Saudia na Marekani wanaisaidia Israel kuua watoto na kuiangamiza Palestina

Mwana Mfalme WA Saudia Ameanza ku-Update uislamu!
Naona hata mawe ya kumpiga shetani na hija gharama itaongezeka!
Nakumbuka makomandoo wa Iran alipo ivamia alqaba aliyeokoa jahazi Yahudi!
Yahudi ni Mbia?? Au?!
Wewe unaenda hija?

Labda unasahau, Hija ya Kiislam ni kwa mwenye uwezo. Lini gharama za safari ya hija zilishuka?

Ziongezeke tu, wenye uwezo watakwenda, wasio na uwezo siyo lazima. Hija ni majaaliwa.


Uislam ni mwema sana.
 
Kazeeka
 
Both share the same father(Abraham)

It makes sense wakiwa na mitazamo sawa.
 
Hata kitimoto wanakula kama mimi zayuni?
 
Kuna taifa jipya la Marekani,au hilihili ninalolijua Mimi?
 
Li adriz limelike

Nyau de adriz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…