel ndiye mwenye uwezo hebu nipe katika mambo ya askari kitu gani kashinda au kafanya? Sijaona alicho fanya zaidi ya kuvunja majumba, hospital hata kichaa hawezi rusha mawe hospital lakini jeshi unalo lisifia limeonyesha ujinga wao katika dunia.

Walingia hi vita kusema lazima waimalize Hamasi, naona Hamasi wanarusha missiles kama kawaida, wanavunja vifaru na kuwauwa wanajeshi wa Israel kuliko mwanzo.

Alshifaa hospital hawakupa kitu Central command ya Hamasi hawajui ipo wapi mpaa mda hu wataishia kuwadanganyeni vichaa kama nyie tu 😄
 
Yako mataifa kadhaa ya kiarabu na mataifa ya kiislamau ambayo yameonekana kufanya uzembe katika vita vya Gaza.Hata hivyo taifa la Saudia linaongoza kwa kusaidiana na Marekani kuipa nguvu Israel iue na kuangamiza mpango wa kuundwa kwa taifa la Palestina.

Iran iliahidi mstari mwekundu ukivukwa ingekuwa ndio muda wao kupambana na Israel.Mstari ulipovukwa ndio ikakaa kimya kabisa.

Uturuki chini ya raisi wake ndumila kuwili pamoja na kuwa na nguvu kubwa za kijeshi na kuchangiana bahari na Gaza pia hawajafanya lolote zaidi ya maneno matupu.Kikubwa siku moja kwenye kikao cha bunge waliacha kunywa soda za cocacola na vyakula vyengine vyene nembo za Israel na Marekani. Huenda ni siku hiyo tu.

Jordan na Misri ambao ndio wenye maamuzi ya juu kuhusu usalama wa Israel nazo zimekaa kimya.Wanashindwa kufungua mipaka na kupeleka misaada kwa wahitaji wa Gaza na Palestina yote. Iko siku Jordan iliomba ruhusa kudondosha misaada kwenye kituo chake Gaza na wakaishia hapo hapo

Sasa tuuangazie utapeli na unafiki wa Saudi Arabia.

Kwa miezi kahdaa kulikuwa na tetesi za kukaribia kukamilika kwa mpango wa Saudi Arabia kurudisha uhusiano na Israel mpango uliosimamiwa na Marekani. Kutokea kwa ghafla kwa vita baina ya Hamas na Israel ndiko kulikotibua mpango huo.

Nchi zote mbili hizo katika kipindi hiki zimekuwa zikifanya diplomasia za hadaa za kuipa muda Israel ifanye mauaji inavyotaka kwa wanawake na watoto wa Gaza.

Mapema wiki iliyopita Saudi Arabia iliingia gharama kubwa ya kuwakushanya maraisi na wawakilishi wa nchi zaidi ya 50 za kiarabu na waislamu kujadili vita hivyo.

Japo mkutano huo ulifanyika katikati ya vita na mabomu mabaya ya kuua umati na bado hakukuwa na cha maana kilichojadiliwa wala kilichokubaliwa.

Leo wakati shule na mahospitali yenye watoto wadogo na wachanga vikipigwa na kuuliwa bado Saudi Arabia imepanga kuwakushanya mawaziri wa nchi za nje wa nchi za kiarabu ili waende China kuzungumzia vita vya Gaza tena wiki ijayo na sio leo leo.

Kwa kasi ya kuuliwa watoto na kunyimwa chakula na maji wiki ijayo inaweza ikawa ni muda wa kuzika umati ulioangamia.

Kilichotakiwa leo ni kuchukua hatua za papo kwa papo kushinikiza kusimamishwa vita.Saudia ina uwezo mkubwa kuliko wa wanamgambo wa Houth wa Yemen. Kinachotakiwa ni vitendo vyake na sio maneno na ahadi na hadaa mbele ya wajibu wake.
Hivi nchi zote hizo za kiislamic ulizozitaja teja zinaongwa na sharia inamaana ni vichaa kukaa kimyaa na kuwasusia hao hamas..
Si wajinga hao ila inawezekana wewe muislam mmoja uliyepo tanzania umeshavimbiwa biliani ndio unalopoka sasa..

Haya makundi ya kigaidi yanajipenyeza kwa gia ya dini nabkujinasibu na uislam ili watekereze hazma zao..

wameshtukiwa sasa nchi nyingi za kiislam zimeharibika kwa machafuko kwa vigezo vya kuwahifadhi hawa watu kwenye nchi zao.
 
Yako mataifa kadhaa ya kiarabu na mataifa ya kiislamau ambayo yameonekana kufanya uzembe katika vita vya Gaza.Hata hivyo taifa la Saudia linaongoza kwa kusaidiana na Marekani kuipa nguvu Israel iue na kuangamiza mpango wa kuundwa kwa taifa la Palestina.

Iran iliahidi mstari mwekundu ukivukwa ingekuwa ndio muda wao kupambana na Israel.Mstari ulipovukwa ndio ikakaa kimya kabisa.

Uturuki chini ya raisi wake ndumila kuwili pamoja na kuwa na nguvu kubwa za kijeshi na kuchangiana bahari na Gaza pia hawajafanya lolote zaidi ya maneno matupu.Kikubwa siku moja kwenye kikao cha bunge waliacha kunywa soda za cocacola na vyakula vyengine vyene nembo za Israel na Marekani. Huenda ni siku hiyo tu.

Jordan na Misri ambao ndio wenye maamuzi ya juu kuhusu usalama wa Israel nazo zimekaa kimya.Wanashindwa kufungua mipaka na kupeleka misaada kwa wahitaji wa Gaza na Palestina yote. Iko siku Jordan iliomba ruhusa kudondosha misaada kwenye kituo chake Gaza na wakaishia hapo hapo

Sasa tuuangazie utapeli na unafiki wa Saudi Arabia.

Kwa miezi kahdaa kulikuwa na tetesi za kukaribia kukamilika kwa mpango wa Saudi Arabia kurudisha uhusiano na Israel mpango uliosimamiwa na Marekani. Kutokea kwa ghafla kwa vita baina ya Hamas na Israel ndiko kulikotibua mpango huo.

Nchi zote mbili hizo katika kipindi hiki zimekuwa zikifanya diplomasia za hadaa za kuipa muda Israel ifanye mauaji inavyotaka kwa wanawake na watoto wa Gaza.

Mapema wiki iliyopita Saudi Arabia iliingia gharama kubwa ya kuwakushanya maraisi na wawakilishi wa nchi zaidi ya 50 za kiarabu na waislamu kujadili vita hivyo.

Japo mkutano huo ulifanyika katikati ya vita na mabomu mabaya ya kuua umati na bado hakukuwa na cha maana kilichojadiliwa wala kilichokubaliwa.

Leo wakati shule na mahospitali yenye watoto wadogo na wachanga vikipigwa na kuuliwa bado Saudi Arabia imepanga kuwakushanya mawaziri wa nchi za nje wa nchi za kiarabu ili waende China kuzungumzia vita vya Gaza tena wiki ijayo na sio leo leo.

Kwa kasi ya kuuliwa watoto na kunyimwa chakula na maji wiki ijayo inaweza ikawa ni muda wa kuzika umati ulioangamia.

Kilichotakiwa leo ni kuchukua hatua za papo kwa papo kushinikiza kusimamishwa vita.Saudia ina uwezo mkubwa kuliko wa wanamgambo wa Houth wa Yemen. Kinachotakiwa ni vitendo vyake na sio maneno na ahadi na hadaa mbele ya wajibu wake.

View: https://twitter.com/i/status/1726246901992026319
Kwa MTU mwenye akili timamu anajua walicho Fanya Hamas ni UPUMBAVU acha wale jeuli yao
 
Utawala wa Saudi Arabia hauna tofauti na utawala wa mazayuni, wote walisaidiwa kuwekwa madarakani na Muingereza. 1916 ukoo wa ibn Saud ulianza kusaidiwa na Muingereza uchukuwe madaraka, 1917 ukoo wa Rothschild ulianza kusaidiwa uchukuwe madaraka.

Saudi Arabia ikaanzishwa mwaka 1932, Israel ikaanzishwa 1948, zote kwa nguvu za Muingereza.

Zote hizo lengo lake kuu ni kujitanuwa (expansion) na kushika maeneo yote ya mashariki ya kati (Vibaraka).

Saudi Arabia na mazayuni ni wamoja kwa mitazamo yao na wanategemeana sana, siwashangai wakisaidiana lakini mwisho wa siku watageukana.
Mwana Mfalme WA Saudia Ameanza ku-Update uislamu!
Naona hata mawe ya kumpiga shetani na hija gharama itaongezeka!
Nakumbuka makomandoo wa Iran alipo ivamia alqaba aliyeokoa jahazi Yahudi!
Yahudi ni Mbia?? Au?!
 
Lakini ni waislamu hawa!! Inakuwaje?

Sisi huwa tunaacha shuguhri zetu tunaenda kuhiji huko, sasa tuwaeleweje hawa Saudia?
Wanafiki siku ya kiama hukumu yao watawekwa tabaka la chini la moto.Kwa maana hawataweza kufurukuta.Ni mfano wa adhabu mbaya sana hiyo.
 
Tuambie Saudia wachukue hatua ipi kumaliza hii Vita ?

Na majirani wa Palestine yaani Jordan na Misri wao pia wachukue hatua ipi kumaliza Vita bila kuisahau 'Arab league' ?
Hatua za kufanya tumeshazipendekeza kitambo.Kwa Saudia akutanishe mataifa ya kiislamu watoe tamko na kuipa Israel muda maalumu wa kusitisha vita.Hatua nyengine atumie makombora yake kurusha Israel kama ikikataa tamko na kama akitokea mtu akapambana na Israel amwache afanye hivyo,asitungue makombora ya Houth.
Kwa Jordan na Misri wafanye mapigo ya chini kwa chini kwa kuachia wanamgambo wa nchi zao kuvuka mipaka na kuingia Israel kuendesha vita vya kuvizia.
 
1. Mmuibgereza [emoji777] Muingereza [emoji736]

2. Nadaraka [emoji777] Madaraka [emoji736]

3. Ilianzq [emoji777] Ilianza [emoji736]

4. Kjsadiwa [emoji777] Kusaidiwa [emoji736]

5. Ikaqnzishwa [emoji777] Ikaanzishwa [emoji736]

6. Kujitanuwa [emoji777] Kujitanua [emoji736]

7. Nashariki [emoji777] Mashariki [emoji736]

Si kosa lako Ajuza bali ni........................
Anaandika as if anakimbizwa
 
Back
Top Bottom