Saudia na Marekani wanaisaidia Israel kuua watoto na kuiangamiza Palestina

Saudia na Marekani wanaisaidia Israel kuua watoto na kuiangamiza Palestina

Mwana Mfalme WA Saudia Ameanza ku-Update uislamu!
Naona hata mawe ya kumpiga shetani na hija gharama itaongezeka!
Nakumbuka makomandoo wa Iran alipo ivamia alqaba aliyeokoa jahazi Yahudi!
Yahudi ni Mbia?? Au?!
Wewe unaenda hija?

Labda unasahau, Hija ya Kiislam ni kwa mwenye uwezo. Lini gharama za safari ya hija zilishuka?

Ziongezeke tu, wenye uwezo watakwenda, wasio na uwezo siyo lazima. Hija ni majaaliwa.


Uislam ni mwema sana.
 
1. Mmuibgereza [emoji777] Muingereza [emoji736]

2. Nadaraka [emoji777] Madaraka [emoji736]

3. Ilianzq [emoji777] Ilianza [emoji736]

4. Kjsadiwa [emoji777] Kusaidiwa [emoji736]

5. Ikaqnzishwa [emoji777] Ikaanzishwa [emoji736]

6. Kujitanuwa [emoji777] Kujitanua [emoji736]

7. Nashariki [emoji777] Mashariki [emoji736]

Si kosa lako Ajuza bali ni........................
Kazeeka
 
Utawala wa Saudi Arabia hauna tofauti na utawala wa mazayuni, wote walisaidiwa kuwekwa madarakani na Muingereza. 1916 ukoo wa ibn Saud ulianza kusaidiwa na Muingereza uchukuwe madaraka, 1917 ukoo wa Rothschild ulianza kusaidiwa uchukuwe madaraka.

Saudi Arabia ikaanzishwa mwaka 1932, Israel ikaanzishwa 1948, zote kwa nguvu za Muingereza.

Zote hizo lengo lake kuu ni kujitanuwa (expansion) na kushika maeneo yote ya mashariki ya kati (Vibaraka).

Saudi Arabia na mazayuni ni wamoja kwa mitazamo yao na wanategemeana sana, siwashangai wakisaidiana lakini mwisho wa siku watageukana.
Both share the same father(Abraham)

It makes sense wakiwa na mitazamo sawa.
 
Utawala wa Saudi Arabia hauna tofauti na utawala wa mazayuni, wote walisaidiwa kuwekwa madarakani na Muingereza. 1916 ukoo wa ibn Saud ulianza kusaidiwa na Muingereza uchukuwe madaraka, 1917 ukoo wa Rothschild ulianza kusaidiwa uchukuwe madaraka.

Saudi Arabia ikaanzishwa mwaka 1932, Israel ikaanzishwa 1948, zote kwa nguvu za Muingereza.

Zote hizo lengo lake kuu ni kujitanuwa (expansion) na kushika maeneo yote ya mashariki ya kati (Vibaraka).

Saudi Arabia na mazayuni ni wamoja kwa mitazamo yao na wanategemeana sana, siwashangai wakisaidiana lakini mwisho wa siku watageukana.
Hata kitimoto wanakula kama mimi zayuni?
 
Kuna taifa jipya la Marekani,au hilihili ninalolijua Mimi?
 
1. Mmuibgereza [emoji777] Muingereza [emoji736]

2. Nadaraka [emoji777] Madaraka [emoji736]

3. Ilianzq [emoji777] Ilianza [emoji736]

4. Kjsadiwa [emoji777] Kusaidiwa [emoji736]

5. Ikaqnzishwa [emoji777] Ikaanzishwa [emoji736]

6. Kujitanuwa [emoji777] Kujitanua [emoji736]

7. Nashariki [emoji777] Mashariki [emoji736]

Si kosa lako Ajuza bali ni........................
Li adriz limelike

Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom