Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yutong sio imara kama ma zhongtongNini kinafanya yutong ishindwe kupambana na zhongtong mkuu?
Nadhani Abood ndio the GOAT wa mabasi yote nchini,miaka takribani 40,ascandinavia kavuma maika michache sana haizidi 20
Naona afadhali ya Malori
Comment ya kibabe sanaMtanzania gani utampa investment ya mamilioni akakutafutie pesa kama wanavyoita wao?
Ukweli mchungu hakuna mwenye bus au Lori atatoboa.
Hata latra hilo wanajua.
Wote unaowaona ni just a matter of time.
Comment ya kibabe sana
Kavuma Kwa kasi, lakini kuvuma kwake hakukuzidi miaka 7Nadhani Abood ndio the GOAT wa mabasi yote nchini,miaka takribani 40,ascandinavia kavuma maika michache sana haizidi 20
CCM imemfikisi akiliWewe umefirisiwa na nan
Kwa mwendo wa madereva wake hizo yuton ni miezi SITA tuuu zingekufa!? ZoteUnaweza kuwa sahihi mkuu, ila tu kwa taarifa yako Marehemu Sauli alikuwa kishaagiza unit 6 za yutong. Sema mipango ya Mungu si ya mwanadamu. Aendelee kupumzika alipojiandalia.
Mbona lori za Blue coast zipo na kampuni inazidi kukua kila siku na mmiliki ni mswahili?Nafuu ipo lakini yale yale.
Fika Moro uone, pale malori yakitoka nchi jirani matairi mapya hutolewa yakapachikwa vipara.
Bado spare huuzwa, zikabadilishwa, tingo akaendesha, yakachukua mizigo isiyokuwa accounted, wese likapigwa nyoka, nk.
Kwa ufupi mtanzania au mswahili usimpe investment akakuletee hela, labda uendeshe mwenyewe.
Mbona lori za Blue coast zipo na kampuni inazidi kukua kila siku na mmiliki ni mswahili?